Yesu Kwetu Ni Rafiki (What a Friend we Have in Jesus) (Tenzi 9) Hymn Lyrics by Msanii Music Group

2 Comments


(Sung in Swahili – A Hymn)

Yesu kwetu ni rafiki (What a friend we have in Jesus)
Hwambiwa haja pia (All our sins and griefs to bear)
Tukiomba kwa Babaye (What a privilege to carry)
Maombi asikia (Everything to God in prayer)
Lakini twajikosesha (O what peace we often forfeit)
Twajitweka vibaya (O what needless pain we bear)
Kwamba tulimwomba Mungu (All because we do not carry)
Dua angesikia (Everything to God in prayer)

Una dhiki na maonjo (Have we trials and temptations?)
Una mashaka pia (Is there trouble anywhere?)
Haifai kufa moyo (We should never be discouraged)
Dua atasikia (Take it to the Lord in prayer!)
Hakuna mwingine Mwema (Can we find a friend so faithful)
Wa kutuhurumia (Who will all our sorrows share?)
Atujua tu dhaifu (Jesus knows our every weakness)
Maombi asikia (Take it to the Lord in prayer)

Je, hunayo hata nguvu (Are we weak and heavy laden)
Huwezi kuendelea (Cumbered with a load of care?)
Ujapodharauliwa (Though your friends despise you)
Ujaporushwa pia (Though they forsake you?)
Watu wange kudharau (Though you are despised)
Wapendao dunia (By worldly people)
Hukwambata mikononi (In his arms he’ll take and shield you)
Dua atasikia (You will find a solace there)

Tlo Moya o Halalelang (Come Holy Spirit) Hymn Lyrics by Judith Sephuma (Sefela 60)

2 Comments


(Languages: Sotho, Zulu)

Refrain (in Sotho):
Tlo Moya o halalelang (Come Holy Spirit)
Moe’a ‘nete, wa cheseho (The Spirit of truth)
Kena di pelong tse batang (Enter into our cold hearts)
Di tukiswe ka Lerato (Warm them with your Love) (Repeat)

Refrain (in Zulu):
Woza Moya oyincwele
Wena Moya, weqiniso
Ngena ehlizweni zethu
Zilungisize nothando (Repeat)

Re be jwale ka difate (May we be like the trees)
Tse hlomiloeng pel’a metsi (That are planted beside the waters)
Re nosetswe, Moe’a Ntate (That we may be watered with the Holy Spirit)
Ka matsatsi le matsatsi (Day by day) (Repeat)

(Refrain — Sotho)

Bwana U Sehemu Yangu (Lord, You are My Everlasting Portion) Hymn Lyrics by Msanii Music Group (Tenzi 116)

Leave a comment


(Sung in Swahili – A Hymn)

Bwana, u sehemu yangu (Lord, You are my everlasting portion)
Rafiki yangu, wewe (More than a friend to me)
Katika safari yangu (In my pilgrim journey)
Tatembea na wewe (Let me walk with You) (Repeat)

Pamoja na wewe (Together with You)
Pamoja na wewe (Closer to You)
Katika safari yangu(In my pilgrim journey)
Tatembea na wewe (Let me walk with You)

Mali hapa sikutaka (I do not seek worldly pleasures)
Ili niheshimiwe (That I be respected)
Heri nikute mashaka (Even if I encountered suffering)
Sawasawa na wewe (I’m safe as long as You’re with me) (Repeat)

Pamoja na wewe (Together with You)
Pamoja na wewe (Closer to You)
Na yanikute mashaka (Even if I encountered suffering)
Sawasawa na wewe (I’m safe as long as You’re with me)

Niongoze safarini (Lead me on the journey)
Mbele unichukue (And bear me there)
Mlangoni mwa mbinguni (At the gate of heavens)
Niingie na wewe (May I enter with You) (Repeat)

Pamoja na wewe (Together with You)
Pamoja na wewe (Closer to You)
Mlangoni mwa mbinguni (At the gate of heavens)
Niingie na wewe (May I enter with You)

Katika safari yangu(In my pilgrim journey)
Tatembea na wewe (Let me walk with You)
Heri nikute mashaka (Even if I encountered suffering)
Sawasawa na wewe (I’m safe as long as You’re with me)
Mlangoni mwa mbinguni (At the gate of heavens)
Niingie na wewe (May I enter with You)

Pula Tsa Lehlohonolo (Showers of Blessings) Hymn Lyrics Sung by I.P.C.C (Sefela 354)

Leave a comment


(Sung in Sotho – A Hymn)

Pula tsa lehlohonolo (When the showers of blessings)
Ha di na ka medupi (Rain down)
Hohle e le diphororo (When they fall everywhere)
Le’na hle o nkgopole (Please remember me)
O Jesu, Mong’a ka (O Jesus, my Lord)
O se ntebale le’na (Do not forget me)

Refrain:
O Jesu, Mong’a ka (O Jesus, my Lord)
O se ntebale le’na (Do not forget me)

Oho se mphete Monghadi (My Savior, do not pass me by)
Bona, ke omeletse (Behold, I’m dry)
Rothisetse marothodi (Grant me a little rain)
Le’na o nkolobise (That I may be baptized)

(Refrain)

Mmoloki wa k’a lerato, (My loving Savior)
Ke kgomaretse wena (I am clinging unto You)
Ha o fa ba bang ha hakaalo (As you greatly bless others)
(Ntate) Mphe hanyenyane le’na (Bless me a little as well)

(Refrain)

(Last Verse + Refrain)

Ukufezwa kwamadinga (Fulfillment of Promises) Hymn Lyrics by Ncebakazi Msomi

Leave a comment


(Sung in Zulu — A Hymn)

Phakamis’iingcinga zethu (Lift up our minds)
Moya oyiNgcwele (Oh Holy Spirit)
Sikhumbul’izenzo zakho (To remember Your deeds)
Sizishumayele (And to preach it)

Leya mini wehla ngayo (Like that day He came down)
Ma iphindwe kuthi (Let it be repeated to us again)
Uze lowo mlilo waKho (Come with Your Fire)
Uwe apha kuthi (Fall here on us)

Yiz’ uxela isaqhwithi (Come in Your Storm)
Uzalis’ iindawo (Fill this space)
Size siv’ amandla akho (Until we hear Your Power)
Kwa nokwenza kwakho (And witness Your actions)

Ukufezwa kwamadinga (Fulfill Your promises)
Sikulinda apha (We await You here)
Yehla, Moya oyiNgcwele (Come down, Holy Spirit)
Usebenze apha (And do Your work here)

Yehla Moya oyiNgcwele (Come down, Holy Spirit)
Usebenze apha (And do Your work here) (Repeat)

Older Entries Newer Entries