Mungu Mkuu (Almighty God) Lyrics by Evelyn Wanjiru

1 Comment


(Sung in Swahili)

Chorus:
Zaidi ya yote (Above it all)
Utabaki kuwa Mungu mkuu (You’ll remain Almighty God)
Alfa na Omega (Alpha and Omega)
Hubadiliki kamwe (You the One that never changes)

Nikitazama nyuma na mbele (Before me and behind me)
Naona ukuu wako (I see your greatness)
Kaskazini, kusini pia (From the north and to the south)
naona ukuu wako (I see your greatness)
Magharibi nako mashariki pia (From the west, to the east)
Naona ukuu wako (I see your greatness)

(Chorus:)

Hakuna mkamilifu katika wanadamu (No one among me is more perfect/complete)
Zaidi ya ewe Mungu wangu (Than You, oh my God)
Kila goti lipigwe, kila ulimi ukiri (Let every knee bow, and every tongue to confess)
Kuwa wewe ni Mungu pekee (That You are God alone)

(Chorus:)

Umenipigania vita vikali (You fought great battles for me)
Ambavyo mimi singeweza pekee yangu (That I could not have fought alone)
Maadui waliniandama (My enemies followed me)
Lakini ukawatawanya kwa njia saba (But You scattered them seven ways)
Usifiwe, uabudiwe (Be praised, be worshiped)

Bridge:
Unabaki kuwa (Mungu tu) (You remain – the only God)

Jerusalem Lyrics by Emmy Kosgei

3 Comments


(Sung in Kalenjin)

Chorus:
Kimi rutoito, kimite banda o (We are pilgrims, we are travelling)
Kibendi gaa Jerusalem (We are going home, to Jerusalem)

Ngonyuni Kimite, koma nenyonet (This world is not ours)
Kiwo kochobwech Jeso nenyonet koret (Jesus has gone to prepare us a home)
Asi ole mi, kemi ak echei (So that where He is, we may be also)
Kimite rutoito, kimitei banda o (We are pilgrims, we are on a journey)

(Chorus)

Betusiekap chi ko nwagen eng’ ng’onyuni (The days of man are few on earth)
U sogek che restos, urwet che labati (It is like withering grass, or a passing shadow)
Tos ichobotu kimwa ko bo ile (Do you fight as he commanded?)
Kataruget ne mie, ageni kutwet o (I fight the good fight, I await my crown)

(Chorus)

Ara ongigilgei, onge chechem banda o (So we should carry on,  and press forward)
Amu mi Jeso kobotech agoi kagesuno (For Jesus is with us until the end)
Ogerro nyone Jesu, nam mising’ noto itinye (Look Jesus is coming, hold closely to what you have)
Asi magibenek chi, Utweng’ung’ (That no-one may steal your crown)

(Chorus)

Mtakatifu (Holy) by Frank Njuguna

38 Comments



(Sung in Swahili)

Sitaabudu miungu mingine, (I will not worship other gods)
Iliyo na mifano yeyote (Fashioned in any way)
Sitapiga magoti yangu nisujudu (I will not bow down to worship)
Nitakusanya sadaka zangu ziwe manukato (But will bring my offering as incense)
Kwa Yesu, astahili sifa (To Jesus, who deserves praise)

Chorus:
Naleta sadaka za sifa kwako Bwana (I bring my sacrifice of praise to You Lord)
Heshima na mamlaka zipokee (Receive all the glory and honor)
Mtakatifu, mtakatifu, nakuita mtakatifu (Holy, Holy, I call you Holy)
Oh Yesu, wewe mtakatifu (Oh Jesus, You are Holy)

Pokea sifa na utukufu (Receive praise and glory)
Na heshima ni zako Bwana (And all honor belongs to you Lord)
Pokea sifa na utukufu (Receive praise and glory)
Na heshima Bwana (And honor, Lord)

Bridge:
Uh, Oh Yesu, wewe mtakatifu (Uh…, Oh Jesus you are Holy)

Nyumbani (Home) Lyrics by Ruri Sambili

1 Comment



(Sung in Kalenjin – A Hymn)

Yelele Nyumbani (Yelele, Home) x4

Jesu lapkeiyetab sobondanyu (Jesus is the light of my soul)
Ng’ang’wa imandang’ung’ (Teach me Your righteousness)
Kweng’wa oret ne abune (Lead me in the road I travel)
Asi matekta mesundeito (That troubles may not overwhelm me)
Ye kait sait ne kaimen emet (When it is time for the land to awaken)
Ak ang’etat ak aboi .?. (And I rise to .?.)
Kona awo aru komnye (Lead me until it’s time to sleep)
Ak iriba eng’ mesundeito (And protect me from the darkness)

Chorus:
And I say, you are the sun of my soul
You are the light of my life
Leading me all the right way home
Jesus, you are the song of my soul
Yelele Nyumbani (Yelele, Home) x4

Tebi kabota eng’ kemoi tugul (Abide with me through the night)
Jesu inegitena kat koech (Jesus, protect me until dawn)
Kona ang’eet achamege (Grant me to awake alright)
Si achobok ayai boisieng’ung (That I maybe able to continue your work)
Jesu, ii Lapkeiyetab kipsengwet (Jesus, you are the light of heaven)
Mami mesundeita eng’ oldang’ung’ (There is no darkness in your realm)
Iluuchi nguno orennyu (Lead me today in my way)
Agoi tun aitu taing’ung’ (Until the time I come before your presence)

(Chorus)

Shuka Baba (Come Down Father) Lyrics by Eunice Njeri

2 Comments



(Sung in Swahili)

Shuka utende Yesu, Kenya tunakungoja (Come down Jesus, Kenya awaits you)
Shuka utende Yesu, Watu tunakungoja (Come down Jesus, we are waiting for you)

Refrain:
Hapa hatutoki Bwana, hadi tukuone (We won’t leave, until we see you)
Wala hatutasinzia, hadi tukuone (Neither shall we slumber, until we see you)
(Shuka ee, Shuka Baba – (Come down, Come down Father))

Jamii zilizotengana, mayatima Baba (Conflicted tribes and the orphans father)
Viumbe vyote Baba, wote tunakungoja (All creations Father, we all await)
Jamii zilizotengana, mayatima Baba (Conflicted tribes and the orphans father)
Nena neno moja, wote tunakungoja (Just say one word, we are all waiting for you)

(Refrain)

Wajane na wagonjwa, matajiri wote (The widows, the sick and the rich)
Dunia nzima yahweh, wote tunakungoja (All the world awaits you Yahweh)
Nena kwa sauti, nena neno lako (Speak with a loud voice, speak your word)
Tu tayari kusikiza, wote tunakungoja (We are ready to listen, we all await you)

(Refrain)

Bridge:
Kama siku, siku ya Pentekote (Just like the day of Pentecost)
Shuka na moto wako, ututembelee  (Descend with your fire, and visit with us) (Repeat)

(Refrain)

Older Entries Newer Entries