Nilipofika Goligotha (When I arrived at Golgotha)
Nikaiona huko (I saw while there)
Neema kubwa kama mto (Great Grace flowing like the river)
Neema ya kutosha (Sufficient Grace)
Refrain:
Neema ya Golgotha, (The Grace of Golgotha)
Ni kama bahari kubwa (Is like a great ocean)
Neema tele na ya milele, (Overflowing and everlasting Grace)
Neema ya kutosha (Sufficient Grace) (Repeat)
Nilipofika moyo wangu (When I arrived, my heart)
Ulilemewa sana (Was completely overwhelmed)
Sikufahamu bado vema (I did not fully understand)
Neema Yake kubwa (His Great Grace)
(Refrain)
Nilipoona kwamba (When I saw that)
Yesu alichukua dhambi (Jesus took our sins)
Neema ikadhihirikaka (Then Grace manifested)
Na moyo ukapona (And my soul was healed)
(Refrain)
Repeat:Neema ya kutosha (Sufficient Grace)
Sipungikiwi na Neema yako Yesu we (Your Grace Jesus, will never be insufficient)
Katika unyonge, neema yanitosha (In my weakness, Your Grace is sufficient)
Inanipa nguvu za kusonga mbele (It grants me strength to continue)
Waniongoza, hatua kwa hatua, kwa hiyo (You lead me, step by step, therefore)
Kama Mungu ungetazama (Truly God, If you looked at me)
Kama watu tunavyotazama (The way people see me)
Nisingetosha kwenye mizani (I would not fit on the scale)
Nisingekidhi masharti (I would be disqualified)
Hukuangalia historia (You did not regard the history)
Ya familia niliyotokea (Of the family I came from)
Hazikukutisha zangu tabia (My behavior did not terrify you)
Ulilitazama lililo Jema (You saw what was Good in me)
Umenipenda nisiyestahili (You have loved me, the undeserved)
Umeniita mwanao (You have called me Your child)
Niliyejidhania kuwa sifai (The one who thought was not good enough)
Umenipenda Upeo (You have given me a future)
Umebadilisha na yangu asili (You have changed my origins)
Umenifanya mboni ya jicho lako (You have made me the apple of your eye)
Ungehitaji walio kamili (If you needed those who are complete)
Mimi si mmoja wao (I would not be among them)
Ulichojali wangu utayari (What You cared was for my readiness)
Wa kufanya utakalo (To do Your Will)
Umenikabidhi na zako siri (You have shared Your secrets)
Na kunifanya, rafiki wa moyo Wako (And made me, a Friend of Your heart)
Bwana umenikubali, jinsi nilivyo (Lord You have accepted me, the way I am)
Umenikubali, jinsi nilivyo (You have accepted me, the way I am)
Umeona jema ndani yangu (You have seen Good in me)
Na wala, hukutazama unyonge wangu (And did not look at my weaknesses)
Kuna muda najiuliza (There are times I ask myself)
Wewe ni Mungu wa namna gani? (What kind of God are You?)
Uliyenipenda na kunikubali (That You have loved and accepted me)
Mtu wa namna hii (Someone like this?)
Ziko nyakati hata mimi (There are times that even I)
Napata shida kujikubali (Have trouble believing in myself)
Iweje wewe unipende (How then can you love me)
Mtu wa namna hii? (A person like this?)
Umenipenda nisiyestahili (You have loved me, the undeserved)
Umeniita mwanao (You have called me Your child)
Niliyejidhania kuwa sifai (The one who thought was not good enough)
Umenipenda Upeo (You have given me a future)
Umebadilisha na yangu asili (You have changed my origins)
Umenifanya mboni ya jicho lako (You have made me the apple of your eye)
Ungehitaji walio kamili (If you needed those who are complete)
Mimi si mmoja wao (I would not be among them)
Ulichojali wangu utayari (What You cared was for my readiness)
Wa kufanya utakalo (To do Your Will)
Umenikabidhi na zako siri (You have shared Your secrets)
Na kunifanya, rafiki wa moyo Wako (And made me, a Friend of Your heart)
Bwana umenikubali, jinsi nilivyo (Lord You have accepted me, the way I am)
Umenikubali, jinsi nilivyo (You have accepted me, the way I am)
Umeona jema ndani yangu (You have seen Good in me)
Na wala, hukutazama unyonge wangu (And did not consider my weaknesses)
Ahsante! Asante!(Thank You! Thank You!)
