Mungu Mkuu (Almighty God) Lyrics by Evelyn Wanjiru

1 Comment


(Sung in Swahili)

Chorus:
Zaidi ya yote (Above it all)
Utabaki kuwa Mungu mkuu (You’ll remain Almighty God)
Alfa na Omega (Alpha and Omega)
Hubadiliki kamwe (You the One that never changes)

Nikitazama nyuma na mbele (Before me and behind me)
Naona ukuu wako (I see your greatness)
Kaskazini, kusini pia (From the north and to the south)
naona ukuu wako (I see your greatness)
Magharibi nako mashariki pia (From the west, to the east)
Naona ukuu wako (I see your greatness)

(Chorus:)

Hakuna mkamilifu katika wanadamu (No one among me is more perfect/complete)
Zaidi ya ewe Mungu wangu (Than You, oh my God)
Kila goti lipigwe, kila ulimi ukiri (Let every knee bow, and every tongue to confess)
Kuwa wewe ni Mungu pekee (That You are God alone)

(Chorus:)

Umenipigania vita vikali (You fought great battles for me)
Ambavyo mimi singeweza pekee yangu (That I could not have fought alone)
Maadui waliniandama (My enemies followed me)
Lakini ukawatawanya kwa njia saba (But You scattered them seven ways)
Usifiwe, uabudiwe (Be praised, be worshiped)

Bridge:
Unabaki kuwa (Mungu tu) (You remain – the only God)

Jerusalem Lyrics by Emmy Kosgei

3 Comments


(Sung in Kalenjin)

Chorus:
Kimi rutoito, kimite banda o (We are pilgrims, we are travelling)
Kibendi gaa Jerusalem (We are going home, to Jerusalem)

Ngonyuni Kimite, koma nenyonet (This world is not ours)
Kiwo kochobwech Jeso nenyonet koret (Jesus has gone to prepare us a home)
Asi ole mi, kemi ak echei (So that where He is, we may be also)
Kimite rutoito, kimitei banda o (We are pilgrims, we are on a journey)

(Chorus)

Betusiekap chi ko nwagen eng’ ng’onyuni (The days of man are few on earth)
U sogek che restos, urwet che labati (It is like withering grass, or a passing shadow)
Tos ichobotu kimwa ko bo ile (Do you fight as he commanded?)
Kataruget ne mie, ageni kutwet o (I fight the good fight, I await my crown)

(Chorus)

Ara ongigilgei, onge chechem banda o (So we should carry on,  and press forward)
Amu mi Jeso kobotech agoi kagesuno (For Jesus is with us until the end)
Ogerro nyone Jesu, nam mising’ noto itinye (Look Jesus is coming, hold closely to what you have)
Asi magibenek chi, Utweng’ung’ (That no-one may steal your crown)

(Chorus)

Tinodiwa naJesu (Jesus Loves Us) Lyrics by Wellington Kwenda

2 Comments



(Sung in Shona)

Makanaka, makanaka mwari we masimba, makanaka
(Amazing, Lord Almighty your are Amazing, Amazing!)

Chorus:
Tinodiwa naJesu, na temberera Jesu
(Jesus loves us, Lets celebrate Jesus)
Tinodiwa naJesu, lets celebrate, Jesu
(Jesus loves us, Lets celebrate Jesus)

Behold and see the glory of the Lord
Shining before us: The Glory of Lord x2

Oh yeah, yeah, yeah, yeah x2

Tarira uone ruoko rwaMwari (Tarira uone) (Come and see the blessings of the Lord)
Muna iwe tarira (Tarira uone) (Come and see the blessings (come and see))

(Chorus)

Makanaka mwari we masimba (Lord Almighty your are Amazing)
Makanaka, makanaka mwari we masimba, makanaka
(Amazing, Lord Almighty your are Amazing) (Repeat)

Tinotenda Mwari wemasimba (We thank You, Lord Almighty)
Tinotenda, tinotenda mwari we masimba, tinotenda
(We thank you, we thank you, Lord Almighty, we thank you) (Repeat)

(Chorus)

Someone’s At The Door Lyrics by Nathaniel Bassey

4 Comments


Someone’s knockin’ at the door x2
Can you hear him knockin’? x2
He’s been knockin’ very long
He’s been knockin’ for so long
Can you hear him knockin’? x2

Jesus, Jesus, Jesus, He’s at the door x2

Someone’s calling out your name
Calling time and time again

Can you hear Him callin’ x2

He’s been calling very long
He’s been calling for so long

Can you hear Him callin’ x2
He’s been callin’ you

It’s Jesus Jesus Jesus, He’s at the door x2

Don’t let him walk away (Don’t let him walk away)
He’s so patient; but don’t take a chance
All you need to do is open the door
Let Him takebHis rightful place
So He can change your world

Open up the door…

Mtakatifu (Holy) by Frank Njuguna

38 Comments



(Sung in Swahili)

Sitaabudu miungu mingine, (I will not worship other gods)
Iliyo na mifano yeyote (Fashioned in any way)
Sitapiga magoti yangu nisujudu (I will not bow down to worship)
Nitakusanya sadaka zangu ziwe manukato (But will bring my offering as incense)
Kwa Yesu, astahili sifa (To Jesus, who deserves praise)

Chorus:
Naleta sadaka za sifa kwako Bwana (I bring my sacrifice of praise to You Lord)
Heshima na mamlaka zipokee (Receive all the glory and honor)
Mtakatifu, mtakatifu, nakuita mtakatifu (Holy, Holy, I call you Holy)
Oh Yesu, wewe mtakatifu (Oh Jesus, You are Holy)

Pokea sifa na utukufu (Receive praise and glory)
Na heshima ni zako Bwana (And all honor belongs to you Lord)
Pokea sifa na utukufu (Receive praise and glory)
Na heshima Bwana (And honor, Lord)

Bridge:
Uh, Oh Yesu, wewe mtakatifu (Uh…, Oh Jesus you are Holy)

Older Entries Newer Entries