Yesu Kwetu Ni Rafiki (What a Friend we Have in Jesus) (Tenzi 9) Hymn Lyrics by Msanii Music Group

2 Comments


(Sung in Swahili – A Hymn)

Yesu kwetu ni rafiki (What a friend we have in Jesus)
Hwambiwa haja pia (All our sins and griefs to bear)
Tukiomba kwa Babaye (What a privilege to carry)
Maombi asikia (Everything to God in prayer)
Lakini twajikosesha (O what peace we often forfeit)
Twajitweka vibaya (O what needless pain we bear)
Kwamba tulimwomba Mungu (All because we do not carry)
Dua angesikia (Everything to God in prayer)

Una dhiki na maonjo (Have we trials and temptations?)
Una mashaka pia (Is there trouble anywhere?)
Haifai kufa moyo (We should never be discouraged)
Dua atasikia (Take it to the Lord in prayer!)
Hakuna mwingine Mwema (Can we find a friend so faithful)
Wa kutuhurumia (Who will all our sorrows share?)
Atujua tu dhaifu (Jesus knows our every weakness)
Maombi asikia (Take it to the Lord in prayer)

Je, hunayo hata nguvu (Are we weak and heavy laden)
Huwezi kuendelea (Cumbered with a load of care?)
Ujapodharauliwa (Though your friends despise you)
Ujaporushwa pia (Though they forsake you?)
Watu wange kudharau (Though you are despised)
Wapendao dunia (By worldly people)
Hukwambata mikononi (In his arms he’ll take and shield you)
Dua atasikia (You will find a solace there)

Ni Tabibu wa Karibu (The Great Physician is Near) Hymn Lyrics by Angela Chibalonza (Tenzi 7)

2 Comments


(Sung in Swahili – A Hymn)

Ni tabibu wa karibu (The great Physician now is near)
Tabibu wa ajabu (The sympathizing Physician)
Na rehema za daima (And with His everlasting Mercy)
Ni dawa yake njema (Is His )

Refrain:
Imbeni, malaika (Sweetest note in seraph song)
Sifa za Yesu Bwana (Sweetest Name on mortal tongue)
Pweke limetukuka (Sweetest carol ever sung)
Jina lake Yesu (The Name of Jesus)

Hatufai kuwa hai (We are not supposed to be alive)
Wala hatutumai (Neither have hope)
Ila kweli yeye ndiye (But in only in Him)
Atupumzishaye (Do we find our rest)

Dhambi pia na hatia (All our sins and guilt)
Ametuchukulia (He has forgiven us all)
Twendeni na amani (Let us go our way in peace)
Hata kwake Mbinguni (Until His Heaven)

Huliona tamu jina (How sweet is the Name)
La Yesu Kristo Bwana (Of Jesus Christ our Lord)
Yuna sifa mwenye kufa (He has praise the one who died)
Asishindwe na kufa (Who defeated death)

Kila mume asimame (Every man should stand)
Sifa zake zivume (So His praises may spread)
Wanawake na washike (The women too should continue)
Kusifu jina lake (To praise His Holy Name)

Ngai Cia Ndagoni (The Dagon Gods) Lyrics by Charles Wachira

2 Comments


(Sung in Gikuyu)

Ngai cia Baali nĩ ciamenyire nĩwe mũthamaki(The gods of Baal came to know that you are the King)
Rĩrĩa mwarĩ kĩrĩma-inĩ igũrũ (On that day when you were on the mountain)
Wacinire igongona rÄ©a Elijah na mwaki mÅ©nene (When you burnt Elijah’s sacrifice)
Anabii othe a Baali ũkĩmatinia mĩtwe (And beheaded the prophets of Baal)

Refrain:
Nĩ mĩhianano ĩrĩkũ ĩngĩigananio nawe (Which other gods can compare to you?)
GÅ©tirÄ©… (Not one!)
Ĩngĩigananio nawe ĩtiirie hinya waku (None can stand against Your Power)
Ngai cia Dagoni ciaunĩkangaga icunjĩ (The gods of Dagon broke into pieces before You) (Repeat)

Afilisiti nĩ matahire ithandũkũ rĩa mathani (The Philistines stole the altar from the Israelites)
Makĩrĩtwara hema-inĩ ciao (They kept it in their tents)
Makĩrĩiga kũrĩa ngai cia Dagoni ciakomaga (They kept the altar together with their Dagon gods)
Ngai cia Dagoni ciaunĩkangire icunjĩ (And their gods fell and broke into pieces)

