Mwema (Good) Lyrics by Mercy Masika

6 Comments


(Sung in Swahili)

Wako mwana ukamtuma, duniani  (You sent your child to earth)
Kisa na maana nipate uzima jamani (That I should receive salvation)

Ishara kwamba unanipenda zaidi (A sign that you love me more)
Hivyo nishaelewa sifa nitakupa zaidi (I know to give you more praise)

Refrain:
Na siwezi jizuia, kusema wako wema
(And I shall not stop myself from proclaiming your goodness)
Na sio kama najigamba, umenitenda mema
(It is not that I boast for myself, you have been good to me)
(Repeat)
Umekuwa mwema kwangu (You have been good to me)

Umenitoa gizani, nilipokuwa nimeshikwa mateka
(You removed me from darkness, where I was held prisoner)
Ukanipa tumaini, kwako nikajificha
(You gave me hope, And I hid myself in You)
Sasa nitakupa nini, iwe sawa na yale umenitenda?
(What shall I give You, equal to what you have done for me?)
Hakuna ila moyoni, sifa nitakuimbia
(Nothing. Only in my heart, I will sing Your praises)

Ilikugharimu, msalabani unifie
(It cost You to die on the cross for me)
Hivyo inanibidi, sifa nikuimbie
(Therefore I have to sing your praises)
Wema wako niseme, ili na wengine wakujue
(To tell of Your goodness, that others may know You)
Wote waungane nami, na wazee ishirini na nne
(That all may join me, together with the twenty-four elders)

(Refrain)

Uka (Come) Lyrics by Eunice Njeri

3 Comments




(Languages: English, Kikuyu, Swahili)

I could never, ever have enough of You
And Jesus You are more than enough for me
I’m waiting on You today
I’m waiting on You today

Refrain:
Uka uka, uka uka, uka uka (Come, Come)in Kikuyu
We wait on You
(Repeat)

Milele mimi sitatosheka bila wewe (Forever I will not be satisfied without You)
Maana wewe u zaidi ya tosha kwangu mimi (For You are more than satisfaction to me)
Nakungojea leo, nakungojea leo (I wait for You today)

(Refrain)

Bridge:
Like a river, flow, just flow
Like the rain, just pour out, pour out
Like the wind, just blow, blow
Like a fire, burn
(Repeat)

Oh, oh, oh, we wait on You (Repeat)

(Refrain)

Uka uka, uka uka, uka uka (Come, come)
Uka jeso, gwetereire (Come Jesus, we wait for you)

Mwaminifu (Faithful) Lyrics by Frank

Leave a comment


(Sung in Swahili)

Unastahili kuabudiwa (You deserve worship)
Ewe mfalme wa mbingu na nchi yote (Oh King of heavens and all the earth)
Nakuheshimu, nakusujudu (I honor You, I’m prostrate before You)
Leo, sasa na milele (Today, now and forever)

Refrain:
Mwaminifu, mtakatifu (Faithful, Holy)
Tamalaki ewe Bwana (Reign Oh Lord)
(Repeat)

Pokea sifa, ewe Mfalme (Receive praise, oh King)
Mwenye nguvu na mamlaka yote (The Mighty one, with all the authority)
Nakuheshimu, nakusujudu (I honor you, I worship You)
Leo, sasa na milele (Today, now and forever)

(Refrain)

Lover Lyrics by Bahati

2 Comments


(Sung in Swahili)*

Kama ni mapenzi nilishatafuta sana (I looked for love high and low)
Kama ni kutoswa nilishatosa kwa bana (I was rejected in many places)
Kama ni mapenzi nilishatafuta sana (I looked for love high and low)
Umkhwano wanje, songa wachinimba (?)

Refrain:
Ungekuwa nyimbo ningekucheza sana
(If you were a song I would play on repeat)
Ungekuwa zeze ningekucheza bana
(If you were a flute I would play very much)
Ungekuwa nyimbo ningekucheza sana
(If you were a flute I would play very much)
Bana sana (A lot)
You are my Lover yeah, lover yeah, yeah, yeah
L.O.V.E
Umekuwa Baba kwangu (You have been my Father) (L.O.V.E)
Roho mtakatifu (Holy Spirit) (L.O.V.E)

(Refrain)

Na utanashati ukanipa kimwana (You gave me elegance as your son)
Nayo mashairi ndani yangu kajaza (And filled my heart with poetry)
(Repeat)

Bridge:
Hii yote pokea sifa moyoni umefanya (In all this receive praise)
Maulana si kawaida Kenya wakanidata (My Lord it’s not common for Kenya to accept(?) me)
Hii yote pokea sifa moyoni umefanya (In all this, receive all the praise)
Najua Afrika mtoto mama atasikika (I know I will be heard across Africa)

(Refrain)

*Translation is not word for word.

Kilele (The Summit) Lyrics by Pitson

Leave a comment


(Sung in Swahili)

Macho ya Bwana hayalali hayasinzii (The Lord’s eyes does not sleep nor slumber)
Alinitoa mbali na vile nilikuwa vizii (He brought me from far though I was hopeless (?))
Kijana wa umasikini, ameshika shilingi (A poor youth, has been successful)
Ametoa (He has released)Lingala ya Yesu” na bado anatia bidii (And He still works hard)
Akisema atakubariki, sio uwongo (If He says that He will bless you, He does not lie)
Akisema atakubariki, uliza (If He says, He will bless you, ask) Jemimah Thiong’o
You’re dreams are valid, no matter where you’re from
Kama huamini uliza (If you don’t belive, ask) Lupita Nyong’o

Refrain:
{Ingawa shida ni nyingi, ni nyingi, ni nyingi, ni mob (Though the troubles may be many)
Nazo raha ni haba, ni haba, ni haba, ni haba, ni kidogo (and joy may be rare) } x2
Tukunje shati, tuanze kazi (Lets fold our sleeves, and start work)
Tupige magoti, tuanze maombi (Kneel before Him and start praying)
{Tutafika kilele (We shall reach the summit) x3
(Tutafika) Tukiwa na Yesu (We shall reach with Jesus),
Kilele, kilele, kilele (The summit)} x2

Alikulipia deni msalabani (He paid your debts at the cross)
Ya mama mboga atashindwa kiaje (How shall the grocery bills faze Him)?
Alilipia Jonah safari, samaki, airline (He paid for Jonah’s trip, fish and freight)
Visa yako, amesema (About your visa: He has said) “That’s fine”
Akutoe kwa mathree, akuweke kwa (He would remove you from the bus, and place you in a) Merc II
Na kama hauna mtu, akupe plus 1 (If you have no spouse, he gives you plus 1)

(Refrain)

Kwa muziki, Kilele (In music, the summit)
Kwa masomo, kilele (In studies, the summit)
Tutafika eh, kilele (We shall reach, the summit)
Kilele, kilele, kilele, oh kilele (The summit)

Older Entries Newer Entries