Mungu Wa Mapendo (God of Love) Lyrics by Rose Muhando

1 Comment



(Sung in Swahili)

Nini kitanitenganisha (na upendo wa Mungu Baba)
(What can separate me, from the Love of God the Father)
Ikiwa ni dhiki au njaa (Havitananitenga naye Baba)
(Neither hardship nor famine, shall separate me from the Father )
Mauti, upanga, na dhihaka (Havitananitenga naye Baba)
(Death, war and danger, will not separate me from the Father)
(Repeat)

Chorus:
Sina hofu sibabaiki (I’m not afraid, not worried)
Kwake yeye nime/nitashinda (I have/shall won/win)
Milele yote nime/nitashinda (Forever I have/will win/won)
Tena zaidi ya kushinda (Even more than win)
Kwake yeye aliyenipenda (In Him who loved me)
(Repeat)

Kwenye zamu yangu nitasimama (When my turn comes I shall stand)
Kwa miguu yangu nitasimama (On my feet I shall stand)
Nione Bwana atakavyonijibu mimi (To see what the Lord shall say to me)
Kwa habari ya kulalamika kwangu (Regarding my persecutions)
Bwana aliniambia neno hili (As the Lord had promised me)
“Usiogope maneno yao (“Do not fear their words,)
Usitetemeke mbele yao, (Do not tremble before them)
usifadhaike mbele yao (Do not despair before them )
Maana imeandikwa, kwa ajili yako ninauawa (As it is written, I was killed for your sake)
kama kondoo wa kuchinjwa, kifo nimehesabiwa (Like a lamb to slaughter, in your death you were counted)
Kifo nimehesabiwa, mimi sibabaiki (In my death I have been counted, I am not worried)

Bridge:
Shetani usinisumbue (Shetani usinisumbue) (Satan, do not bother me)
Wala usinibababishe (Wala usinibababishe) (Do not worry me)
Funga kinywa ukatoweke (Funga kinywa ukatoweke) (Be quiet and begone)
Nyamaza kimya ukapotee (Kwa jina la Yesu ukatoweke) (Be silent and be gone in the name of Jesus)
Nyamaza kimya ukapotee (Nyamaza kimya ukapotee) (Be quiet and begone)

(Chorus)

Milele neno la Mungu limehakikishwa (Forever the word of God has been established)
Tena ni ngome kwa wamwaminio (It is a fortresses to the believers)
Tena ni ngao kwa wamwitao Baba (Also a shield for those who call him Father)
Kabla ijawa misingi ya dunia, (Before the foundation of the world)
Yeye huyu alikuweko (He was here)
(?), muumba wa utukufu ([?], Creator of glory)
Na utakaso wa dhambi, (?) (And the cleansor of sin, (?))
Nami kwake ni wa mwana x2, ni wa mwana (I belong to the son)

(Bridge) + (Chorus)

Asifiwe Mungu wa mapendo (God of love be praised)
Asifiwe Mungu wa huruma (God of mercy be praised)
Asifiwe Mungu wa amani (God of peace be praised)
Asifiwe Mungu wa mapendo (God of love be praised)

Asifiwe Mungu wa mapendo (God of love be praised)
Ametenda maajabu, (He has done amazing things)
dunia ishangilie (Let the world rejoice)
Visiwa(?) vitoe nyimbo, (All islandsĀ  give praise)
Asifiwe Mungu wa mapendo (God of love be praised)

Mungua chukua heshima yako (Gpd receive your honor)
Mungu chukua utukufu wako (God receive your praise)

Asifiwe Mungu wa mapendo (God of love be praised)
Ametenda maajabu, (He has done amazing things)
dunia ishangilie (Let the world rejoice)
Visiwa(?) vitoe nyimbo, (All islandsĀ  give praise)
Asifiwe Mungu wa mapendo (God of love be praised)
(Repeat)

Napokea Kwako (I Receive From You) Lyrics By Janet Otieno ft Christina Shusho

5 Comments


(Sung in Swahili)

Maisha magumu sana nimepitia ( I’ve passed through struggles in life)
Nikajaribu kutafuta msaada sikupata (I looked in vain for help)
Nikaendea wanadamu mwisho wakanidharau( I asked people until they despised me)
Kumbe msaada wa mwanadamu unatoka kwa Mungu(But our help is from God)
Nilijua ya kuwa wenye haki ya kubarikiwa( I thought the righteous will be blessed)
Kumbe baraka ni haki ya kila mmoja(But blessings is everyone’s right)
Nibebadili wazo langu namwelekea Mungu(My thoughts have changed towards Him)
Kwake msaada wangu unapatikana( There my help will be found)
Msaada wa mwanadamu ni wa muda mfupi(Man’s help is only for a short tim)
Nami zamu yangu wa kubarikiwa ee( It’s my turn to be fully blessed)

