Yesu Jemedari lyrics by Wangeci Mbogo

Leave a comment


(Sung in Swahili)

Yesu ndiye Jemedari wangu
Ni jemedari wangu, hakuna mwingine
Yesu ndiye Jemedari wangu
Ni jemedari wangu, hakuna mwingine

Chorus:
Huyu yesu, Asifiwe yesu
Asifiwe yesu, hakuna mwingine
Huyu yesu, Asifiwe yesu
Asifiwe yesu, hakuna mwingine

Yesu ndiye kiongozi wangu
Anionyesha njia, popote niendapo
Yesu ndiye kiongozi wangu
Anionyesha njia, popote niendapo

(Chorus)

Yesu ndiye mwokozi wangu
Kamwaga damu yake, nipate wokovu
Yesu ndiye mwokozi wangu
Kamwaga damu yake, nipate wokovu

(Chorus)

Ahh Yesu, Yesu, huyu yesu, huyu yesu, yesu
Yesu, huyu yesu, huyu yesu, yesu
Yesu, huyu yesu, huyu yesu, yesu
Yesu, huyu yesu, huyu yesu, yesu
Asifiwe yesu, asifiwe yesu, hakuna mwingine

(Chorus)

Apewe Sifa lyrics by Wangeci Mbogo

1 Comment


mba, mba, mba, mba, mba, mba, mba, mba
mba, mba, mba, mba, mba, mba, mba, mba

Bwana wa mabwana apewe sifa, Bwana wa mabwana apewe sifa
Bwana wa mbinguni apewe sifa,Bwana wa mbinguni apewe sifa
Yeye ni mfalme apewe sifa, Yeye ni mfalme apewe sifa
Yesu mwokozi apewe sifa, Yesu mwokozi apewe sifa,

Atupenda, atujali, abariki,yeye ni mwema
Mwamba wetu, kimbilio, mfariji yeye ni mungu

Aliteseka kwa ajili yetu, Aliteseka kwa ajili yetu
Akatufia msalabani, Akatufia msalabani
Ili tupate wokovu kwake, Ili tupate wokovu kwake
Tuwe na ushindi kwa jina lake, Tuwe na ushindi kwa jina lake

Tumsifu, tumwabudu, tumwiuen, yeye ni Bwana
Jehovah Jireh, Jehovah shammah, Jehovah rafa, yeye ni Mungu

Bwana wa mabwana apewe sifa, Bwana wa mabwana apewe sifa
Bwana wa mbinguni apewe sifa,Bwana wa mbinguni apewe sifa
Yeye ni mfalme apewe sifa, Yeye ni mfalme apewe sifa
Yesu mwokozi apewe sifa, Yesu mwokozi apewe sifa,

Atupenda, atujali, abariki,yeye ni mwema
Mwamba wetu, kimbilio, mfariji yeye ni mungu
Tumsifu, tumwabudu, tumwinue, yeye ni Bwana
Jehovah Jireh, Jehovah shammah, Jehovah rafa, yeye ni Mungu

Atupenda, atujali, abariki,yeye ni mwema
Mwamba wetu, kimbilio, mfariji yeye ni mungu
Tumsifu, tumwabudu, tumwinue, yeye ni Bwana
Jehovah Jireh, Jehovah shammah, Jehovah rafa, yeye ni Mungu

Atupenda, atujali, abariki,yeye ni mwema
Mwamba wetu, kimbilio, mfariji yeye ni mungu