Kwa sasa ya dunia (Now the earthly things)
Kwangu ni kama yameangikwa (For me, they are now crucified)
Yaliyokuwa faida (What was gainful to me)
Nayahesabu kama hasara (I count them all as loss)
Sikiliza dunia, ujue kwamba mimi si wako (Listen world, and know that I do not belong to you) x2
Refrain:
Nimehesabiwa haki (I have been justified)
Kwa damu yake Mtetezi (By the Blood of The Advocate)
Jina langu limeandikwa (My name has been written)
Kwenye Kitabu cha Uzima (In the Book of Life)
Sikiliza dunia, ujue kwamba mimi si wako (Listen world, and know that I do not belong to you) x3
(From the Top)
Sasa maumivu hayanitishi (Now I am not afraid of my suffering)
Nitayasahau kwa Yesu (Because I will forget at Jesus’)
Haijadhihirika nitakavyokuwa (It has noy yet been revealed what I shall be)
Tutafanana akidhihirika (We shall be like like Him when He makes himself known)
Ewe mbingu, yakiri haya maneno (Oh world, heed these words)
Ai we! Kweli dunia Mi si wako (Ai We! Truly world, I do not belong to you)
(Refrain)
Oh… ujue kwamba mimi si wako (Oh… know that I do not belong to you) x?
Pamoja na wewe (Together With You) x2
Katika safari yangu Tatembea na wewe (In my journey, I shall walk with You) (Repeat)
Katika safari yangu Tatembea na wewe (In my journey, I shall walk with You) x3
Bwana u sehemu yangu, Rafiki yangu wewe (Lord You are my Portion and Friend)
Katika safari yangu, tatembea na wewe (In my journey, I shall walk with You)
Pamoja na wewe (Together With You) x2
Katika safari yangu Tatembea na wewe (In my journey, I shall walk with You) (Repeat)
Katika safari yangu Tatembea na wewe (In my journey, I shall walk with You) x2
Mali hapa sikutaka, Ili niheshimiwe (I did not seek wealth here, that I could be respected)
Na yanikute mashaka Sawa sawa na wewe (And though I have doubts, it is well with You) (Repeat)
Pamoja na wewe (Together With You) x2
Heri nikute mashaka Sawa sawa na wewe (Though I have doubts, it is well with You) (Repeat)
Heri nikute mashaka Sawa sawa na wewe (Though I have doubts, it is well with You) x2
Niongoze safarini, Mbele unichukue (Lead me on my journey, go ahead of me)
Mlangoni kwa Mbinguni Niingie na wewe (At the heaven’s door, let me enter with you)(Repeat)
Pamoja na wewe (Together With You) x2
Mlangoni kwa Mbinguni Niingie na wewe (At the heaven’s door, let me enter with you)(Repeat)
Mlangoni kwa Mbinguni Niingie na wewe (At the heaven’s door, let me enter with you)
Katika safari yangu, tatembea na wewe (In my journey, I shall walk with You) x3
Sasa naapa hakuna miungu n’taamini (I now vow to worship no other god)
Satajitia unajisi, chakula cha ufalme (I shall not defile my body, with royal feasts)
Na sitauza urithi wa wokovu, anasa za kisasa (I shall never exchange salvation’s inheritance, with modern pleasures)
Nina uhakika waweza, waweza kuniponya (I am certain that you are able, able to heal me)
Hata usipo niponya, sitaabudu masanamu (Even if do not heal me, I shall not worship idols)
Refrain:
Naelewa maji na moto nitapita (I know I shall pass through water and fire)
Kwenye uvuli wa mauti (Through the shadow of death)
Nina wewe, sitaogopa kamwe (I have You, I shall not be afraid)
Mungu wangu, wanishika mkono (You hold my hand, my God)
Wautuliza moyo wangu (You calm my heart)
Sina mashaka, wanibeba mgongoni (I have no doubts, for You carry me)
