Wakati ule wa Nuhu (The Time of Noah) Lyrics by Ulyankulu Choir

Leave a comment


(Sung in Swahili)

Spoken:
Ulimwengu wetu huu kuna anasa nyingi
(In our world there is a lot of pleasures)
Nazo zimewavuta watu wengi
(And they have attracted many people)
Wanaume kwa wanawake, wasichana kwa wavulana
(Men and women, girls and boys)
Hata hawawezi kugundua kuwa mambo haya yatafika mwisho wake
(So much that they do not realize that they have an end)
Tuna mifano hai katika Biblia
(We have living examples from the Bible)
Kama wakati wa Sodoma na Gomora
(Like the time of Sodom and Gommorah)
Watu walitenda maovu, hata wakamchukiza muumba
(People did evil, that they disgusted the Creator)
Muumba naye akashindwa kuwavumilia, akawaadhibu kwa moto
(The Creator could no longer be patient with them, he punished them with fire)
Tunasoma pia wakati wa Nuhu
(We also read about the times of Noah)
Watu walitenda maovu, hadi Mungu akaghadhabika
(People did evil, that God was angered)
Akawaadhibu kwa gharika
(He punished them with the flood)
Kadhalika na ulimwengu wetu huu
(So is the same with our current world)
Watu wanaendelea kutenda maovu
(People continue to do evil)
Hawawezi kugundua kuwa, yatafika mwisho wake
(Without realizing that it has an end)
Lakini ndugu yangu mpendwa,
(But my beloved brother)
Jua kwamba ulimwengu huu utafikia mwisho
(Know that this world has its end)

Wakati ule wa, Nuhu (At the time of Noah)
Watu walimwasi Bwana (People rejected God)
Walitenda kila, dhambi (They committed every sin)
Wakamsahau mu-umba (They forgot their Creator)

Walimchukiza, muumba wao (They disgusted their Creator)
Kwa dhambi zao, nyingi (With their many sins)
Mungu alia-mua kuua (God decided that to wipe)
Kila kiumbe, chote (All creatures from the face of the earth)

Mungu kamwambia, Nuhu kwamba (God told Noah to)
Afanye safina, yenye dumba (Build a wooden ark)
Aifunike ramli, ndani na nje (To cover it with tar inside and out)
Urefu wake, mikono mia tatu (Its height: 300 hands)
Upana wake, mikono hamsini (Its width: 50 hands)
Kwenda juu kwake, mikono thelathini (Its height: 30 hands)

Naye Nu-hu ali-i-jenga safina (And Noah built the ark)
Alipo-maliza kaambiwa ingia (When he finished, he was told “Enter”)
Wewe na mkeo na wato-to wako (“You and your wife and children”)
Pia na, wake za-o nao, waingie (“Also their wives should enter too”)

Mvua nayo ilianza kunyesha bila kukatika (And the rain started without ceasing)
Maji yalieendelea kuongezeka (Water continued to rise)
Kutoka kisiginoni kwenda magotini (From the heel to the knee)
Kutoka magotini kwenda kifuani (From the knee to the chest)
Watu wakakumbuka maneno ya Nuhu, alisema (And people remembered Noah’s words)
Walipanda kwenye milima, hawakupona (They climbed mountains, but did not survive)
Wengine kupanda kwenye miti, hawakupona (Others climbed trees, but did not survive)
Wajuzi wa kuogelea hawakupona (The ones who could swim did not survive)
Wengine waliogelea mpaka kwa Nuhu (Others swam to Noah)
Wakasema Nuhu utufungulie, tunakufa (Asking for him to let them in)

Nuhu aliwaambia sikufunga mimi (Noa told them “I was not the one to close the door”)
Waliangamia wote wakafa kwa maji (They all perished in the water)
Wanyama nao waliangamia, wakafa kwa maji (The animals too, perished in the water)
Ndege waliangamia, wakafa kwa maji (The birds also perished in the water)

Kama ilivyo kwa siku za Nuhu (As was the days of Noah)
Nd’o ilivyo ha-ta sasa (That is how it is today)
Matendo yale yaliyotendeka (All the actions that was taken)
Nd’o yatendeka ha-ta leo (That are being done today) (Repeat)

Ulevi na uchawi zimewafunga wengi (Drunkenness and witchcraft has bound many)
Kutafuta mali kumewafunga wengi (The search for riches has bound many)
Uzinzi na uwongo zimewafunga wengi (Adultery and lies have bound many)
Wengi wamesahau mkombozi wao, wamemwacha (Many have forgotten their savior, and left Him)
Siku ya mwisho hakuna kujitetea (In the final days, there is no advocate)

Wenye haki wote wataingia mbinguni (The faithful ones will enter heaven)
Wenye dhambi wote watatupiwa motoni (The sinful ones will be thrown in the fire)

