Betelehemu (Bethlehem) A cappella by African Children’s Choir

1 Comment


(Sung in Yoruba) [AGL’s African Acapella/Choral week 2013]

Refrain: Betelehemu (Bethlehem)

Awa yo, a ri Baba gb’ojule (We rejoice for we have a trustworthy father)
Awa yo, a ri Baba f’eyin ti (We rejoice for we have? a dependable father)
(repeat)

Ni bo labe Jesu? (Where was Jesus born)
Ni bo labe bisi? (Where was he born?)
(Repeat)

Betelehemu iluwa la, (Bethlehem, city of wonder)
Ni bo labe Baba o daju (That is where Father was born)

Inyi, inyi, furo (Praise, praise, be to Him)
Adupe fun o, jooni, (We thank you, today)
Baba olo reo (Gracious Father)

(Refrain) + Solo + From the top

Nyota ya Ajabu lyrics by Rose Muhando

3 Comments


ILe nyota ya ajabu, yaonekana mashariki
Imejaa ishara zote, za kuzaliwa mfalme
Mamajuzi wako nyuma, kuifuata nyota ile
walifika Yerusalemu, nao wakauliza (repeat)
Yuko wapi yeye aliyezaliwa,
mtawala wa wayahaudi ili tumsujudie

Chorus:
Mjini mwa Daudi, amezaliwa mkombozi
Atakayewaokoa watu na dhambi zao
Dunia shangilieni, amezaliwa messiah
Haleluya haleluyah, sifa ni kwa Bwana

Walikuwako na wachungaji, waliokaa makondeni
Wakilinda kundi lao kwa zamu usiku
Malaika kawatokea, kawambia msiogope
Maana leo katika Yuda, amezaliwa messiah

(Chorus)

Walipokwisha kusema haya, Malaika wa bwana
Waliimba wimbo ule, wimbo usio na mwisho
Utukufu juu kwa Mungu mbinguni
Duniani we amani kwa aliowaridhia

(chorus)

Maongeo enzi yake, na tena begani mwake
Tazameni anakuja kwa jina lake Bwana
Maongeo enzi yake, na tena begani mwake
Tazameni anakuja kwa jina lake Bwana

(chorus)