Daddy God Lyrics by Niyo Bosco

Leave a comment


(Languages: Kinyarwanda, Kirundi, English, Kiswahili)

Burya wari uhari (You were there), when I was wondering
Lost and alone till your right time
I was nobody, before you counted me in
When I needed you the most, nimekuona (I have seen You)
Maisha yangu ni testimony (My life is a testimony)
Kubwira abantu ko wantunze inkoni (Telling people you gave me a chance)
Ntabwo bijya bintera isoni (I am not embarrassed)
Nasema asante (I say thank you)
For all the battles you fought for me
For every broken piece that you fixed
Ndumva umutima wange uganjwe n’amashimwe (My heart overflows with praise)

Pre-Refrain:
Narwanaga intambara zikomeye (I fought hard battles)
Nibwiraga ko nge ubwange nzishoboye (That I thought I could fight by myself)
Ndatsindwa cyane nsanga ari wowe nkeneye (I failed so hard, and find that it is You I need)
None dore uko unyitaho (And look at how you talk care of me)

Refrain:
Daddy God, Daddy God
I thank you for Your affection
All along, you’ve been so, so close in every situation
Daddy God, Daddy God
You dey move in every season
All along, you’ve been so, so close in every situation
No hesitation, nina (I have) protection
Ntabwoba bw’ejo Baba God uri maso (I’m not afraid of tomorrow, Father God You are awake)

When I couldn’t see the way, You made it clear
Baba Mungu (Father God) you took away all my fears
You told me “My child, I dey always here”
Ibyo ndabyumva ngatuza, ngateta nk’umwana uri kwa Papa (I hear this and calm down like a child at His father’s house)
Kubwira amahanga yose ibyo wankoreye (I will tell all the nations what You have done for me)
Ndumva aribyo bya mbere bindyoheye (I feel like this is the first time I’ve tasted it)
Of course, I don’t walk alone, ’cause you lead me on
You never leave your own, you always make me shout “Hallelujah!”

(Pre-Refrain + Refrain)

Yesu Mtenda Makuu (Jesus, Doer of Great Things) Lyrics by Msanii Music Group

Leave a comment


(Sung in Kiswahili)

Yesu, mtenda makuu (Jesus, doer of great things)
Nina imani nawe (I have faith in You)

Refrain:
Yesu, mtenda makuu (Jesus, doer of great things)
Nina imani nawe (I have faith in You)
Yesu, mtenda makuu (Jesus, doer of great things)
Nina imani nawe (I have faith in You)
Mwananke aliyetokwa na damu (The woman who bled)
Kwa muda wa miaka kumi na mbili (For a period of twelve years)
Aligusa pinde, naye akapona (Touched the hem of His garments, and was healed)
Sina shaka na wewe, hata leo umesimama na mimi (I have no doubt that You stand with me today)
Yesu, mtenda makuu (Jesus, doer of great things)
Kwenye mawimbi mazito (In stormy waves)
Umenishika mkono (You have held my hands)
Yesu, mtenda makuu (Jesus, doer of great things)
Mbele yangu umenitangulia (You go before me)
Umeutuliza na moyo wangu (You calm my heart)
Nikiwa na wewe niko salama (Niko salama) (With You I am safe, I am safe)
Mbele yangu umenitangulia (You go before me)
Umeutuliza na moyo wangu (You calm my heart)
Nikiwa na wewe niko salama (Niko salama) (With You I am safe, I am safe)

Kwenye mapungufu yangu (In my weaknesses)
Nakuomba Bwana unijibu na mimi (Lord, I pray you answer me too)
Maishani mlima (Life is a mountain)
Na bila nguvu zako sitaweza kuupanda (Without You, I cannot climb it)
Ni nani anaweza fanya mambo yake (Who can act)
Pasipo mkono wako Bwana? (Without the hand of the Lord?)
Sina ujanja wa kufanya lolote (I have no cleverness to do anything)
Bila wewe Bwana, ni bure! (Without You Lord, I am nothing!)

