Nipe Neema (Grant Me Grace) Lyrics by Msanii Music Group

Leave a comment


(Sung in Kiswahili)

Wapo waliotembea kwa neema yako (There are those who walked in your grace)
Uliwafanya wakubalike kwa wengi (You made find favor by many)
Na walipo simama katikati ya watu (And when they stood among the people)
Uso wao ukang’aa kwa kibali (Their faces shone with favor)
Ah, waliandamwa na wivu wa wengi (Ah, they were pursued by the jealousy of many)
Lakini mipango yao haikusimama (But the jealous plans did not succeed)
Na ukanyanyua vichwa vyao juu (You lifted their heads high)
Kwa sababu mkono ulikuwa nao (For your hand was upon them)

Refrain:
Nipe Neema yako Bwana (Give me Your grace, Lord)
Nikubalike machoni pa watu (To find favor in the eyes of people)
Milango ifunguke mbele yangu (Let doors open before me)
Pasipo nguvu zangu (Without my own strength)
Nipe Neema yako Bwana (Grant me Your grace, Lord)
Fursa zinifuate kila mahali (Let opportunities follow me everywhere)
Wakiinuka kunizuia (When they rise to block me)
Nisimame kwa ushindi (Let me stand in victory)

Wapo walioketi chini kwa muda (There are those who waited for long)
Baadaye wakati wao ukafika (But their time came)
Uliwatoa mahali pa chini (You lifted them from low places)
Na kuwaweka mbele ya wakuu (And placed them before leaders)
Ah, alipopingwa na maneno ya watu (Ah, when they were opposed by people’s words)
Na njama zikapangwa gizani (And schemes were plotted in the dark)
Lakini neema yako ikasema (But Your grace declared)
Hakuna atakaye wazuia (No one will stop them)

(Refrain)

Neema yako initangulie Bwana (May Your grace go before me, Lord)
Kila mahali nimepanga kutafuta (Everywhere I plan to seek)
Neema yako izungumze kwa ajili yangu (Let Your grace speak on my behalf)
Hata kabla sijafika eh (Even before I arrive)
Na Bwana kama yule anayepanga kunizuia eh (And Lord, anyone planning to stop me)
Aone mkono wako juu yangu (Let them see Your hand upon me)
Na yeyote anayehusika kufungua milango, eh (And anyone responsible for opening doors)
Aone kibali chako kimewaka juu yangu, oh (Let them see Your favor shining upon me)

(Refrain)

UJesu Uyaphila (Jesus is Alive) Lyrics by Spirit of Praise Choir (Spirit of Praise 11)

Leave a comment


(Languages: English, Zulu)

Jesus You are the living God
Jesus You are the living God
Jesus You are the living God
Savior You are the living God
We live to worship You forever (Repeat)

Forever, forever
We live to worship You forever (Repeat)

Ithuna selinqotshiwe (The grave was defeated)
UJesu uyaphila (Jesus is alive!) (Repeat)

Elami Igama (May My Name) Lyrics by Rising Sun Choir ft. Archbishop Vusi Gama

Leave a comment


(Sung in Zulu)

Qaphela ungabi osalayo (Be careful not to be left behind)
Mhlha’bangcwele beyobizwa (When the saints/holy ones are called) (Repeat)

(Xa ebizwa) Xa ebizwa amagama (When the names are called
Elizweni lapha ya (In heaven)
Elami igama likhona (May my name be there among them)
Elami igama likhona (May my name be there too) (Repeat)

Elami igama likhona (May my name be there among them)
Elami igama likhona (May my name be there too) (Repeat)

The King is Coming Lyrics by Sunmisola Agbebi

Leave a comment


Every valley shall be filled
Mountains be made low
Every eye will see Jesus
And every knee must bow
Every tongue confess
That Jesus the Son of God (Repeat)

Refrain:
We won’t stop until the nations
Proclaim Jesus! Jesus! (Repeat)

(From the Top)

The King is coming x4 (Repeat)

Repeat: The King is coming
Go tell it on the mountains
Go tell it in the valleys
He’s coming strong and mighty
To take His people home
The King strong and mighty
The King is coming

(Refrain)

Every valley shall be filled
Mountains be made low
Every eye will see Jesus
And every knee must bow
Every tongue confess
That Yeshua the Son of God

We won’t stop until the nations
Proclaim Jesus! Jesus!
I won’t stop until the nations
Proclaim Jesus! Jesus!

Bila Bila (Without) Lyrics by Joel Lwaga

Leave a comment


(Sung in Kiswahili)

N’kitazama nilikotoka hapa nilipo ninapokwenda ninagundua
(When I look at where I came from, where I am, and where I am going, I realize)
Ingekuwa ni nguvu zangu ningeshachoka nisingeweza
(If it were by my own strength, I would have tired and failed)
Sio kweli kwamba tu ku-hustle na kupambana ndio vimenitoa
(It is not true that hustling and struggling alone are what have brought me this far)
Juhudi haizidi kudra siwezi sema babu hakujituma
(Effort does not surpass destiny; I cannot say my ancestors did not try)

Pre-Refrain:
Niliitwa ndugu lawama (I was called brother of blame)
Mfano wa waliokwama (An example of those who are stuck)
Mtu asiye na maana (A person without value)
Wa kuchekwa kudharauliwa (One to be laughed at and despised)
Ila Mungu ana maguvu bwana (But God has power, sir)
Leo nikipita wanaitana (Today when I pass by, they call out to each other)
Sa ngoja nami niwaite niwape siri (Now let me also call them and give them the secret)
Ukweli ni kwamba (The truth is that)

Refrain:
Bila Mungu mimi bila bila bila (Without God I am nothing, nothing, nothing)
Hamna kitu yani zero bila (There’s nothing, zero, without Him)
Bila Mungu mimi, bila bila bila (Without God, I’m nothing, nothing, nothing)
Sina ujanja yani zero, bila (I have no ability at all, meaning zero, without Him) (Repeat)

Yaani kama meli isiyo na nahodha (Like a ship without a captain)
Kama bunge lisilo na hoja (Like a parliament without an agenda)
Mi ni debe tupu bila ya Mola (I am an empty container without God)
Msidanganyike nje mnavyoniona (Do not be deceived by how you see me)
Sina mzizi, wala mlozi (I have no root nor foundation)
Nina mtetezi tena yu hai (I have a Defender, and He is alive)
Ye ndo siri ya mi kunawiri (He is the secret to my flourishing)
Bila Ye mi chali na sifurukuti (Without Him, I am nothing and  lost)

(Pre-Refrain)

(Refrain)

Older Entries