Neema ya Goligota (Golgotha’s Grace) Hymn Lyrics by Florence Mureithi

Leave a comment


(Sung in Swahili – A Hymn)

Nilipofika Goligotha (When I arrived at Golgotha)
Nikaiona huko (I saw while there)
Neema kubwa kama mto (Great Grace flowing like the river)
Neema ya kutosha (Sufficient Grace)

Refrain:
Neema ya Golgotha, (The Grace of Golgotha)
Ni kama bahari kubwa (Is like a great ocean)
Neema tele na ya milele, (Overflowing and everlasting Grace)
Neema ya kutosha (Sufficient Grace) (Repeat)

Nilipofika moyo wangu (When I arrived, my heart)
Ulilemewa sana (Was completely overwhelmed)
Sikufahamu bado vema (I did not fully understand)
Neema Yake kubwa (His Great Grace)

(Refrain)

Nilipoona kwamba (When I saw that)
Yesu alichukua dhambi (Jesus took our sins)
Neema ikadhihirikaka (Then Grace manifested)
Na moyo ukapona (And my soul was healed)

(Refrain)

Repeat: Neema ya kutosha (Sufficient Grace)
Sipungikiwi na Neema yako Yesu we (Your Grace Jesus, will never be insufficient)
Katika unyonge, neema yanitosha (In my weakness, Your Grace is sufficient)
Inanipa nguvu za kusonga mbele (It grants me strength to continue)
Waniongoza, hatua kwa hatua, kwa hiyo (You lead me, step by step, therefore)

Mzee Wa Kazi (God of Great Works) Lyrics by Voices United Choir

Leave a comment


(Sung in Swahili)

Mzee wa kazi, wewe ndiwe shujaa (God of Great Works, You are the Champion)
Ni ule mama, nd’o akan’ambia (It is that woman, that told me this)
Shida zote, ‘nazo nilemea (All the troubles that overwhelm me)
Eti ni wewe waweza tatua (That it is You that can solve them)
Mzee wa kazi (God of Great Works)

Mzee kazi, eti we ni mwamba (God of Great Works, You are the Rock)
Ni ule dada, nd’o alinieleza (It is that girl that told me)
Adui wote, wa’nishambulia (All the enemies that attack me)
Wewe ndiwe ‘wezaniokoa (It is You that can save me)
Mzee wa kazi (God of Great Works)

Mzee wa kazi, eti we ni simba (God of Great Works, You are the Lion)
Ni ule babu, nd’o aliyesema (It is that man, that said this)
Nisiogope, nisite shaka (That I should not be afraid, nor doubt)
Simba wa Yuda, we utanilinda (The Lion of Judah, will defend me)
Mzee wa kazi (God of Great Works)

Mzee wa kazi, eti we ni Mfalme (God of Great Works, You are the King)
Ni moyo wangu, aliniambia (It is my heart that told me this)
Mbingu na ardhi zakuinaima (Heaven and earth bow before You)
Kwa ibada, kwani we ni Yahweh (In worship, for You are Yahweh)

Wewe ndiwe, mwenye baraka (You are the One with the blessings)
Wewe ndiwe, mwenye utukufu (You are the One who is Holy)
Wewe ndiwe, mwenye nguvu zote (You are the One with all power)
Wewe ndiwe, Mfalme wa wafalme (You are the King of kings)

Wewe ndiwe, Alfa na omega (You are the Alpha and Omega)
Wewe ndiwe, Muumba wangu (You are my Creator)
Wewe ndiwe, Yesu Mwokozi (You are Jesus the Savior)
Wewe ndiwe, Mwanzo na Mwisho (You are the Beginning and the End)
Mzee wa kazi (God of Great Works)

Mzee wa kazi (God of Great Works)

Mzee wa kazi (God of Great Works)

Mtuliza Bahari (Calmer of Storms) Lyrics by Msanii Music Group

4 Comments


(Sung in Swahili)

Ee Baba tumekuja kwako (Father we have come before you)
Twaomba uturehemu (We ask that You have mercy on us)
Watoto wako, tu miguuni pako (Your children, we are at Your feet)
Tunalia kwa ajili ya mateso (We weep because of our affliction)
Tunayaona, tunapitia dunia hii (That we see, and encounter on earth)
Majirani wametugeuka sisi (Our neighbors have turned against us)
Hata mandugu wamekuwa maadui (Even our brothers have become enemies)
Wanatutesa kila usiku, kila kuchao (They persecute us daily)

Kimbilio letu ni wewe (Our refuge is You)
Kimbilio pekee, ni wewe (The only Refuge, is You)

