Mifupa Mikavu (Dry Bones) Lyrics by Christina Shusho ft. Saint Stevoh

Leave a comment


(Sung in Swahili)

Ezekieli akiwa katika Roho (Ezekiel when in a vision)
Bwana akamweka chini (God placed him down)
Katika bonde nalo limejaa mifupa (In a valley full of bones)
Kamwambia Ezekieli “Je mifupa yaweza kuishi?”
(He asked Ezekiel “Is it possible for the bones to live?”)
Naye akajibu, “ee Bwana waijua wewe”
(And he replied, “Oh Lord You know”)
Bwana akamwambia “tabiri juu ya mifupa hii”
(The Lord told him “Prophesy over these bones”)
“Enyi mifupa, lisike neno la Bwana”
(You bones, listen to the word of the Lord)

Refrain:
Mifupa mikavu nakutabiria (Dry bones I prophesy to you)
Kwa jina le Yesu, uwe hai tena
(In the name of Jesus, to become flesh)
(Repeat)

Tabiri kwa upepo na mwili
(Prophesy in the spirit and in the flesh)
Roho wa Mungu aiweke dhahiri
(The Spirit of the Lord to make clear)
Kwa wanadamu waliona jikavu
(For as humans who only saw dry bones)
Kwa Mungu aliona jeshi moja shupavu
(God saw a mighty army)
Kuna wengi wetu tunapambana
(There are many of us who struggle)
Ng’ang’a na maisha yetu ngumu zaidi ya janga
(We wrestle with our tough lives)
But hiyo ni tu ni [.?.] rudisha
(But all that is […], it will be restored)
Position yetu in Christ, more than victorius
(Our position in Christ…)
Help thee, wealth thee and righteous
Maandiko imesema si waridhi wa mfalme
(The scripture says, we are inheriters of the kingdom)
Hautakufa, utaishi na kusimulia wema wa Bwana
(You will not die, but live and tell of the Lord’s Goodness)

(Refrain)

Natabiri juu ya afya yako (I prophesy over your health)
Natabiri juu ya kazi yako (I prophesy over your work)
Vilivyo kufa viwe hai, viwe hai tena
(Whatever was dead to live, to be live again)
Natabiri juu ya ndoa yako (I prophesy over your marriage)
Natabiri juu ya watoto wako (I prophesy over your children)
Vilivyo kufa viwe hai, viwe hai tena
(Whatever was dead to live, to be live again)
Hautakufa, utaishi na kusimulia mema wa Bwana
(You will not die, but live and tell of the Lord’s Goodness)
Vilivyo kufa viwe hai, viwe hai tena
(Whatever was dead to live, to be live again)

(Refrain)

Amenifanyia Amani (He has Granted Me Peace) Lyrics by Paul Clement

1 Comment


 

(Sung in Swahili)

Refrain:
Amenifanyia amani (He has granted me peace)
Amenifanyia amani (He has granted me peace)
Kaondoa huzuni yangu (He removed my sadness)
Kanifanyia amani (And granted me peace)

Nijapopita, kwenye bonde la mauti (Though I walk through the valley of death)
Sitaogopa, maana wewe uko nami (I shall not fear, for You are with me)
Gongo lako na fimbo yako (Your rod and Your staff)
Eh Bwana vyanifariji (Oh Father they comfort me)
Wanifanyia amani (You grant me peace)
Umesema ya kwamba hutaniacha (You said that You would never leave me)
Sababu mimi ni mboni ya jicho lako (For I am the [apple] of your eye)
Bwana wanitazama, asubuhi, mchana, jioni
(Lord You look over me, Morning, afternoon, evening)
Eeh Bwana – kweli Mungu wa baraka
(Oh Lord – You are the God of blessings)

(Refrain)

Amebadilisha uchungu wangu (He turned my pain)
Umekua ni furaha yangu (It has become my joy)
Huyu Yesu amenipa furaha – Kanifanyia amani
(This Jesus gave me joy – granted me peace)
Amebadilisha machozi yangu (He turned my tears)
Yamekuwa ni furaha yangu (To become my joy)
Huyu Yesu amenipa furaha – kanifanyia amani
(This Jesus gave me joy – granted me peace)

(Refrain)

Furaha unipayo siyo kama ya dunia hii
(The joy You give me, is not of this world)
Amani unipayo siyo kama ya ulimwengu huu
(The peace You give me, is not like of this world)
We waniganga moyo nipatapo uchungu
(You encourage me in times of troubles)
Wanifanyia amani (You grant me peace)

Amenifanyia furahax2 (He has granted me joy)
Kaondoa huzuni yangu (He removed my sadness)
Kanifanyia furaha (And granted me joy)

Atawale (Let Him Reign) Lyrics by Eric Moyo and Joyous Celebration Choir 22

2 Comments


(Languages: English, Swahili, Lingala)