Uthando LukaBaba (My Father’s Love) Hymn Lyrics Sung by Lebo Sekgobela

Leave a comment


(Sung in Zulu – A Hymn)

Uthando lukaBaba (My Father’s Love)
Lunje ngolwandle bo (Is like the ocean)
Lona ubanzi lujulile (It’s deep and wide)
Luyazeka yini bo (Is it known)

Lwafikelela kimi (I felt it even)
Ngisezonweni zam’ (In my sins)
Alwaze lwangedlula (It did not pass me by)
Lwangisindisa nam’ (But it rescued me)

Refrain:
O Baba, ngiyabonga (Oh Father, I thank you)
Nangentliziyo yam’ (With all my heart)
Sengiyavuma ngithi (I confess and say)
Ungumsindisi wam’ (That you’re my Savior)

Lwafikelela kimi (I felt it even)
Ngisezonweni zam’ (In my sins)
Alwaze lwangedlula (It did not pass me by)
Lwangisindisa nam’ (But it rescued me)

(Refrain)

Ngizokwethemba njalo (I will always trust you)
Ngise semhlabeni (As I walk on earth)
Ngizokukhonza futhi (I will serve you again)
Ngothando entlizweni (With love in my heart)

(Refrain)

Wena Nkosi Uyazi (Lord, Only You Know) Lyrics by Jumbo

Leave a comment


(Sung in Zulu) 

Refrain:
Wena Nkosi, uyazi (Lord, You know)
Wena Nkosi, uyazi (Lord, You know)
Wena Nkosi uyazi (Lord only You know)
Wena Nkosi uyazi (Lord only You know) (Repeat)

Repeat: Refrain
Im’kulekho yethu (Our prayers) x2
Wena Nkosi uyazi (Lord only You) x2
Waz’ izinto esingazazi (You know things that we do not know)
Wena us’makade uyazasi (You already know yourself)
Wena Nkosi uyazi  (Lord only You know) x2
Waz’ izinyembezi zethu (He is knows our tears)
Esizikhala bengaboni abantu (You know the hidden spaces)
Wena simakade uyazi (You already know them)
Wena Nkosi uyazi (Lord, You know) x2

Angimbon’ omunye, ongafaniswa nawe (There is no one else who can match You)
Wena Nkosi uyazi (For Lord, You know) x2
Yebo nasebunzimeni, impela ngathembe wena (Yes, even in troubling time, my trust is in You)
Wena Nkosi uyazi (Lord only You know) x2

(Refrain)

Repeat: Refrain
Wena Nkosi, uyazi (Lord only You know))
Im’khuleko yethu (You know our prayers)
Izimfihlo zethu (You know our secrets)
Uyazazi Baba (Father You know them)
Ubuthi mandali thingani (You know what the church says about me)
Abantu bakho bathin’ ngami(You know what people say about me)
Wena Nkosi uyazi (Lord only You know) x2

(Refrain)

Repeat: Refrain
Wena Nkosi, uyazi (Lord , You know)
Im’khuleko yebandla (You know the church prayers)
Wena Nkosi uyazi (Lord only You know) x2
Imkhuleko yezwe lethu, uyazi (You know the prayers for our country)
Kulenkinga engbhekene nayo, uyazi (You know the problems we face)
Wena Nkosi uyazi (Lord only You know) x2
Umkhuleko weyntandane, uyazi (You know the orphans’ prayers)
Nkosi yami, uyazi (My Lord, You know)
Uyazi Baba, uyazi (My father, You know)
Wena Nkosi, uyazi (Only You know, Lord) x2

(Refrain)

Im’khuleko yethu (Our prayers)
Bab’ uyayazi, uyazi (Father You know all our prayers)
Wena Nkosi, uyazi (Lord You know them)
Sophila kanjani, uyazi (You know how we live)
Wena Nkosi, uyazi (Lord only you know)
Amazulu azabona (The heavens will witness)
Umhlaba uthembe wena (And the earth will trust in You)
Wena Nkosi, uyazi (Only You know, Lord) x2

Ungaslahli Baba, uyazi (Do not forsake us Father, for you know)
Izwi lethembe wena (You are our Hope)
Wena Nkosi, uyazi (Lord, only You know)
Ungasishiyi Baba (Do not leave us, Father)
Wena Nkosi, uyazi (Lord, only you know) x2

Ko S’Oba Bire (There is No King Like You) Lyrics by Chidinma

Leave a comment


(Sung in Yoruba)

Refrain:
Repeat: Laye lorun kosoba biire
Laye Lorun Kosoba Biire (On Earth and in Heaven, there’s no King like You)
Eleru Niyin, Alagbawi Eda’ o (Fearful in Praise, our Advocate)
Aduro Tini, Lojo Iponju Mi o (Our Help in times of trouble)
Oran Ni Nise, Atu Sini Lo o (The one who sends us and goes with us)