Refrain:
(Bwana) Mwenye uwezo sisi twakutambua ([Lord] who is able we acknowledge You)
Tukilemewa tunajificha kwako (When we are overcome, we seek refuge in You)
Wewe ni mwamba, na si tu chini yako (You are the Rock, and we are beneath You)
Ukitamka jambo linatendeka (When You speak a word, it is done)
Hata mapepo yote hutawanyika (Even all the demons flee)
Nyosha mkono, Mtuliza Bahari (Stretch Your hand, Calmer of Storms)

Kuna wengi wapepoteza wapendwa wao (There are many who have lost their loved ones)
Kwa sababu ya chuki (Because of hatred)
Wapo wengi wamepoteza mali yao (There are many that have lost their wealth)
Kwa sababu ya wivu (Because of jealousy)
Kuna wengi wamepoteza mifugo (There are many who have lost their livestock)
Wamepoteza mimea yao shambani (They have lost their crops)
Na biashara yao ikaangushwa (And their businesses failed)

Kimbilio letu ni wewe (Our refuge is You)
Kimbilio pekee, ni wewe (The only Refuge, is You)

Siku ya kiyama inarejea (The Judgement Day is near)
Maswali mengi yataulizwa pale (Many questions will be asked there)
“Nilikupa jirani umtunze, mbona ukamtenda?” (“I tasked You to watch over your neighbor, why did you turn against them?”)
Miti na mawe ndio mashahidi (The trees and rocks will stand witness)
Paa la nyumba yaku litakukana (The roof of your house will denounce you)
Likishuhudia, uliyoyatenda (While witness your actions)

(Refrain)

Milele (Forever) Lyrics by Rebekah Dawn

Leave a comment


(Sung in Swahili)

Bwana Yesu amenikomboa (The Lord Jesus has saved me)
Bwana Yesu, amenipa nguvu (The Lord Jesus has given me strength)
Yesu amenijaza furaha na amani (Jesus has filled me with joy and faith)
Sasa ninaimba kushukuru! (Now I’m singing to give thanks) (Repeat)

Pre-Refrain:
Baraka, ‘tukufu, heshima na nguvu (Blessing, glory, honor and strength)
Kwa Bwana anayestahili (To the Lord Who is worthy)
Twakupatia sifa zote (We give You all the praise)
Milele (Forever)

Refrain:
Milele, milele, milele twakusifu (Forever, forever, forever we praise You)
Wewe wastahili (You are worthy)
Milele, milele, milele twasema asante (Forever, forever, forever we say thank You)
Kwako wewe tu (To You alone)

(Pre-Refrain + Refrain)

Uhuru wa Bwana ni wa kweli (The freedom of the Lord is true)
Wema wa Bwana ni wa ajabu (The goodness of the Lord is wonderful)
Upendo wa Bwana hauna kipimo (The love of the Lord has no measure)
Sasa ninaimba kushukuru (Now I’m singing to give thanks)

(Pre-Refrain + Refrain)

Twasema asante (We say thank You)
Kwako wewe tu (To You alone)

Mitei Emet Barak (There is a Happy Land) Hymn 100 Lyrics by Emmy Kosgei

1 Comment


(Sung in Kalenjin, A Hymn)

Jerusalem, Jerusalem…

Mitei emet arak ne tilil kot (There is a holy place in Heaven above)
Ole mi boiboiyet ne bo iman (Where true Joy dwells)
Tiendos che kigesor ak kolos’ Laitoriat (The righteous sing and praise the King)
Nenyi torornatet ak teegisto (All Glory and honor belongs to Him)

Ongebe emonin, kayanichu (Believers, let us go to this place)
Ak kimutu alaka, kebe tugul (And bring others, to go with us)
Ongisub Yetindet ne immutech kipsengwet (Following Jesus, who takes us to heaven)
Si tun kemeny tugul ak Kwandanyo (That we may all live with our Lord)

Jesu ko Lapkeiyet, eng Kipsengwet (Jesus is the Heavenly Light)
Mamitei mesundei eng’ oloto (There is no darkness there)
Mi boiboiyet kityo, amu mimitei me-et (There is only Joy, for there is no death)
Ama mi chalwokto, emonoto (And there is no more sin, in that land)

Tun kemitei tugul taitab aruet (Soon we shall we be gathered before the Lamb)
Kilachi ngoro-ik che leelachen (Adorned in white robs)
Kilosu Jehovah, ah kegeere togennyi (Praising Jehovah, seeing Him face to face)
Nenyi torornatet, ak teegisto (Glory and Honor belongs to Him)

Mitei emet arak ne tilil kot (There is a holy place in Heaven above)
Ole mi boiboiyet ne bo iman (Where true Joy dwells)
Jerusalem, Jerusalem…

Ongebe emonin, kayanichu (Believers, let us go to this place)
Ak kimutu alaka, kebe tugul (And bring others, to go with us)

Kebe tugul (To go with us) x?

Older Entries Newer Entries