Umeona jema ndani yangu (You have seen Good in me)
Na wala, hukutazama unyonge wangu (And did not look at my weaknesses)(Repeat)
Kama mbaya mbaya (If It’s Bad, So Be It)
Wacha iwe mbaya (Let it be bad)
Tuliwatendea mema/wema (We did them good)
Wakatulipa mabaya (But they repaid us with evil)(Repeat)
Kama mbaya mbaya (If It’s Bad, So Be It)
Wacha iwe mbaya (Let it be bad)
Tuliwaona wabora (We saw them as better)
Kumbe hawafai(But they are not suitable)(Repeat)
Walitunywesha kikombe cha uchungu (They let us drink from the cup of bitterness)
Na maumivu makali (And great pain)
Wakachukua/wakatwaa nafsi zetu (They took our bodies)
Wakazigonga misumari (And crucified them)(Repeat)
Sasa wameyakanyaga (Now they have been trod on)
Wacha Mungu ashughulike nao (Let God take care of them)
Wamevavanya (They have been tested)
Wacha mbingu zishughulike nao (Let the heavens deal with them)(Repeat)
Kama mbaya mbaya (If It’s Bad, So Be It)
Wacha iwe mbaya (Let it be bad)
Tulitenda mema (We did good)
Wakatulipa mabaya (But they repaid us with evil)(Repeat)
Sasa wameyakanyaga (Now they have been trod on)
Wacha Mungu ahangaike nao (Let God take care of them)
Wamevavanya (They have been tested)
Wacha mbingu zishughulike! (Let the heavens take care of it)(Repeat)
Mene mene… tekeli perez (Mene, mene, tekel, parsin)
Kiganja kimeandika, fukuza upesi (The finger has written, chase it away)
Mkono umeandika, fukuza upesi (The hand has written, chase it away)
Kwenye mawe kimeandika, fukuza upesi (It has written on stone, chase it away)
Ukutani kimeandika, watoke upesi (It has written on the wall, for them to get out quickly)
Ofisini kimeandika, rarua upesi (It has written in the office, to be quickly torn)
Kwa wafalme kimeandika, komesha kabisa (To the kings it has written, to stop them completely)
Kwa wakuu kimeandika, rarua upesi (To the rulers it has written, to be quickly torn)
Kwa wenye nguvu kimeandika, komesha kabisa (To the powerful, it was written, to be stopped completely)
Mene tekeli perezi, fukuza upesi (Mene, tekel, parsin, quickly chase them)
Porini waweka mafisi, wakale manyasi (They have placed hyenas in the forest to eat the grass)
Mene tekeli perezi, fukuza upesi (Mene, tekel, parsin, quickly chase them)
Porini waweka mafisi, wakale manyasi (They have placed hyenas in the forest to eat the grass)
Wapigwe! Wapigwe! Waweka mafisi (Let them be destroyed! The hyena keepers)
Wapigwe! Wapigwe! Wakose nafasi (Let them be destroyed! Let them lose their places) (Repeat)
Kanyaga kanyaga kanyaga kanyaga, kanyaga! (Step on them!)x?
Mzee wa kazi, wewe ndiwe shujaa (God of Great Works, You are the Champion)
Ni ule mama, nd’o akan’ambia (It is that woman, that told me this)
Shida zote, ‘nazo nilemea (All the troubles that overwhelm me)
Eti ni wewe waweza tatua (That it is You that can solve them)
Mzee wa kazi (God of Great Works)
Mzee kazi, eti we ni mwamba (God of Great Works, You are the Rock)
Ni ule dada, nd’o alinieleza (It is that girl that told me)
Adui wote, wa’nishambulia (All the enemies that attack me)
Wewe ndiwe ‘wezaniokoa (It is You that can save me)
Mzee wa kazi (God of Great Works)
Mzee wa kazi, eti we ni simba (God of Great Works, You are the Lion)
Ni ule babu, nd’o aliyesema (It is that man, that said this)
Nisiogope, nisite shaka (That I should not be afraid, nor doubt)
Simba wa Yuda, we utanilinda (The Lion of Judah, will defend me)
Mzee wa kazi (God of Great Works)
Mzee wa kazi, eti we ni Mfalme (God of Great Works, You are the King)
Ni moyo wangu, aliniambia (It is my heart that told me this)
Mbingu na ardhi zakuinaima (Heaven and earth bow before You)
Kwa ibada, kwani we ni Yahweh (In worship, for You are Yahweh)
Wewe ndiwe, mwenye baraka (You are the One with the blessings)
Wewe ndiwe, mwenye utukufu (You are the One who is Holy)
Wewe ndiwe, mwenye nguvu zote (You are the One with all power)
Wewe ndiwe, Mfalme wa wafalme (You are the King of kings)
Wewe ndiwe, Alfa na omega (You are the Alpha and Omega)
Wewe ndiwe, Muumba wangu (You are my Creator)
Wewe ndiwe, Yesu Mwokozi (You are Jesus the Savior)
Wewe ndiwe, Mwanzo na Mwisho (You are the Beginning and the End)
Mzee wa kazi (God of Great Works)
Refrain:
Uko sawa Mungu wangu (You remain the same my God)
Mchana usiku, wewe uko sawa tu (Morning and evening, You remain the same)
Safarini hukuniacha (You did not abandon me in the journey)
Majaribuni, umenishika mkono (You held my hand) (Repeat)
Mi najua mawazo unayoniwazia (I know the thoughts You have about me)
Ni mawazo ni ya amani, wala si ya mabaya (They are good thoughts, not evil)
Kando ya maji ya utulivu huniongoza (You lead me beside still waters)
Sitaogopa mabaya, wewe u pamoja nami (I shall not fear evil, for You are with me) (Repeat)
(Refrain)
Umeniandalia, meza mbele ya watesi wangu (You have prepared a table before my enemies)
Umenipaka mafuta, kichwani pangu (You have anointed my head with oil)
Umenirehemu (You have mercy on me) (Repeat)
Wema nazo fadhili, zitanifuata mimi (Your Goodness and Mercy, shall follow me)
Nami sitanyamaza (And I shall not be silent)
Nitalisifu jina lako milele (I will praise Your name forever) (Repeat)
(Refrain)
Uko mwema Mungu wangu (You are Good, my God)
Mchana usiku, wewe uko mwema tu (Morning and evening, You are God)
Safarini hukuniacha (You did not abandon me in my journey)
Majaribuni, umenishika mkono (You held my hand) (Repeat)