Sitanyamaza Lyrics by Rose Muhando

2 Comments


(Sung in Swahili)
Eeeehhhh…. Mimi Mungu (Me, God)
Matendo nitalia, Kwa sinani nitaomboleza
Sodoma nitanung’unika, Mipakani nitashambulia
Mijini wameniacha,Kila mara nitashambulia
Maisha ya wanadamu, Yamenichosha….

Oh oh mimi
Sitanyamaza, wala sitanyamaza
Lakini nitalipa ujira wa vifuani mwao
Maovu yenu ninyi, pamoja na baba zenu
nasema nitalipa ndio mjue mimi ni Bwana
Mmefukiza uvumba, na kunitukana
Kwa ajili ya haya mtajutia vitani mwenu?(repeat)

mmefanya uzinzi katikati ya milima
Usiku wa manane mmefanya ukahaba
Kwenye njia kuu na vichochoro mmefanya mapatano
Kwenye mialoni na mipera mmefanya machukizo (repeat)

Ulitumaini uzuri wako ukafanya ukahaba
Kila kijana aliyepita ulimwona anafaa
Awe mzuri na sura mbaya ulifunua marinda

Wako wapi wapenzi wako mbona sasa unakonda
Wako wapi mapenzi zako mbona sasa unakonda
Wako wapi wapenzi wako mbona sasa unakonda
Wako wapi waelizamu (?) wako mbona sasa unakonda

Miji mizuri imekuwa ukiwa
Majumba mazuri yamefungwa kabisa
Wana wa wana wamebaki yatima
Kiburi chamuwamu(?) imekoma kabisa (repeat)

Hebu sasa piga kelele uliye kahaba,
Shika kinubi omboleza upate kukumbukwa (repeat)

Nirudieni mimi niwasamehe, Nasema mgeukeni sasa niwaponye
Nirudieni mimi niwasamehe, Nasema mgeukeni sasa niwaponye (repeat)

Lakini Bwana asema hivi, nitawaponya
Yeye mwenyewe aahidi, nitawabariki
Mimi ni alfa na omega, mwanzo na mwisho
Jamani mimi ni mungu, mwingine hapana

Nirudieni mimi niwasamehe, Nasema mgeukeni sasa niwaponye (repeat)

Ongeureren Lyrics by Emmy Kosgei ft Lin

1 Comment


Intro (Lin):
onge … onge u ra la Ongeureren, onge o la la, onge … Oh

Emmy
O haye, O la la la la la, ongereureren, o la la la la la
Ongeureren o leiye

Chorus:
Emmy And Lin
O haye, O la la la la la, ongereureren, o la la la la la
Ongeureren o leiye
Emmy: E le le li le le le le
All: Ongeureren, ongeulala (X 4)

Verse 1(Emmy):
Ongilosu Jehovah yetin, Kigogochi tulwenyo ko kimi
Maigochi bunik cho bo kaskei,Kagoisto kemoi o
Kagoekchi boiboyet leiye, O haye, O la la la la la
Ongeureren o leiye,

(Chorus)

Verse 2 (Emmy):
Ongeureren ongeulala, Ongeureren Jesu nenyo ra
Ongebutik bukandit leiye, Ne tinyei inoin taman
Ongetienjin Jehova leiye, Ongetienjin tienito ne leel
Aya ya ya ya, I rimel(?) o nenyo jehovah
lOngetabyet tulenyo jehovah, Ongeureren O leiye

O haye, O la la la la la, ongereureren, o la la la la la
Ongeureren o leiye, O haye

Emmy:
O haye, O la la la la la, ongereureren, o la la la la la
Ongeureren o leiye
Emmy And Lin
O haye, O la la la la la, ongereureren, o la la la la la
Ongeureren o leiye

Verse 3:
Kingomoror nyanjet leiye, Konya che menyei oloto
Kingorap ra baitosiek leiye, Kingotyen tulondok agichek
Kigogonech Jehovah che miach, Kigowekwek mining’naptenyo
Ne yae Che echen kikwong’ei, Long’et agui ne taab yetunet
Ongeureren O leiye

All: Ongeureren, ongeulala (X 8)

Yesu Jemedari lyrics by Wangeci Mbogo

Leave a comment


(Sung in Swahili)

Yesu ndiye Jemedari wangu
Ni jemedari wangu, hakuna mwingine
Yesu ndiye Jemedari wangu
Ni jemedari wangu, hakuna mwingine

Chorus:
Huyu yesu, Asifiwe yesu
Asifiwe yesu, hakuna mwingine
Huyu yesu, Asifiwe yesu
Asifiwe yesu, hakuna mwingine

