Sitanyamaza Lyrics by Rose Muhando

2 Comments


(Sung in Swahili)
Eeeehhhh…. Mimi Mungu (Me, God)
Matendo nitalia, Kwa sinani nitaomboleza
Sodoma nitanung’unika, Mipakani nitashambulia
Mijini wameniacha,Kila mara nitashambulia
Maisha ya wanadamu, Yamenichosha….

Oh oh mimi
Sitanyamaza, wala sitanyamaza
Lakini nitalipa ujira wa vifuani mwao
Maovu yenu ninyi, pamoja na baba zenu
nasema nitalipa ndio mjue mimi ni Bwana
Mmefukiza uvumba, na kunitukana
Kwa ajili ya haya mtajutia vitani mwenu?(repeat)

mmefanya uzinzi katikati ya milima
Usiku wa manane mmefanya ukahaba
Kwenye njia kuu na vichochoro mmefanya mapatano
Kwenye mialoni na mipera mmefanya machukizo (repeat)

Ulitumaini uzuri wako ukafanya ukahaba
Kila kijana aliyepita ulimwona anafaa
Awe mzuri na sura mbaya ulifunua marinda

Wako wapi wapenzi wako mbona sasa unakonda
Wako wapi mapenzi zako mbona sasa unakonda
Wako wapi wapenzi wako mbona sasa unakonda
Wako wapi waelizamu (?) wako mbona sasa unakonda

Miji mizuri imekuwa ukiwa
Majumba mazuri yamefungwa kabisa
Wana wa wana wamebaki yatima
Kiburi chamuwamu(?) imekoma kabisa (repeat)

Hebu sasa piga kelele uliye kahaba,
Shika kinubi omboleza upate kukumbukwa (repeat)

Nirudieni mimi niwasamehe, Nasema mgeukeni sasa niwaponye
Nirudieni mimi niwasamehe, Nasema mgeukeni sasa niwaponye (repeat)

Lakini Bwana asema hivi, nitawaponya
Yeye mwenyewe aahidi, nitawabariki
Mimi ni alfa na omega, mwanzo na mwisho
Jamani mimi ni mungu, mwingine hapana

Nirudieni mimi niwasamehe, Nasema mgeukeni sasa niwaponye (repeat)

Moyo Wangu lyrics by Rose Muhando

Leave a comment


Verse 1(Rose Solo):
Moyo wangu, moyo wangu, sifa mpe Yesu (My soul, my soul, give praise to Jesus)
moyo wangu, moyo wangu, sifa mpe Yesu (My soul, my soul, give praise to Jesus)

Chorus:
Moyo wangu, moyo wangu, sifa mpe Yesu (My soul, my soul, give praise to Jesus)
moyo wangu, moyo wangu, sifa mpe Yesu (My soul, my soul, give praise to Jesus)

(Rose Solo)

(Chorus)

Rose Solo:
Moyo wangu, moyo wangu, sifa mpe Bwana (My soul, my soul, praise the Lord)
moyo wangu, moyo wangu, sifa mpe Yesu (My soul, my soul, give praise to Jesus)

(Chorus [X4])

Verse 2:

Yeye akupenda, yeye akujali (He loves you, He cares for you)
Usifadhaike moyo, tulia kwa Bwana (Do not despair my soul, rest in the Lord)
Dunia ni shida, dhiki nyingi kwako (The world is troublesome)
Usilalamike moyo, tulia kwa Bwana (Do not fret my soul, rest in the Lord)

(Chorus [X4])

Verse 3:
Anaweza sasa, kuponya maisha yako (He can heal your life right now)
Kukufariji moyo, Yesu yupo tena (To comfort you my soul, Jesus is there)
Yeye ndiye jana, sasa na milele (He is the same yesterday, today and forever)
Alfa na Omega Yesu, wewe moyo (Alpha and Omega Jesus, you are my soul)

(Chorus)

Mke Mwema (A Virtuous Wife) Lyrics by Bonny Mwaitege

Leave a comment


Hapo mwanzo mungu alimwumba Adamu (In the beginning God created Adam)
Bustani ya edeni aitunze (To care for the Garden of Eden)
Baadaye Mungu aliona sio vyema(Then God saw that it was not good)
Adamu awe pekee yake akampa mke mwema(For Adam to be alone, He gave him a wife)
Hapo mwanzooo(In the beginning)