Gbigbe ga, loruko re (Your Name is Lifted High)
Titobi, loruko Baba (My Father’s name is highly exalted)
Talaba fi owe, Ekun oko Pharaoh (None compares to the Lion that dealt with Pharaoh)
Hosanna, iwo lo peye (Hosanna, You’re worthy of praise)
Of’orun nikan, se kiki da wura (You endowed the heaven with gold)
Ogba mi lowo ota aye mi o (You delivered me from my enemies)
Ose o, kosoba biire (Thank You, there’s no King like You)

(Refrain)

Olugbega mi, atoba tele (My Defender, the greatest King)
Oluwasanmi, awe maye hun (Healer, who does what he says)
Onibu ola, Ola yan turu (Full of Honor, Honor in abundance)
Atobiloba, adi ma se tu (Great in honor, full of mystery)
Mojuba fun Alada wura (I bow to the King of Glory)
Mo kira fun oba aye mi o (Hail the King of my life)
Ose o, kosoba biire(Thank You, there’s no King like you)

Talaba fi owe, Ekun oko Pharaoh (None compares to the Lion that dealt with Pharaoh)
Hossana, iwo lo peye (Hosanna, You’re worthy of praise)
Of’orun nikan, se kiki da wura (You endowed the heaven with gold)
Ogba mi lowo ota aye mi o (You delivered me from the enemies of my life)
Ose o, kosoba biire (Thank You, there’s no King like You)

(Refrain)

Wacha Waone (Let Them See) Lyrics by Goodluck Gozbert ft Martha Mwaipaja

1 Comment


(Sung in Swahili)

Refrain:
Wacha waone, wacha waone (Let them see, let them see)
Wacha waone, vile wewe ni ngome, Yesu (Let them see the way you are a Fortress)

Niko hapa kukuwakilisha, Yesu wangu (I am here to represent You, my Jesus)
Nataka waone vile ulivyo ngome kwangu (I want them to see the way You are my safe haven)
Tumetoka mbali, umenitoa mbali (We have come from far, You have brought me from far)
Ninaomba waone ulivyo mkubwa (I pray that they may see Your might)
Ulikonitoa  mimi najua (I know where You brought me from)
Ndio maana nasema, wewe ni mwamba (That is why I say, You are the Rock)
Sitarudi kule nilikotoka, niko na wewe (I will not return from whence I came, I am with you)
Kwangu ni mwamba (You are my Rock)
Uliko nivusha mimi najua (Where You brought me across, I know)
Ndio maana nasema, wewe ni mwamba (That is why I say, You are the Rock)
Kwa macho waone ulivyo Ili nao waelewe (Let them see with their eyes, that they may know)
Wewe ni ngome (That you are the fortress)
Kwa macho wakujue, nilie naye (With their eyes to know whom I am with)
Wao waseme kweli ni ngome (For them to confess that You are the fortress)

(Refrain)

Sibishani, sibishani na wabishi sugu (I do not argue with the stubborn)
Nisije nikasema; kakasirika Mungu (That I may speak out and anger God)
Sitetei sitetei, hali yangu ngumu (I do not defend my tough life)
Siunajua ukitenda, watatafutana huku (Because You know if You do it, they will look for You)
Eh Yahweh, sina wa kulinganisha na wewe (Oh Lord, I do not have anyone to compare to You)
Nashukuru shukuru shukuru Kyala (I am thankful to You)
Hata yale ulinitendea pasipo kuomba eh (Even to what you did for me without my prayer)
Ngome yangu ya siri: ni wewe Mungu (My secret fortress, is You, God)
Kuna vile unipigania nisiaibike eh (You fought for me, that I may be safe)

Utawale, utawale tu, utawale (Rule, rule over us)
Utawale, utawale tu, utawale (Rule over us)

(Refrain)

Katika vitu, katika watu (In all things, amongst all people)
Ukaniinua, nashukuru Yesu (You lifted me, thank You Jesus)
Katika vitu, katika watu (In all things, amongst all people)
Nikaheshimiwa, nashukuru Yesu (I have been respected, Thank You Jesus)

Repeat: Daida
Sasa najidaidai (Now I take pride)
Nafurahi rahi (I am joyful)
Asante (Thank you) (Repeat)
Nafurahi Leo (I am joyful today)
Najidai kwa Yesu (I take pride in Jesus)
Ninaendelea, ah (I continue)
Ninashangili ah (With my praise)
Kwa Baba, eh (To the Father)
Najidai, ah (I take pride)
Ninaringa kwa Baba (I take pride in the Father)
Nafurahi kwa Yahweh (I am joyful in Yahweh)

Repeat:
Jidhihirishe Mungu (Show yourself God)
Utukufu wako (In all Your Glory)
Ukitamalaki hapa, utatamalaki Bwana (Take authority Lord)

Older Entries Newer Entries