Chorus:

Mungu amekusudia kukubariki
Mungu amekusudia kukubariki

Verse 1:

Je unaweza kungojea kidogo
Kwani bwana yesu amekusudia kukubariki
Mateso unayopitia siku ya leo
Hayalinganishwi na utukufu utakaopata

(chorus)

Verse 2:

Je unajua kucheleweshwa si kunyimwa
tena kungojea huzaa kuvumilia
Kuvumilia huzaa kukomaa
Heri kukomaa kuliko kuwa mtoto

(Chorus)

Verse 3:

Kumbuka Hana alimgojea Bwana
Akabarikiwa na nabii Samweli
Huyo Mungu aliyemkumbuka
Siku ya leo atakukumbuka

(Chorus)

Verse 3:

Iburahimu allimgojea Mungu
Miaka mia moja Mungu hakumsahau
Anyeshaye mvua jangwani
Atakuinua watu washangae

(Chorus)

Verse 4:

Nakuhakikishia ewe rafiki yangu
Kwamba Mungu wangu ni mwaminifu
Usihangaike mngojee Bwana
Ahadi zake hazivinjiki milele


Discover more from African Gospel Lyrics

Subscribe to get the latest posts sent to your email.