Chorus:
Mke mwema anatoka kwa Bwana(A virtous wife is from the Lord)
Nimemwomba Mungu nangojea(I have asked God, I am waiting) (x2)
Mke mwema aaa (A virtuous wife…)

Kwa akili zangu ni vigumu kutambua (On my own it is hard to determine)
ni nani aliyeumbwa kwa ajili yangu(Who was created for me)
Katika mabinti wengi ni nani(In the midst of all the women, who is it)
Mungu ndiye anajua mke mwema(It is only God knows who)

(Chorus)

Majukumu yananizidi jamani nachoka
Kazi za ndani haziishi mke sina
Majukumu yananizidi jamani nachoka
Kazi za ndani haziishi kazi sina
Nimeshapika deki, Nguo zangu zote chafu
Nimemaliza kufua, vyombo vyote ndani vichafu
Maharage yanaungulia, ndani maji nimeishiwa
Nimeamini mwanaume bila mke hajakamilika
Nimeamini mwanaume bila mke hajakamilika bado

(Chorus)

Ukitafuta chumba cha kupanga kama hujaoa
Unaweza kuzunguka mpaka ukachoka
Ukitafuta chumba cha kupanga kama hujaoa
Unaweza kuzunguka mpaka ukachoka
Kila nyumba unayokwenda unaambiwa
“Vyumba viko, umeoa? kama hujaoa kaka samahani
Hapa hatupangishi vijana ambao bado hawajaoa.” Oh!

(Chorus)

Ee Bwana ninakupenda (Oh Father I love You) Lyrics by New Life Crusade Choir

2 Comments


Ee bwana ninakupenda nakupenda, Ninayo kila sababu baba ya kukupenda
(Oh Father I love You, I have every reason to love You)
Umenitendea mengi ya ajabu, Hata kulipa siwezi baba pokea sifa
(You have done many amazing things, that I cannot repay you, Father receive praise Father) (Repeat)

Chorus:
Nakupenda Baba, nakupenda (I love You Father, I love You)
Kila ninapokutafakari mimi natetemeka (Everytime I ponder on it, I tremble)
Kwanini unidhamini mimi mwanadamu (Why did you value me a mere human?)
Ninajua ni kwa neema tu umenipenda ( I know it is by Grace that you love me)(Repeat)

Upendo wako kwangu ni maalum, siwezi kulinganisha kamwe nao mwingine
(Your love to me is special, I cannot compare to another one)
wewe ni wa thamani maishani, Nisaidie nisikuache nisonge mbele
(You are valuable to my life, help me to not leave you in my journey) (Repeat)

(Chorus)

Asubuhi ninaona fadhili zako, Na mchana ninashuhudia upendo wako
(In the morning I see your goodness, and during the day I witness your love)
Na usiku ninaona kupumzishwa, Kila wakati mimi naona kufarijika
(At night I see your rest, everytime I am comforted) (Repeat)

(Chorus)

Nakaza Mwendo (I Press On) Lyrics by Rose Muhando

Leave a comment


Verse 1:
Nafurahia mateso yangu, nafurahia mateso yangu
(I rejoice in my persecutions)
Ujapoharibika mwili huu, tapata mwingine kwa Baba
(Though this body be destroyed, I’ll get another from the Father)
Ujapoharibika mwili huu, tapata mwingine kwa Baba
(Though this body be destroyed, I’ll get another from the Father)

Chorus:
Nakaza mwendo, nifike Mbinguni (I press on to reach heaven)
Nayakabidhi, maisha kwa Bwana (I give my life to the Lord)
Nauone, uzuri wa bwana (That I may see his goodness) x2

Taabu na matatizo, hakuna (No more troubles and trials)
Kiu wala njaa, hakuna (No more thirst or hunger) x2

Verse 2:
Lakini mji ule taa yake, ni mwana kondoo (But in the city its light is the lamb)
Milele mji ule hauitaji, jua wala mwezi (Forever it does not need the sun or the moon)

Najua kuishi kwangu ni pigo, kufa ni faida (I know life is a burden, to die is to gain)

(Chorus)

Verse 3:
Lakini waongo na wazinzi, hawataingia (But the liars and fornicators, shall not enter)
wala waabudu sanamu, hawataingia (Neither will the idolaters enter) x2

Najua kuishi kwangu ni pigo, kufa ni faida (I know life is a burden, to die is to gain)

(Chorus)

Older Entries Newer Entries