The Lord is my shepherd, I shall not want
He makes to lie down in green pastures
He leadeth me, besides still water
My soul overflows
And though I walk through the valley of the shadow of death
I will fear no evil
For You are with me (You are with me)

– in Swahili
Atawale x2 mwachie Yesu, atawale
(Let him reign, let Jesus come and reign)
Atawale x2 mwambie Yesu, atawale
(Let him reign, tell Jesus come and reign)
(Repeat)

Come and rain Lord, come and reign
For the Glory is Yours, come and reign (Repeat)

– in Lingala
Akumama, Yesu akumama eh
Na bomoyi nanga, akumama
(Repeat)

– in Swahili
Wa milele wa milele (Forever and ever)
Mungu wa baraka ni Yesu, Yahweh
(God of blessings is Jesus, Yahweh)
Wa milele wa milele (Forever and ever)
Mungu wa baraka ni Yesu, we
(God of blessings is Jesus)
(Repeat)

Yesu wa baraka, ni Yesu
(Jesus of blessings, it’s Jesus)
Wa baraka, ni Yesu, ni Yesu x?
(Of Blessings, it’s Jesus, it’s Jesus)

– in Lingala
Na kotika te, Yesu abonanga banabo mana ?
(Repeat)

Yesu wabonanga (Ni Yesu)
Wabonanga (ni Yesu) (Repeat)

– in Swahili
Wa milele wa milele (Forever and ever)
Mungu wa baraka ni Yesu, Yahweh
(God of blessings is Jesus, Yahweh)
Wa milele wa milele (Forever and ever)
Mungu wa baraka ni Yesu, we
(God of blessings is Jesus)
(Repeat)

Anasumbukia maisha yetu, we (He cares for our lives)
Ni Yesu Ye (It is Jesus)
Wa milele wa milele (Forever and ever)
Mungu wa baraka ni Yesu, we
(God of blessings is Jesus)
(Repeat)

Yesu wa baraka, ni Yesu
(Jesus of blessings, it’s Jesus)
Wa baraka, ni Yesu, ni Yesu x?
(Of Blessings, it’s Jesus, it’s Jesus)

Response: Aah ni Yesu, weh (Ah it’s Jesus) x?
Jesus You are my provider/my healer

Salama (It is Well) Lyrics by Abeddy Ngosso

Leave a comment


(Sung in Swahili)

Refrain:
Salama, salama oh ni salama (It is well, oh it is well)
Kwake Yesu ni salama (In Jesus all is well) (Repeat)

Napiga magoti leo (I am on my knees today)
Nikileta mahitaji yangu kwako (Bringing my needs before You)
Baba nisikie na unijibu (Father listen and answer me)
Maana sina mwingine wa kwenda
(For I have none other to go before)
Nimuombee anibariki ila ni wewe
(To pray that I may be blessed but You)
Nakuomba Baba jibu maombi yangu
(Father I pray, answer my prayers)

(Refrain)

Wewe ni Jehova Shammah (You are the Lord who is there)
Unaelewa mapito yetu (You understand our steps)
Na uzima wetu kila siku (And our daily lives)
Tumekuja Baba kusema (Father we have come to say)
Usichukuwe muda mrefu kutubariki
(Do not take long to bless us)
Na baraka zako, ndio maana tunasema
(With Your blessings, that is why we say)

(Refrain)

Response: The Refrain
Biashara yako (Your blessings)
Na jamii yako (Your family)
Hata ndoa yako (Even your marriage)
Masomo yako pia (Your studies)
Huduma yako pia (Your ministry)
Mipango yote pia ni (All your plans)
Ukikosa kazi ni salama (If you lack a job, it is well)
Ukivunjika moyoni (If you are broken-hearted)
Mienendo yangu (My steps)
Maisha Yangu (My life)
Ni salama kwake Yesu… (Is well in Jesus)

Jabali (Solid Rock) Lyrics by Joyce Omondi

Leave a comment


Refrain:
Some trust in horses
Some trust in chariots
But I, I will trust in the Name of the Lord
(Repeat)

He who dwells in the secret place of the Most High
Shall abide under the shadow of the Almighty
And I will say of the Lord
He is my refuge x2

(Refrain)

Jabali (Jabali) x2 (Solid Rock)
The Great I am is the Rock on which I stand
(Repeat)

You cover me, You shelter me
And You will answer when I call
So I will not fear the night
Or the arrow that flies by day
Saviour, there’s no place safer than in Your arms

(Refrain)

Jabali (Jabali) x2 (Solid Rock)
The Great I am is the Rock on which I stand
(Repeat)

So I will trust, I will trust
I will trust in the Name of the Lord
(Repeat)

The Great I Am is the Rock on which I stand
Jabali (Jabali) x2 (Solid Rock)
The Great I am is the Rock on which I stand
(Repeat)

Older Entries Newer Entries