Chorus:
Wakati huu wa kubarikiwa ( This is the time of blessings)
Zamu ni yangu, sasa kupokea( It is my turn to receive blessings)
Nimechoshwa, na shida za dunia ( I am tired of the world’s troubles)
Napokea kwako, Ee Bwana kwako x2( So I receive from you, Lord)
Napokea kwako, Yesu napokea kwako( I receive from you Jesus)
Napokea kwako, Baba napokea kwako( I receive from you Father)

Nimeamua kwenda zaidi na zaidi ( I have decided to continually pursue)
Nimejipanga hadi nione matunda yake( I will keep on until I see his fruits)
Yale Mungu amewekeza ndani yangu (That which God has planted in me )
Najua Mungu yuko kazini kunikamilisha(I know God is working for its fruition )
Akisema nimebarikiwa, nimebarikiwa tu (If He says I’m blessed, then I’m blessed )
Hata ukipinga wewe leo mimi nimebarikiwa tu(Even if you deny is, I’m still blessed )
Mlima gani kuu sana usioung’oa?(What mountain is too great for You to uproot? )
Jaribu gani gumu sana usiloliweza?(What trials too hard for you to solve?)
Chozi gani zito kwako usilolifuta?(What tear is too heavy for you to wipe?)
Ombi gani kubwa sana usilolijibu? (What prayer is too great for you to answer? )

(Chorus)

Utamu wa Yesu (The Sweetness of Jesus) Lyrics by Rose Muhando

7 Comments



(Sung in Swahili)

Lile lile…

Acheni muone utamu wa Yesu we (Let me show the sweetness of Jesus)
Mama we onjeni utamu wa Yesu we (Come and taste the sweetness of Jesus)
Mwenzenu nimeonja utamu wa Yesu we (I have tasted the sweetness of Jesus)
Usione nina raha nimeonja utamu wa Yesu we
(See my joy, I have tasted the sweetness of Jesus)
Si kama nimechanganyikiwa bali ni utamu wa Yesu we
(I’m not crazy, it is the sweetness of Jesus)
Jamani sijarukwa na akili bali utamu wa Yesu we
(I am not mad, but it’s the sweetness of Jesus)
Utamu we, nimeonja utamu we x2 (The sweetness, I have tasted the sweetness)

Chorus:
Utamu we, nimeonja utamu we he x2 (The sweetness, I have tasted the sweetness)
Utamu wa Yesu we, Utamu wa Yesu we x2 (The sweetness of Jesus)
Utamu we, utamu x3 (The sweetness)
Utamu wa Yesu we, he (The sweetness of Jesus)
Mwemere, mwemere x4 (?)

Viko vingi vitamu lakini mwisho wake mauti (A lot of pleasures lead to death)
Viko vingi vitamu lakini mwisho wake kilio (A lot of pleasures lead to tears)
Vingine ni vitamu lakini mwisho wake kilio (Others are pleasurable but lead to tears)
Ni vitamu lakini mwisho vichungu kama shubiri (Are pleasurable but end in bitterness)
Ni vitamu lakini mwisho vinawasha kama upupu (Are pleasurable but end with disease)
Ni vitamu lakini mwisho vinapalia we (The are pleasurable, but only fleetingly)
Acheni niuseme utamu wa Yesu we (Let me testify on the sweetness of Jesus)
Wacheni nisifu utamu wa Yesu we (Let me praise the sweetness of Jesus)
Umetutenga mbali na dhambi, utamu wa Yesu we
(It has separated us from sin, the sweetness of Jesus)
Haufanani na utamu wa asali, utamu wa Yesu we
(It cannot be compared to honey, the sweetness of Jesus)
Thamani yake imeshinda almasi, utamu wa Yesu we
(It’s value exceeds that of a diamond, the sweetness of Jesus)
Ni mali ghafi isiopatika kwa mapesa jamani he
(It is a rare jewel that cannot be bought)
Bali kwa njia ya msalaba tumepewa utamu wa Yesu we
(But by the way of the cross, we have been given the sweetness of Jesus)
Mbinguni tunakwenda bure, uzima tunapata bure
(To heaven we go for free, we are given eternal life for free)
Wokovu tumepata bure, amani tunapata bure
(We have been given free salvation, peace we find for free)
Utamu we, nimeonja utamu we x2 (The sweetness, I have tasted the sweetness)

(Chorus)

Umetutenga mbali na dhambi, utamu wa Yesu we
(It has separated us from sin, the sweetness of Jesus)
Usione tuna raha, tumeonja utamu wa Yesu we
(We are joyful as we have tasted the sweetness of Jesus)
Usione tunacheka, tumeonja utamu wa Yesu we
(We laugh as we have tasted the sweetness of Jesus)
Umetutenga mbali na dhambi, utamu wa Yesu we
(It has separated us from sin, the sweetness of Jesus)
Umetusogeza karibu na Mungu, utamu wa Yesu we
(brought us close to God, the sweetness of Jesus)
Dhambi zetu zimewekwa mbali na Mungu, utamu wa Yesu we
(Our sins are forgiven, the sweetness of Jesus)
Walio chini wameinuliwa, utamu wa Yesu we
(The last are first, the sweetness of Jesus)
Badala ya kilio ni kicheko, utamu wa Yesu we
(Joy instead of tears, the sweetness of Jesus)
Badala ya aibu utukufu, utamu wa Yesu we
(Praise instead of shame, the sweetness of Jesus)
Mito ya baraka inatiririka, utamu wa Yesu we x2
(The springs of blessings flow, the sweetness of Jesus)
Utamu we, nimeonja utamu weĀ (The sweetness, I have tasted the sweetness)

