Minyororo (Chains) lyrics by Esther Wahome

Leave a comment


Miguu na mikono umefungwa, Mawazo yako yamefungwa
Macho umefungwa hauoni,Roho yako pia imefungwa
Yesu ana ufunguo, usife moyo

Jela ya shetani, minyororo minyororo
Yesu afungua minyororo minyororo
Jela ya shetani, minyororo minyororo
Yesu afungua minyororo minyororo

Njaa na kiu kwenye jela, Mateso mengi ya kutisha
Wewe mtupu hauna kitu,Magonjwa pia yamekusonga
Yesu ana ufunguo wa huo jela

Mpango wa shetani kwenya jela,Ni kuiba tena na kuharibu
Mshahara wake yeye ni mauti, Kubali Yesu yeye akuweke huru
Akutoe jela ya shetani

Jela ya shetani, minyororo minyororo
Yesu afungua minyororo minyororo
Jela ya shetani, minyororo minyororo
Yesu afungua minyororo minyororo

Wazee tokeni hiyo jela, wamama tokeni hiyo jela
Vijana tokeni hiyo jela, watoto tokeni hiyo jela
Jela ya hukumu, jela ya mauti

Jela ya shetani, minyororo minyororo
Yesu afungua minyororo minyororo
Jela ya shetani, minyororo minyororo
Yesu afungua minyororo minyororo

Hachagui (He Does Not Discriminate) Lyrics by Esther Wahome

Leave a comment


Chorus:
Hachagui kabila, hachagui taifa
Hachagui tajiri, wote awapenda
Hachagu kabila, hachagui taifa
Hachagui tajiri, wote awapenda

Nilisikia kuna mpenzi ambaye hachagui
wote awapenda, wote awajali
Nilimpa maisha yangu nayo yakawa sawa
Ni mwanaume wa wanaume, hachagui hachagui

(Chorus)

Nilianza safari kwa mataifa mbalimbali
Ili nitangaze yesu na matendo yake
Wamekubali wamesema yesu ni namba moja
Ni mwanaume wa wanaume, hachagui hachagui

(Chorus)

Natangazia wazee pia na vijana
Kwani huyu mpenzi, hachagui miaka
Hata watoto anasema, wote waje kwake
Ni mwanaume wa wanaume, hachagui hachagui

(Chorus)

Nampenda huyu mpenzi aliyenipenda mbele
Tena alijitoa afe kwa ajili yangu
Damu yake alimwaga ili nisipotee
Ni mwanaume wa wanaume,

(Chorus)

Natangaza hachagui, huyu yesu awapenda eh oh
Awapenda wote, huyu yesu
Awajali wote, haleluyah
Awajali wote

(Chorus)

Daktari lyrics by Esther Wahome

Leave a comment


Daktari wa moyo nipima pime, Daktari wa mwili wangu touch me
Daktari wa moyo nipima pime, Daktari wa mwili wangu touch me

Nimeskia sifa zako daktari,Vile Sara na Hana uliwapa wana
Ukimgusa tasa anapata mapacha, Oh Daktrari, oh Daktari
Oh daktari, daktari touch me!

Daktari wa moyo nipima pime, Daktari wa mwili wangu touch me
Daktari wa moyo nipima pime, Daktari wa mwili wangu touch me

Kuna vile unaelewa unyonge wangu, au uchungu wangu na haja zangu
Hata na akili zangu dhamiri yangu, Tafadhali daktari
Oh daktari,Eh daktari, daktari touch me!

Daktari wa moyo nipima pime, Daktari wa mwili wangu touch me
Daktari wa moyo nipima pime, Daktari wa mwili wangu touch me

Wazee wamama na vijana wapime oh, hata watoto pia uwapime baba
Ukipata magonjwa, uwatibu daddy, moyo mwili na moyo wewe ni daktari
Eh Daktari, daktari, oh daktari, daktari

Daktari wa moyo nipima pime, Daktari wa mwili wangu touch me
Daktari wa moyo nipima pime, Daktari wa mwili wangu touch me

Tukutendereza (We Praise You) by Esther Wahome

3 Comments


(Sung in Luganda, Zulu, Swahili and Bemba)

Chorus:
Tukutendereza, Tukutendereza Yesu (We praise you, we praise you Jesus) x2
Siyakudumisa, Siyakudumisa Yesu  (We praise you, we praise you Jesus) in Zulu
Tukutendereza,Tukutendereza (We praise you, we praise you Jesus) in Luganda

Jina lako limetukuka juu, juu sana (Your name is praised on high)in Swahili
Ndio maana ninakuabudu, nikisema tukutendereza (That is why I sing saying “praise you”)
Natotela, Natotela Lesa wandi (I thank my God) – In Bemba
Natotela, Natotela Tata wandi (I thank my Father)
Natotela, natotela (I give thanks, I give thanks)
Tata wandi Nalikutemwa (My Father, I love You)
Lesa wandi Nalikutemwa (My God, I love You)
Natotela, Natotela (I thank You)

(Chorus)

Uwepo wako upo nami baba, hauniachi (Your anointing is with me, it won’t leave me)
Hauniachi, ee baba yangu (It won’t leave my my Father)
Ndo maana ninakuinua, tukutendereza (That is why I lift you up in praise)
Natoteela, lesawandi na likutemwa (?)
natotela, Natoteela, tatawandi na likutemwa (?)

(Chorus)

Newer Entries