Waweza tuma neno la uzima, libadishe yote (You can send Your word of life, and change everything)
Hata usiyafanye hayo yote, bado nitaamini (Even if You do not do all that, I shall still believe)
Waweza tuma neno la uzima, libadishe yote (You can send word of life, and change everything)
Hata usiyafanye hayo yote, bado nitaamini (Even if You do not do all this, I shall still believe)
(From the Top)
Si Mara ya kwanza kunitoa katika magumu (This is not the first time time to save me from hardship)
Nina ushuhuda: zaidi ya moja, we ni mwaminifu (I have countless testimonies of Your faithfulness)
Nina historia maalum, we ni chemchem’ ya uzima (I have a special history, that You are the essence of Life) (Repeat)
(Refrain)
Nitaamini, bado nitaamini (I will believe, still I will believe)
Ulichosema nami, Yesu we (Jesus what You said to me)
Nitaamini (I will believe)
Wewe ukiyajibu maombi yangu, nitakwamini (When You answer prayers, I shall trust You)
Hata usinijibu, Yesu we, nitakwanini (Even if You do not answer, Jesus I shall trust You)
Nitaamini, bado nitaamini (I will believe, still I will believe)
Ukiniponya nitaamini (If You heal me, I shall believe)
Hata usiniponye, bado nitaamini (Even if You do not heal me, I still believe)
Ukinijibu, nitaamini (If You answer me, I will trust You)
Hata usinijibu, bado nitaamini (Even if You do not answer me, I shall still believe)
Ukibadilisha, nitaamini (If You change things, I will believe)
Hata usibadilishe bado nitaamini (Even if You do not change things, I shall still believe)
Kwenye uvuli wa mauti bado nitaamini (Through the valley of the shadow of death, I still believe)
Nina ushuhuda, wewe ni mwaminifu (For I have a testimony, of Your faithfulness) (Repeat)
Kwenye uvuli wa mauti bado nitaamini (Through the valley of the shadow of death, I still believe)
Nina ushuhuda, wewe ni mwaminifu (For I have a testimony, of Your faithfulness) (Repeat)
Refrain:
Imba roho yangu, umebarikiwa (Sing my soul, for you are blessed)
Imba ee roho yangu (Sing oh my soul)
Mpaka dhoruba ya maish’ imeisha (Till the storm of this life ends)
Moyo msifu Bwana (Worship the Lord, my soul)
Roho zilizokufa (The souls that were dead )
Zikakuona (They saw you)
Zafufuliwa (They are resurrected)
Hapa zinaimba (Here they are singing)
Umejulikana kila mahali (You are known everywhere)
Sifa ziwe kwako (Praise be unto You)
Mwana Kondoo wa Mungu (The Lamb of God)
Fadhili zako (Your Grace)
Zimejulikana kila mahali (Is known everywhere)
Roho zilizokufa (The souls that were dead )
zikakuona (They saw you)
Zafufuliwa (They are resurrected )
Hapa zinaimba (Here they are singing)
Umejulikana kila mahali (You are known everywhere)
Sifa ziwe kwako (Praise be unto You)
Mwana Kondoo wa Mungu (The Lamb of God)
Fadhili zako (Your Grace)
Zimejulikana kila mahali (Is known everywhere) (Repeat)
(Refrain)
Inashangaza nimeokolewa (My salvation is amazing)
Natumaini rehema za milele (I hope in the everlasting mercies)
Moyo usumbukao umemsikia? (Weary soul, have you heard of Him?)
Huyu anayesamehe kila amwaminiye? (He who forgives those who trust in him ?)
Hallelujah! Hallelujah!
Umejulikana kila mahali (You are known everywhere)
(Refrain)
Hallelujah! Hallelujah!
Imba eh Roho Yangu (Sing, oh my soul)
Hallelujah! Hallelujah!
