Umenipitisha kwenye maji mengi (You have led me across many waters)
Katikati la bonde la mauti (Through the valley of the shadow of death)
Wengi walisema nimefika mwisho (Many said I had reached my end)
Wanataharuki kuniona tena (They are astonished to see me again) (Repeat)
Tunakumbuka fadhili zako (We remember Your goodness)
Tunakumbuka rehema zako (We remember Your mercies)
Kwa yote umefanya Bwana (For all You have done Lord)
Tumekuja kukupa sifa zote (We come to give You all of the praises)(Repeat)
Niliye msafiri, mgeni duniani (I am a traveler, a stranger in the world)
Sioni kwangu hapa, ni huko ju’ mbinguni (I do not see a home here, but in heaven)
Ninatamani nami kukaa siku zote (I desire to stay there all my days)
Pamoja naye Baba katika utukufu (Together with the Father in His Glory)
Refrain:
Kwangu mbinguni, kwangu, uzuri (My Home is in heaven, my home is beautiful)
Wa mbinguni wapita yote huku (All belonging to heaven, pass through here)
(Refrain)
Mwokozi yuko huko, rafiki yangu mwema (The Savior is there, my good Friend)
Aliyenikomboa na kuchukua dhambi (The one who redeemed me and took away my sins)
Na hata nikiona furaha siku zote (And even if all my days are filled with joy)
Ningali natamani makao ya mbinguni (I still desire my heavenly home)
(Refrain)
Na nikipewa huku vipawa vya thamani (Though I be given precious gifts)
Na wakiimba nyimbo za kunifurahisha (Though they sing songs to please me)
Rafiki wangu wote wakipendeza mimi (Though I find delight in all my friends)
Ningali natamani makao ya mbinguni (I still desire my heavenly home) x3
(Refrain)
Upesi nitaona kifiko cha mbinguni (Soon I shall see the gates of heaven)
Mwokozi wangu Yesu atanikaribisha (My Savior Jesus shall welcome me)
Na huko nitaona nilivyotumaini (And there I shall see what I longed for)
Kinubi nita’piga kumshukuru Yesu (I shall play the harp in thanksgiving to Jesus)
Na huko nitaona nilivyotumaini (And there I shall see what I longed for)
Kinubi nita’piga kumshukuru Yesu (I shall play the harp in thanksgiving to Jesus) x2
(Refrain)
Wa mbinguni wapita yote huku (All belonging to heaven, pass through here) x5
Blessed art thou, Son of David
Blessed art thou, Root of Jesse (Repeat)
You are eminently glorious, immaculately beautiful
I can go on and on, on and on
But my words are not enough
My vocabulary will fail me
But permit me to cry out: Iba oh! (Bowing in reverence)
Iba oh, iba (We bow in reverence) x5
Blessed art thou, Rock of Ages
Blessed art thou, King of Heaven (Repeat)
You are infinitely powerful, magnificently wonderful
I can go on and on, on and on
But my words are not enough
My vocabulary they fail me
Permit me to bring this song of victory: Iba oh! Iba! (Bowing in reverence)
Iba oh, iba (We bow in reverence) x?
You tell the wind how hard to blow
And tell the rain how much to fall
You lay the pathway for the lightning, Baba
Those who are wise will worship You
You are clothed in dazzling splendour
And wrapped in blistering light
There’s no limit to your Power
Those who are wise will honor You
Iba oh, iba (We bow in reverence) x?
El Shaddai, Elohim (Almighty God)
El Gibbor, Elohim (Mighty God, Lord God)
Iba eh, Iba oh (We bow in reverence)
Iba oh, iba (We bow in reverence) x?
Blessed art thou, Son of David
Blessed art thou, Root of Jesse
Hlala kimi, ngihlale kuwe (Dwell in me, and I in You)
Busa kimi Jesu (Reign in me, Jesus)
Ngilifuze, lelo bandla (Let me be like that church)
Elaqala labusiswa (That was first blessed)
Refrain:
Busa! Busa! Busa kimi Jesu (Reign! Reign! Reign in me Jesus) x2
Njongo yam’, ukukhonza (My purpose is to worship You)
Ujesu, uJesu (Jesus, Jesus)
Nakho lonke, enginakho (My all belongs to You)
Ngithembele, kuy’uJesu (I put my trust, in Jesus)
(Refrain)
Hlala! Hlala! Hlala Kimi Jesu (Abide! Abide! Abide in me Jesus)(Repeat)
Amandla anga wakho, ubokhosi ungobhako (All power and authority belong to You)
Busa kimi Jesu! (Reign in me Jesus) (Repeat)
(Refrain)
Hlala! Hlala! Hlala kimi Jesu (Abide! Abide! Abide in me Jesus) (Repeat)
Hlala, nzinza, nethezeka (Dwell, be comfortable, be at peace) x3
Hlalizaga, nethezeka (Welcome and be free)
Hlala! Hlala! Hlala Kimi Jesu (Abide! Abide! Abide in me Jesus)(Repeat)
Amandla anga wakho, ubokhosi ungobhako (All power and authority belong to You)
Busa kimi Jesu! (Reign in me Jesus)
Moyo, mbona unaumia? Moyo, ukikosa unavyotaka? x2 (Why do you hurt my soul? Whenever you lack what you want?)
Moyo wangu umebeba mengi, mbona unajitesa? (You have carried many things my heart, why do you worry yourself?)
Moyo wangu mengine siwezi, mbona unanitesa? (I cannot do some things my soul, why do you make me suffer?)
Mara maisha, mara mapenzi, moyo unajitesa (Now it is about life, now it is about love, you torture yourself my soul)
Maisha hayo mimi siyawezi, ni Mungu ataniwezesha (I am unable to live that life, it is God who will enable me)
Kila wakati nakupambania, nipate raha (Every time I struggle for you, to get joy)
Na mimi, nipate furaha (For me, to get joy)
Najua unahisia, unasikia moyo, moyo! (I know you feel me, and you hear me my soul)
Refrain:
Moyo, tulia moyo (Be still, my soul)
Roho, utulize moyo (Holy Spirit, calm my soul)(Repeat)
Moyo kuwa na subira, nami niwe salama (Be patient my soul, that I might also be safe)
Kwani una tamaa, sio uvumilivu (For you have desires and not patience)
Nesome emuwe Yesu, wekume mutima wange (Wait upon Jesus my heart)
Kwagala mutima wange (Be patient my heart)
Moyo wangu umebeba mengi, mbona unajitesa? (You have carried many things my heart, why do you worry yourself?)
Moyo wangu mengine siwezi, mbona unanitesa? (I cannot do some things my soul, why do you make me suffer?)
Mara maisha, mara mapenzi, moyo unajitesa (Now it is about life, now it is about love, you torture yourself my soul)
Maisha hayo mimi siyawezi, ni Mungu ataniwezesha (I am unable to live that life, it is God who will enable me)