Daddy God Lyrics by Niyo Bosco

Leave a comment


(Languages: Kinyarwanda, Kirundi, English, Kiswahili)

Burya wari uhari (You were there), when I was wondering
Lost and alone till your right time
I was nobody, before you counted me in
When I needed you the most, nimekuona (I have seen You)
Maisha yangu ni testimony (My life is a testimony)
Kubwira abantu ko wantunze inkoni (Telling people you gave me a chance)
Ntabwo bijya bintera isoni (I am not embarrassed)
Nasema asante (I say thank you)
For all the battles you fought for me
For every broken piece that you fixed
Ndumva umutima wange uganjwe n’amashimwe (My heart overflows with praise)

Pre-Refrain:
Narwanaga intambara zikomeye (I fought hard battles)
Nibwiraga ko nge ubwange nzishoboye (That I thought I could fight by myself)
Ndatsindwa cyane nsanga ari wowe nkeneye (I failed so hard, and find that it is You I need)
None dore uko unyitaho (And look at how you talk care of me)

Refrain:
Daddy God, Daddy God
I thank you for Your affection
All along, you’ve been so, so close in every situation
Daddy God, Daddy God
You dey move in every season
All along, you’ve been so, so close in every situation
No hesitation, nina (I have) protection
Ntabwoba bw’ejo Baba God uri maso (I’m not afraid of tomorrow, Father God You are awake)

When I couldn’t see the way, You made it clear
Baba Mungu (Father God) you took away all my fears
You told me “My child, I dey always here”
Ibyo ndabyumva ngatuza, ngateta nk’umwana uri kwa Papa (I hear this and calm down like a child at His father’s house)
Kubwira amahanga yose ibyo wankoreye (I will tell all the nations what You have done for me)
Ndumva aribyo bya mbere bindyoheye (I feel like this is the first time I’ve tasted it)
Of course, I don’t walk alone, ’cause you lead me on
You never leave your own, you always make me shout “Hallelujah!”

(Pre-Refrain + Refrain)

Pokea Sifa /Uhimidiwe (Receive Praise/ Be Exalted) Lyrics By Kidum

2 Comments


(Sung in Swahili)

Nimekuja hapa mbele zako Bwana, kukupea sifa
(I have come before You Lord, to give you praise)
Ninajua kwamba niko mwenye dhambi, naomba unisamehe
(I know that I am sinful, I pray that You forgive me)
Utukufu wako, hauna kifani
(Your Glory, cannot be measured)
Huruma na upendo wako, kwa walimwengu
(Your mercy and love towards us)
Hulinganishwi na chochote, Papa wetu
(Cannot be compared to anything, Our Father)
Unapea mvua wabaya na wazuri
(You grant rain to the evil and the good)
Na mwangaza wa jua, kwa wabaya na wazuri
(And the light of the sun, to the evil and the good)
Hubagui Baba (Father You do not segregate)

Refrain:
Baba, Baba, pokea sifa, uhimidiwe
(Father, Father, receive praise, be exalted)
Baba, Baba, pokea sifa, uabudiwe
(Father, Father, receive praise, be worshiped)

Watu wengi duniani wamekata tamaa
(A lot of people on earth have given up)
Wanadhani wakija kwako utawafukuza
(They think that You will chase them if they come before You)
Wanasema wewe ni Mungu wa walio wema tu
(They say that You are the God of only the good)
Wanasema wewe ni Mungu wa matajiri tu(They say that You are a God of the rich)
Wanasema wewe ni Mungu wa mataifa yen
ye nguvu
(They say that You are the God of mighty nations)

Bridge:
Kumbe wamekosa, mwenye kuwapa ukweli
(But they have lacked someone to give them the truth)
Kumbe hawajui, wewe ni mwenye huruma
(But they do not know, that You are full of mercy) (Repeat)

Niko hapa kukupa sifa zako Bwana (I am here to give You Your praises Lord)

(Refrain)

(Bridge)

(Refrain)

Kimbia (Run) Lyrics by Kidum

Leave a comment



(Sung in Swahili)

Kila mmoja wetu amepewa neema kutoka kwa Mola
(Everyone of us has been given Grace from God)
Vipaji mbalimbali, katupea Muumba na pia baraka halafu pia kibali
(Different talents, the Creator has given us together with blessings and favour)
Kila kukikucha sote tunasema asante Mungu, asante Baba
(Every morning we all say: Thank you God, thank you Father)
Kukipambazuka, sote twaamka, shughuli mbalimbali, kuna kule ona pale
(When it dawns, we all rise, many activities: It’s here, see there.)
Majukumu zetu na shughuli zetu na juhudi zetu kwa mkate wa kila siku
(Our roles, our activities and our efforts for the daily bread)

Kijana, maisha ni safari inabidi kuongeza kasi kwa mbio zako
(Son, Life is a journey: You need to increase speed in your run)
Mwenzangu, maisha mapambano, ukiwa na kipaji wacha kuzembea
(My friend, life is a struggle: If you have a talent – don’t neglect)
Mwisho wa siku weka chakula mezani
(At the end of the day, put food on the table)
Kimbia, kimbilia taimu yako
(Run, run for yourself)
Kimbia, Kimbilia taifa lako
(Run, Run for your nation)
Kimbia, Kamilisha ndoto zako
(Run, Fulfill your dream)
Kimbia… ooh, Kimbia
(Run… ooh, Run)

Hebu cheki, foleni za magari asubuhi mjini
(Look at the line traffic in the city in the morning)
Dereva wa matatu anavunja sheria kwa kuoverlap
(Bus drives breaking the law and overlapping)
Wanariadha kuruka viuzi na maji kupata medali
(Athletes jumping steeplechase; to get a medal)
Wanasiasa wako mbio mashinani kuuza sera zao; kupata kura
(Politicians on the trail, selling their philosophies; to get the votes)
Na sisi wasanii, tunatunga mistari kupata riziki
(And we the musicians, composing lines, to get provision)

(Chorus)

Nikiwa mdogo baba yangu kanieleza
(When I was young my father told me)
Enda shule mtoto upate elimu
(Go to school young one, and get an education)
Ukiwa na elimu utapata kazi nzuri
(If you have an education, you will have a good job)
Akasahau kunieleza, ukuze kipaji
(He forgot to tell me to nurture my talent)

(..Sax playing..)

(Chorus)