(Refrain)

Nebukadinezar ethondekeire mũhianano wake (Nebuchadnezzar fashioned an idol)
Agĩatha andũ maũinamĩrĩre (And ordered its worship)
Kĩrĩndĩ kĩingĩ gĩkĩinamĩrĩra mũhianano ũcio (A multitude worshiped the idols)
Mĩaka mũgwanja arĩire nyeki o ta nyamũ (And for seven years he ate grass like an animal)

(Refrain)

Ngai ũyũ tũtungataga nĩ Ngai ũtahananagio (The God we serve is like no other)
Ũhoti wake nĩ mũnene mũno (He is a Mighty God)
Nĩ Ngai unangaga ndaimono ciothe na hinya mũnene (He destroys the devil with force)
Mahinya mothe ma kwa ngoma makaunĩkanga (And brings down the evil powers)

(Refrain)

Nitaingia Lango Lake (I Will Enter His Gates) Lyrics by Mary Wambui

Leave a comment


Wakati nitajikuta, mbinguni kwa Baba (When I shall find myself in my Father’s heaven)
Nitajua ya ulimwengu nimeshayaacha (I will know that the earth’s is over)
Haleluya nitasifu, kufika mbinguni (Hallelujah I will praise, on getting to heaven)
Hosana! nitaingia kwa shangwe (Hosanna! I will enter with praise)

Refrain:
Nitaingia lango lake na sifa moyoni (I will enter His gates with praises in my heart)
Nitaingia kwa shangwe kuu (I will enter with great praise)
Nitasema ni siku njema bwana ameifanya (I will say it is a good day that the Lord has done)
Nitafurahi kufika mbinguni (I will be glad to reach heaven) (Repeat)

(Refrain)

Nchi nzuri nchi safi, kwa Baba yangu (My Father’s place is good)
Kuna amani kuna furaha, huko ni kusifu (There is peace and Joy, it is all praise there)
Tutakaa na Mungu wetu, nchi ya amani (We shall stay with Our God, in that peaceful place)
Hosana! nitaingia kwa shangwe (Hosanna! I will enter with praise)

(Refrain)

Nitawaona watakatifu, manabii wote (I will see the righteous ones and all the prophets)
Hata mitume nchi hiyo, nitawaona (Even the apostles, I will see them in that place)
Tutakula meza moja, nchi ya amani (We shall all eat at one table, in the peaceful place)
Hosana! nitaingia kwa shangwe (Hosanna! I will enter with praise)

(Refrain)

Bwana U Sehemu Yangu (Lord, You are My Everlasting Portion) Hymn Lyrics by Msanii Music Group (Tenzi 116)

Leave a comment


(Sung in Swahili – A Hymn)

Bwana, u sehemu yangu (Lord, You are my everlasting portion)
Rafiki yangu, wewe (More than a friend to me)
Katika safari yangu (In my pilgrim journey)
Tatembea na wewe (Let me walk with You) (Repeat)

Pamoja na wewe (Together with You)
Pamoja na wewe (Closer to You)
Katika safari yangu(In my pilgrim journey)
Tatembea na wewe (Let me walk with You)

Mali hapa sikutaka (I do not seek worldly pleasures)
Ili niheshimiwe (That I be respected)
Heri nikute mashaka (Even if I encountered suffering)
Sawasawa na wewe (I’m safe as long as You’re with me) (Repeat)

Pamoja na wewe (Together with You)
Pamoja na wewe (Closer to You)
Na yanikute mashaka (Even if I encountered suffering)
Sawasawa na wewe (I’m safe as long as You’re with me)

Niongoze safarini (Lead me on the journey)
Mbele unichukue (And bear me there)
Mlangoni mwa mbinguni (At the gate of heavens)
Niingie na wewe (May I enter with You) (Repeat)

Pamoja na wewe (Together with You)
Pamoja na wewe (Closer to You)
Mlangoni mwa mbinguni (At the gate of heavens)
Niingie na wewe (May I enter with You)

Katika safari yangu(In my pilgrim journey)
Tatembea na wewe (Let me walk with You)
Heri nikute mashaka (Even if I encountered suffering)
Sawasawa na wewe (I’m safe as long as You’re with me)
Mlangoni mwa mbinguni (At the gate of heavens)
Niingie na wewe (May I enter with You)

Older Entries Newer Entries