Hodi Hodi (Knock Knock) Lyrics by Esther Wahome

Leave a comment


Chorus:
Hodi hodi, anabisha hodi hodi
Hodi hodi, anabisha hodi hodi fungua
Hodi hodi, anabisha hodi hodi
Hodi hodi, anabisha hodi hodi fungua

(Chorus)

Aingiapo unakuwa kiumbe kipya
Aingiapo atawala pekee yake
Aingiapo Anavunja nira zote
fungua fungua anabisha hodi hodi

(chorus)

Hii ndiyo siku ya wokovu wako mama
Hii ndiyo siku Ya uhuru wako baba
Hii ndiyo siku ya furaha yako wewe
fungua fungua anabisha hodi hodi

(Chorus)

Huu ndiyo mwisho wa mateso yako ndugu
Huu ndiyo mwisho machozi yako wewe
hata shetani atambua hivyo sasa
Fungua fungua anabisha hodi hodi

(chorus)

Mpokee mfalme wa wafalme
mpokee atawale maisha yako
Ndio pekee anaweza mambo yote
fungua funfua anabisha hodi hodi

Minyororo (Chains) lyrics by Esther Wahome

Leave a comment


Miguu na mikono umefungwa, Mawazo yako yamefungwa
Macho umefungwa hauoni,Roho yako pia imefungwa
Yesu ana ufunguo, usife moyo

Jela ya shetani, minyororo minyororo
Yesu afungua minyororo minyororo
Jela ya shetani, minyororo minyororo
Yesu afungua minyororo minyororo

Njaa na kiu kwenye jela, Mateso mengi ya kutisha
Wewe mtupu hauna kitu,Magonjwa pia yamekusonga
Yesu ana ufunguo wa huo jela

Mpango wa shetani kwenya jela,Ni kuiba tena na kuharibu
Mshahara wake yeye ni mauti, Kubali Yesu yeye akuweke huru
Akutoe jela ya shetani

Jela ya shetani, minyororo minyororo
Yesu afungua minyororo minyororo
Jela ya shetani, minyororo minyororo
Yesu afungua minyororo minyororo

Wazee tokeni hiyo jela, wamama tokeni hiyo jela
Vijana tokeni hiyo jela, watoto tokeni hiyo jela
Jela ya hukumu, jela ya mauti

Jela ya shetani, minyororo minyororo
Yesu afungua minyororo minyororo
Jela ya shetani, minyororo minyororo
Yesu afungua minyororo minyororo

Hachagui (He Does Not Discriminate) Lyrics by Esther Wahome

Leave a comment


Chorus:
Hachagui kabila, hachagui taifa
Hachagui tajiri, wote awapenda
Hachagu kabila, hachagui taifa
Hachagui tajiri, wote awapenda

Nilisikia kuna mpenzi ambaye hachagui
wote awapenda, wote awajali
Nilimpa maisha yangu nayo yakawa sawa
Ni mwanaume wa wanaume, hachagui hachagui

(Chorus)

Nilianza safari kwa mataifa mbalimbali
Ili nitangaze yesu na matendo yake
Wamekubali wamesema yesu ni namba moja
Ni mwanaume wa wanaume, hachagui hachagui

(Chorus)

Natangazia wazee pia na vijana
Kwani huyu mpenzi, hachagui miaka
Hata watoto anasema, wote waje kwake
Ni mwanaume wa wanaume, hachagui hachagui

(Chorus)

Nampenda huyu mpenzi aliyenipenda mbele
Tena alijitoa afe kwa ajili yangu
Damu yake alimwaga ili nisipotee
Ni mwanaume wa wanaume,

(Chorus)

Natangaza hachagui, huyu yesu awapenda eh oh
Awapenda wote, huyu yesu
Awajali wote, haleluyah
Awajali wote

(Chorus)

Daktari lyrics by Esther Wahome

Leave a comment


Daktari wa moyo nipima pime, Daktari wa mwili wangu touch me
Daktari wa moyo nipima pime, Daktari wa mwili wangu touch me

Nimeskia sifa zako daktari,Vile Sara na Hana uliwapa wana
Ukimgusa tasa anapata mapacha, Oh Daktrari, oh Daktari
Oh daktari, daktari touch me!

Daktari wa moyo nipima pime, Daktari wa mwili wangu touch me
Daktari wa moyo nipima pime, Daktari wa mwili wangu touch me

Kuna vile unaelewa unyonge wangu, au uchungu wangu na haja zangu
Hata na akili zangu dhamiri yangu, Tafadhali daktari
Oh daktari,Eh daktari, daktari touch me!

Daktari wa moyo nipima pime, Daktari wa mwili wangu touch me
Daktari wa moyo nipima pime, Daktari wa mwili wangu touch me

Wazee wamama na vijana wapime oh, hata watoto pia uwapime baba
Ukipata magonjwa, uwatibu daddy, moyo mwili na moyo wewe ni daktari
Eh Daktari, daktari, oh daktari, daktari

Daktari wa moyo nipima pime, Daktari wa mwili wangu touch me
Daktari wa moyo nipima pime, Daktari wa mwili wangu touch me

Chakutumaini Sina (My Hope is Built on Nothing Less) Hymn Lyrics by Martha (Tenzi 15)

6 Comments


(Sung in Swahili)

Note: The translation is not a direct one, as the song was translated from English to begin with. But no meaning is lost/exaggerated in attaching the formal English translation.

uuhh Chakutumaini, mimi sina, ila hiyo damu
(My hope is built on nothing less, Than Jesus’ blood)

Chakutumaini sina (My hope is built on nothing less)
Ila damu yake Bwana (Than Jesus’ blood and righteousness)
Sina wema wa kutosha (I dare not trust the sweetest frame)
Dhambi zangu kuziosha (But wholly lean on Jesus’ name)

Chorus:
Kwake Yesu nasimama (On Christ, the solid Rock, I stand)
Ndiye mwamba ni salama (All other ground is sinking sand)
Ndiye mwamba ni salama (All other ground is sinking sand)
Ndiye mwamba ni salama (All other ground is sinking sand)

Njia yangu iwe ndefu (When darkness veils His lovely face)
Ye hunipa wokovu (I rest on His unchanging grace;)
Mawimbi yakinipiga (In every high and stormy gale)
Nguvu ndizo nanga (My anchor holds within the veil)

(Chorus)

Nikiitwa hukumuni (When He shall come with trumpet sound)
Rohoni nina amani (Oh, may I then in Him be found)
Nikivikwa haki yake (Dressed in His righteousness alone)
Sina hofu mbele zake (Faultless to stand before the throne)

(Chorus)

Damu yako na ahadi (Your promises and blood)
Nategemea daima (Support me in the whelming flood)
Yote chini yakiisha (When all around my soul gives way)
Mwokozi atanitosha (He then is all my hope and stay)

(Chorus)

(Verse 1)

(Chorus)

Older Entries Newer Entries