(Refrain)

Ole wake anayetegemea nguvu zake (Woe unto him that depends on their strength)
Na amelaaniwa mtu yule (And cursed is they that)
Anayemtegemea mwanadamu mwenzake (Rely upon their fellow human)
Amfanyaye kinga yake (To make them their refuge)
Na kumtemga Muumba wake yeye (And setting aside their Creator)
Mtegemee Mungu siku zote (Depend on God all your days)
Kwa mambo yako, naye atasimama na wewe (And He will stand with you in all your ways)
Utapata ushindi (And you shall be victorious)

(Refrain)

 

You are Good (Ulungile) Lyrics by Sinach

Leave a comment


(Languages: English, Zulu)

Ah.. eh… ulungile (You are good)
Ah.. eh… ulungile (You are good)

You are good
You are kind
You are faithful
We praise Your name, Lord (Repeat)

(From the Top)

Siyabonga, siyabonga (We thank you, we thank You) x?

Ah.. eh… ulungile (You are good)
Ah.. eh… ulungile (You are good)

Siyabonga, siyabonga (We thank you, we thank You) x?

Ah.. eh… ulungile (You are good)
Ah.. eh… ulungile (You are good) (Repeat)

Siyabonga, siyabonga (We thank you, we thank You) x?

You are good
You are kind
You are faithful
We praise Your name, Lord

Ah.. eh… ulungile (You are good)
Ah.. eh… ulungile (You are good)

This is my Story Hymn Lyrics Sung by Tshwane Gospel Choir Ft Nkosana Nkosi

Leave a comment


Refrain:
This is my story, this is my song
Praising my Savior, all the day long
This is my story, this is my song
Praising my Savior, all the day long

Blessed assurance, Jesus is mine
Oh, what a foretaste of glory divine
Heir of salvation, purchase of God
Born of His Spirit, washed in His blood

(Refrain)

Perfect submission, perfect delight
Visions of rapture now burst on my sight
Angels descending, bring from above
Echoes of mercy, whispers of love

(Refrain)

Msaada (Help) Lyrics by Paul Clement

Leave a comment


(Sung in Kiswahili)

Tegemeo letu ni Mungu (Our hope is on God)
Hawezi kutuangusha (He will never let us down)
Wakati wengine, wanategemea nguvu zao (When others depend on their strengths)
Sisi za kwetu, zinatoka kwa Mungu (Ours come from God)
Hatima ya maisha yetu, ni mikononi mwake (Our life’s fate are in His hands)
Maana ametuchora kwenye viganja vyake (For He has drawn us on His palms)

Wanadamu walinisahau (People forgot me)
Kwenye mipango yao (In their plans)
Sababu waliona sifa ndani yao (For they elevated themselves)
Walinipo nitazama wakanidharau (And despised me)
Jambo moja najua kuhusu Mungu (But one thing I know about God)
Anasahau dhambi tu, ila si mtu (He forgives sins, and not a person)
Na vile nimefanana na yeye (And the way I am like Him)
Hawezi sahau sura yake (He will not forget His face)

Refrain:
Ah! Eh! Kwa msaada wa Mungu (Ah! Eh! With God’s help)
Tutafanya makuu (We shall do great things)
Ah! Eh! Kwa msaada wa Mungu (Ah! Eh! With God’s help)
Tutatenda makuu (We will do great things)

Maana neema yake iko juu yetu (For His grace is upon us)
Hatutaishia njiani (We shall not fall by the wayside)
Tena nguvu zake zimetufunika (And His power is over us)
Hatutaogopoa chochote (We shall not fear anything)
Palipo na milima atafanya tambarare (Where there are hills, he has made flat)
Atainyosha njia yetu (He straightens our paths)
Palipo na ugumu atafanya wepesi (Where there are hardships, he has made ease)
Hatutatumia nguvu zetu (We shall not use our strengths)
Maana atatubeba mabegani mwake, hatutaanguka (For He carries us on His shoulders, we shall not fall)

(Refrain)

(Nani Anaamini?) Mimi naamini (Who believes? I believe that)
Kwa msaada wake Mungu nitafanya makuu (With the Help of God, I shall do great things)
(Nani Anaamini?) Mimi naamini (Who believes? I believe that)
Awa msaada wake Mungu nitatenda makuu (With the help of God, I will do great things) (Repeat)

Older Entries Newer Entries