(Sung in Swahili)
Hakuna Mungu kama wewe Yahweh (Aah, aah) (There’s no God like you, Yahweh)
Hakuna Mungu kama wewe Yahweh (Aah, aah) (There’s no God like you, Yahweh)
(Unaweza) Unaweza, yeh yeh yeh (Capable God)
Hakuna Mungu kama wewe Bwana, ah (There is no one like You Lord)
Unaweza, yeh yeh yeh (Capable God)
Hakuna Mungu kama wewe Bwana ah (There is no one like You Lord)
Hakuna Mungu kama wewe Yahweh (Aah, aah) (There’s no God like You, Yahweh)
Hakuna Mungu kama wewe Lesa (Aah, aah) (There’s no God like You, Lesa)
(Wa Neema) Wa neema, yeh yeh yeh (God of Grace)
Hakuna Mungu kama wewe Bwana ah (There is no one like You Lord)
(Wa Neema) Wa neema, yeh yeh yeh (God of Grace)
Hakuna Mungu kama wewe Bwana ah (There is none like You Lord)
Hakuna Mungu kama wewe Kyala (Aah, aah) (There’s no God like You, Kyala)
Hakuna Mungu kama wewe Nguluvi (Aah, aah) (There’s no God like You, Nguluvi)
(Wa baraka) Wa baraka, yeh yeh yeh (God of Blessings)
Hakuna Mungu kama wewe Bwana ah (There is none like You Lord)
(Wa baraka) Wa baraka, yeh yeh yeh (God of Blessings)
Hakuna Mungu kama wewe Bwana ah (There is no one like You Lord)
Hakuna Mungu kama wewe Katondo (Aah, aah) (There’s no God like You, Katondo)
Hakuna Mungu kama wewe Yahweh (Aah, aah) (There’s no God like You, Yahweh)
Unaweza, yeh yeh yeh (Capable God)
Hakuna Mungu kama wewe Bwana ah (There is no one like You Lord)
(Wa Neema) Wa neema, yeh yeh yeh (God of Grace)
Hakuna Mungu kama wewe Bwana ah (There is no one like You Lord)
(Wa Upendo) Wa upendo, yeh yeh yeh (God of Love)
Hakuna Mungu kama wewe Bwana ah (There is none like You Lord)
Sifa, sifa, sifa kwa Yesu (Praise to Jesus) Amen
Bariki (Bless) (Amen)
Kama unapenda Yesu sema “Amen” (If you Love Jesus say “Amen”)
Kama unapenda Yesu sema “Hallelujah!” (If you Love Jesus shout “Hallelujah!”)
Hakuna Mungu kama wewe Lesa (Aah, aah) (There’s no God like You, Lesa)
Hakuna Mungu kama wewe Yahweh (Aah, aah) (There’s no God like You, Yahweh)
(Wa rehema) Wa rehema, yeh yeh yeh (Merciful God)
Hakuna Mungu kama wewe Bwana ah (There is no one like You Lord)
(Wa huruma) Wa huruma, yeh yeh yeh (Compassionate God)
Hakuna Mungu kama wewe Bwana ah (There is no one like You Lord)
Hakuna Mungu kama wewe Mulungu (Aah, aah) (There’s no God like You, Mulungu)
Hakuna Mungu kama wewe Yahweh (Aah, aah) (There’s no God like You, Yahweh)
(Wa uweza) Wa uweza, yeh yeh yeh (Capable God)
Hakuna Mungu kama wewe Bwana ah (There is no one like You Lord)
(Wa talanta) Wa talanta, yeh yeh yeh (Talented God)
Hakuna Mungu kama wewe Bwana ah (There is no one like You Lord)
Discover more from African Gospel Lyrics
Subscribe to get the latest posts sent to your email.
May 07, 2024 @ 18:04:59
Good song MAY GOD BLESS ALL WHO CONTRIBUTED 🙏🙏
LikeLike
Jun 03, 2022 @ 08:40:04
Great
LikeLike
Jul 23, 2017 @ 18:24:25
God bless you for the lyrics. I love this song though I never knew what it meant
LikeLike
Hakuna Mungu Kama Wewe (No Other God Like You) Lyrics by Kijito Choir - Joyous Celebration
Oct 10, 2013 @ 22:10:13