Yesu ndiye kiongozi wangu
Anionyesha njia, popote niendapo
Yesu ndiye kiongozi wangu
Anionyesha njia, popote niendapo

(Chorus)

Yesu ndiye mwokozi wangu
Kamwaga damu yake, nipate wokovu
Yesu ndiye mwokozi wangu
Kamwaga damu yake, nipate wokovu

(Chorus)

Ahh Yesu, Yesu, huyu yesu, huyu yesu, yesu
Yesu, huyu yesu, huyu yesu, yesu
Yesu, huyu yesu, huyu yesu, yesu
Yesu, huyu yesu, huyu yesu, yesu
Asifiwe yesu, asifiwe yesu, hakuna mwingine

(Chorus)

Apewe Sifa lyrics by Wangeci Mbogo

1 Comment


mba, mba, mba, mba, mba, mba, mba, mba
mba, mba, mba, mba, mba, mba, mba, mba

Bwana wa mabwana apewe sifa, Bwana wa mabwana apewe sifa
Bwana wa mbinguni apewe sifa,Bwana wa mbinguni apewe sifa
Yeye ni mfalme apewe sifa, Yeye ni mfalme apewe sifa
Yesu mwokozi apewe sifa, Yesu mwokozi apewe sifa,

Atupenda, atujali, abariki,yeye ni mwema
Mwamba wetu, kimbilio, mfariji yeye ni mungu

Aliteseka kwa ajili yetu, Aliteseka kwa ajili yetu
Akatufia msalabani, Akatufia msalabani
Ili tupate wokovu kwake, Ili tupate wokovu kwake
Tuwe na ushindi kwa jina lake, Tuwe na ushindi kwa jina lake

Tumsifu, tumwabudu, tumwiuen, yeye ni Bwana
Jehovah Jireh, Jehovah shammah, Jehovah rafa, yeye ni Mungu

Bwana wa mabwana apewe sifa, Bwana wa mabwana apewe sifa
Bwana wa mbinguni apewe sifa,Bwana wa mbinguni apewe sifa
Yeye ni mfalme apewe sifa, Yeye ni mfalme apewe sifa
Yesu mwokozi apewe sifa, Yesu mwokozi apewe sifa,

Atupenda, atujali, abariki,yeye ni mwema
Mwamba wetu, kimbilio, mfariji yeye ni mungu
Tumsifu, tumwabudu, tumwinue, yeye ni Bwana
Jehovah Jireh, Jehovah shammah, Jehovah rafa, yeye ni Mungu

Atupenda, atujali, abariki,yeye ni mwema
Mwamba wetu, kimbilio, mfariji yeye ni mungu
Tumsifu, tumwabudu, tumwinue, yeye ni Bwana
Jehovah Jireh, Jehovah shammah, Jehovah rafa, yeye ni Mungu

Atupenda, atujali, abariki,yeye ni mwema
Mwamba wetu, kimbilio, mfariji yeye ni mungu

Pendo La Ajabu lyrics by Jemimah Thiong’o

Leave a comment


Chorus;
Yesu pendo lako ni pendo la ajabu
Yesu pendo lako ni pendo la ajabu
Yesu pendo lako ni pendo la ajabu
Pendo ambalo sikupata ulimwenguni

Verse 1:
Nilizunguka nikitafuta rafiki
Nukazunguka nikitafuta mpenzi
Rafiki wote walikuwa ni waongo
Naye mpenzi kageuka kuwa hasidi
Waliniacha nikiwa hali mahututi
Niliodhani kuwa ni rafiki zangu
Naye mpenzi akaniharibia sifa
Yesu akaja kwa kweli kaniokoa

(Chorus)

Verse 2:
Na kitandani nilikuwa nimelazwa
Marafiki wakanitazama kaenda
Wakasema kweli huyu hawezi pona
Lakini Yesu yeye hakuniacha
Korokoroni kwa kweli mi nilipofungwa
Hakuna aliyetaka kuhusishwa nami
Hakuna ndugu aliyenitembelea
Rafiki Yesu yeye hakuniacha

Verse 3:
Na isitoshe baada ya haya yote
Kanionyesha dhambi zangu huyu mpenzi
Akaniambia nikitubu taniokoa
NIweke huru kisha anipe hai
Niliopata kwa yesu ni ya ajabu
Upendo huu sijapata kuona mwingine
Sasa natangaza wote wakafahamu
Pendo la Yesu ni pendo la ajabu

(Chorus)

Older Entries Newer Entries