(Chorus)

Mkitaka magari mazuri, onjeni utamu wa Yesu we
(You want to be blessed with cars, taste first the sweetness of Jesus)
Mkitaka majumba mazuri, onjeni utamu wa Yesu we
(You want to be blessed with houses, taste first the sweetness of Jesus)
Mkitaka kubarikiwa, onjeni utamu wa Yesu we
(You want to be blessed, taste first the sweetness of Jesus)
Mkitaka kuinuliwa, onjeni utamu wa Yesu we
(You want to be lifted, taste first the sweetness of Jesus)
Utamu we, nimeonja utamu we (The sweetness, I have tasted the sweetness)

(Chorus)

Sing’oki ng’o, kwa Yesu sing’oki ng’o x4 (No, I will not leave Jesus)
Utamu we, utamu x3 (The sweetness)
Utamu wa Yesu we (The sweetness of Jesus)

Niguse (Touch Me) Lyrics by Glorious Celebration

Leave a comment



(Sung in Swahili)

Chorus:
Niguse, niguse (Touch me, touch me)
Ukinigusa wewe, nitakuwa salama (If you touch me, I shall be safe)
(repeat)

Niguse leo, nahitaji mguso wako (Touch me today, I need your touch)
Ukinigusa wewe, nitakuwa salama (If you touch me, I shall be safe)
Nahitaji mguso wako siku ya leo (I need your touch today)
Ukinigusa wewe, nitakuwa salama (If you touch me, I shall be safe)
Gusa maisha yangu, gusa mwenendo wangu (Touch my life, touch my ways)
Ukinigusa wewe, nitakuwa salama (If you touch me, I shall be safe)

(Chorus)

Mikononi mwako Baba kuna uzima (In your hands father there is life)
Uniguse wewe, mimi niwe salama (Touch me, that I may be safe)
Mikononi mwako Yahweh kuna amani tele (In your hands Yahweh, there is peace)
Uniguse wewe, mimi niwe salama (Touch me, that I may be safe)
Nimejaribu bila ya wewe, Sijawahi weza (I have never made it without you)
Nakuhitaji leo Baba niguse (I need you to touch me Father)

(Chorus)

Mambo mengi, uliyonitendea (You’ve done a lot for me)
Ndio maana leo nakuomba (That is why today I pray)
Utende kwa wengine (That you touch others) (x2)
Nimeuona mkono wako (I have seen your hand)
Unapowagusa wengine, niguse leo (As you touch others, touch me)
Ulivyonigusa, gusa na Baba yule, (As you touch me, touch that man)
Gusa mama yule, gusa kijana yule (touch that woman, and that youth)

(Chorus)

Moyo wangu, gusa moyo wangu (My soul, touch my soul)…c7Ovw4eXTjE

Upendo wa Yesu (The Love of Jesus) Lyrics by Upendo Nkone

1 Comment



(Sung in Swahili)

Refrain:
Kama mawimbi, upendo wa Yesu wanizunguka
(Like the ocean waves, the Love of Jesus surrounds me)

Huku na huku (Here and there)
Kila ninapoimba (Everytime I sing)
Niwapo nimelala (When I’m asleep)
Ninapo tembea (When I’m walking)
Hata nikiwa nakula (When I’m eating)
Niwapo safarini (When I’m travelling)
Nikiwa masomoni (On my studies)

Speaking:
Kila tunapokwenda tumezungukwa na nguvu za Mungu
(Everywhere we go we are surrounded by the power of God)
Na kila tunalofanya ambalo ni kwa ajili ya utukufu wa jina lake
(And in everything we do for his glory)
Tumezungukwa na upendo wake
(We are surrounded by his love)

Huku na huku na kule na hapo (Here and there)
Anitegulia mtego wa muovu (He removes the deceivers stumbling blocks)
Ninalindwa kuliko wakuu wa dunia (I’m protected better than men of the world)
Hata nikiwa pekee yangu (Even when I’m by myself)
Na nikiwa nyumbani kwangu (When I’m at home)
Na nikiwa kazini (And when I’m at work)

Huku na huku na huku (Here and there)
Nikiwa hospitalini (When I’m at the hospital)
Nimezungukwa na nguvu za Mungu (I’m surrounded by God’s power)
Huku na huku he (All around me yes)
Kama mawimbi, mawimbi… (like the waves)

Older Entries Newer Entries