Moyo msifu Bwana (Praise the Lord, my soul) (Repeat)
Ndazi ko mwaraye ijoro muroba (I know You’ve worked hard all night fishing)
Kandi ntakintu nakimwe mwafashe (But did not catch anything)
None ndavuze, mwizere (But now I speak, Trust in me)
Mujugunye inshundura mumazi (Let down the nets)
Ndazi ko umaze iminsi ku kidendezi (I know it’s been a long time waiting by the healing pool)
Utegerej’ umuntu ukugirira impuhwe (Waiting for someone to have mercy on You)
Dore nkugezeho, wizere (Now I have reached you, trust in me)
Ikorere uburiri utahe (Rise, carry Your bed and walk)
Ndazi ko umaze iminsi usabiriza (You have been begging on the streets)
Abahisi abagenzi barakumenye (Everyone knows about You)
Dore nkugezeho, wizere (Now I have reached you, trust in me)
Genda uvuge inkuru nziza (You are healed, spread the Good News)
Refrain:
Ijambo Ry’umuremyi (The Word of the Creator)
Rigeze aho ndi, ndahembuka (Has reached me, and I am healed)
Rimenagura imiringa (It breaks all the chains)
Rihindisha Umushyitsi Imisozi (And shakes the mountains)
Iyo avuze, rimwe gusa (When He speaks, only once)
Ibiriho byose birumvira (All the creations obey)
Ugire ico uvuga! (Say something!)
Ugire ico umvugaho mwami! (Say something about me Oh Lord!)
Ugire ico uvuga! (Say something!)
Ugire ico umvugaho Mwami! (Say something about me, Oh Lord!)
Numvigaho rimwe ndahembuka (If You speak over my life, I will be healed)
Nuvug’ ibyanjye biratungana (If you speak over my situation, they will be perfect) Numvigaho rimwe ndahembuka (If You speak over my life, I will be healed) Nuvug’ ibyanjye biratungana (If you speak over my situation, they will be perfect)
Dore igihe mumaze kuri uyu musozi (You have spent enough time on this mountain)
Sugushidikanya ni kirekire (No doubt it’s a long time)
None ndavuze, muhindukire (Now speak, turn around)
Mmbagabiye igihugu (I have given you the land)
Jambo ryiza (The perfect Word)
Jambo ni inkota ihinguranya (Word that penetrates like a sword)
Iryo niryo rirema, rikaremesha, umutima (It is the only one, that can restore a heart)
Andi magambo yose (All other words)
Yo ni ibitekerezo, birasanzwe (Are simply opinions, they are normal)
Dore igihe mumaze kuri uyu musozi (You have spent enough time on this mountain)
Sugushidikanya ni kirekire (No doubt it’s a long time)
None ndavuze, muhindukire (Now speak, turn around)
Mmbagabiye igihugu (I have given you the land)
(Refrain)
Numvigaho rimwe ndahembuka (If You speak over my life, I will be healed) Nuvug’ ibyanjye biratungana (If you speak over my situation, they will be perfect)(Repeat)
Jambo ryiza (The perfect Word)
Jambo ni inkota ihinguranya (Word that penetrates like a sword)
Iryo niryo rirema, rikaremesha, umutima (It is the only one, that can restore a heart)
Andi magambo yose (All other words)
Yo ni ibitekerezo, birasanzwe (Are simply opinions, they are normal)
Andi magambo yose (All other words)
Yo ni ibitekerezo, birasanzwe (Are simply opinions, they are normal) (Repeat)
Ugire ico uvuga! (Say something!)
Ugire ico umvugaho mwami! (Say something about me Oh Lord!)
Ugire ico uvuga! (Say something!)
Ugire ico umvugaho mwami! (Say something about me Oh Lord!)
Numvigaho rimwe ndahembuka (If You speak over my life, I will be healed) Nuvug’ ibyanjye biratungana (If you speak over my situation, they will be perfect)(Repeat)
Ugire ico uvuga! (Say something!)
Ugire ico umvugaho mwami! (Say something about me Oh Lord!)
Andi magambo yose (All other words)
Yo ni ibitekerezo, birasanzwe (Are simply opinions, they are normal) (Repeat)
Ugir’ ico uvuga! (Say something!)
Ugire ico umvugaho, Mwami! (Say something about me Oh Lord!)
Numvigaho rimwe, ndahembuka (If You speak over my life, I will be healed)
Nuvug’ ibyanjye, biratungana (If you speak over my situation, they will be perfect) (Repeat)
Ugire ico uvuga! (Say something!)
Ugire ico umvugaho mwami! (Say something about me Oh Lord!)