Mungu Wa Mapendo (God of Love) Lyrics by Rose Muhando

1 Comment



(Sung in Swahili)

Nini kitanitenganisha (na upendo wa Mungu Baba)
(What can separate me, from the Love of God the Father)
Ikiwa ni dhiki au njaa (Havitananitenga naye Baba)
(Neither hardship nor famine, shall separate me from the Father )
Mauti, upanga, na dhihaka (Havitananitenga naye Baba)
(Death, war and danger, will not separate me from the Father)
(Repeat)

Chorus:
Sina hofu sibabaiki (I’m not afraid, not worried)
Kwake yeye nime/nitashinda (I have/shall won/win)
Milele yote nime/nitashinda (Forever I have/will win/won)
Tena zaidi ya kushinda (Even more than win)
Kwake yeye aliyenipenda (In Him who loved me)
(Repeat)

Kwenye zamu yangu nitasimama (When my turn comes I shall stand)
Kwa miguu yangu nitasimama (On my feet I shall stand)
Nione Bwana atakavyonijibu mimi (To see what the Lord shall say to me)
Kwa habari ya kulalamika kwangu (Regarding my persecutions)
Bwana aliniambia neno hili (As the Lord had promised me)
“Usiogope maneno yao (“Do not fear their words,)
Usitetemeke mbele yao, (Do not tremble before them)
usifadhaike mbele yao (Do not despair before them )
Maana imeandikwa, kwa ajili yako ninauawa (As it is written, I was killed for your sake)
kama kondoo wa kuchinjwa, kifo nimehesabiwa (Like a lamb to slaughter, in your death you were counted)
Kifo nimehesabiwa, mimi sibabaiki (In my death I have been counted, I am not worried)

Bridge:
Shetani usinisumbue (Shetani usinisumbue) (Satan, do not bother me)
Wala usinibababishe (Wala usinibababishe) (Do not worry me)
Funga kinywa ukatoweke (Funga kinywa ukatoweke) (Be quiet and begone)
Nyamaza kimya ukapotee (Kwa jina la Yesu ukatoweke) (Be silent and be gone in the name of Jesus)
Nyamaza kimya ukapotee (Nyamaza kimya ukapotee) (Be quiet and begone)

(Chorus)

Milele neno la Mungu limehakikishwa (Forever the word of God has been established)
Tena ni ngome kwa wamwaminio (It is a fortresses to the believers)
Tena ni ngao kwa wamwitao Baba (Also a shield for those who call him Father)
Kabla ijawa misingi ya dunia, (Before the foundation of the world)
Yeye huyu alikuweko (He was here)
(?), muumba wa utukufu ([?], Creator of glory)
Na utakaso wa dhambi, (?) (And the cleansor of sin, (?))
Nami kwake ni wa mwana x2, ni wa mwana (I belong to the son)

(Bridge) + (Chorus)

Asifiwe Mungu wa mapendo (God of love be praised)
Asifiwe Mungu wa huruma (God of mercy be praised)
Asifiwe Mungu wa amani (God of peace be praised)
Asifiwe Mungu wa mapendo (God of love be praised)

Asifiwe Mungu wa mapendo (God of love be praised)
Ametenda maajabu, (He has done amazing things)
dunia ishangilie (Let the world rejoice)
Visiwa(?) vitoe nyimbo, (All islands  give praise)
Asifiwe Mungu wa mapendo (God of love be praised)

Mungua chukua heshima yako (Gpd receive your honor)
Mungu chukua utukufu wako (God receive your praise)

Asifiwe Mungu wa mapendo (God of love be praised)
Ametenda maajabu, (He has done amazing things)
dunia ishangilie (Let the world rejoice)
Visiwa(?) vitoe nyimbo, (All islands  give praise)
Asifiwe Mungu wa mapendo (God of love be praised)
(Repeat)

Mwambie (Tell Him) Lyrics by Man Ingwe

1 Comment


(Sung in Swahili)

Hii ni ngoma ya wadhii wanafeel (This song is for those who feel)
kama Mungu amewasahau amechelewa sana (That God has forgotten them – He’s too late)
Round this ninataka tuombe pamoja tumkumbushe Mungu (This time I want us to pray together to remind God)
Atukumbuke na ikiwezekana akuje mwenyewe asitume malaika (To remember us and to come down instead of the Angels)

Mwambie Cherie, dada ya Jerry (Tell Cherie, Jerry’s sister)
Jirani wa Njeri, kutoka Jeri (Njeri’s sister from Jeri [Jericho])
Nilimwona Cherie bila renti, (I saw Cherie without rent)
akikopa senti kulipa madeni  (Borrowing money to pay debts)
Alikuwa na magonjwa, watoto wamefukuzwa (She was ill her children not at school)
Shuleni hakujalipwa, kazini amefutwa (School fees were unpaid, she’d lost her job)
Ukimwona mwambie, asilie (If you see her, tell her not to cry)
Atulie namshughulikia (To rest in me, I’m taking care of it)

Chorus:
Mwambie, mwambie, asilie sana (Tell her, tell her, not to cry)
Machozi yake nitayapangusa (I shall wipe away her tears)
Mwambie, mwambie, nampenda sana (Tell her, tell her, that I love her)
MAombi yake, nashughulikia (I am taking care of her prayers)

Mwambie Johnny, ndugu ya Bonny (Tell Johnny, Bonny’s brother)
Jirani wa tony, kutoka Doni (Tony’s neighbor from Doni [Donholm])
Nilimwona Johnny akilia woi (I saw Johny crying Woi)
Akisema story ilikuwa sorry (He had a sorry story)
Alikuwa amechakaa, bila pa kukaa  (He was unkempt with no place to stay)
Bila cha kuvaa, kajificha kwenye Bar (With nothing to wear, he hid in Bars)
Ukimwoma mwambie, asilie (If you see him tell him)
Atulie namshughulikia (To rest in me, I’m taking care of it )

(Chorus)

Bridge:
Ewe ndugu ukilia naye Mungu analia (My brother, God cries when you cry)
Ukiumia, anaumia (He hurts when you hurt)
Ukifurahia, naye anafuraia (Joyful when you are joyful)
Atakubariki, mwambie mwenzio (He will bless you, tell others that)

(Chorus)

Ndugu/Dada/Mama/Baba usilie (Brother/sister/mother/father don’t cry)
Mungu mwaminifu  (God is faithful)
Atajibu maombi yako, pokea  (He will answer your prayer – receive it.)

Kepha Ngale (Beyond this World) Lyrics By Thulile Mbili and Mthunzi Namba

9 Comments


(Sung in Zulu)

Ngithanda ukuqala la ngibongi igama lakhe (I’d like to start thanking the Lord here)
Kepha ngale Halelujah, lukhulu udumo Lwakhe (But his glory is greater beyond here)
(repeat)

Kufuphi ukubongwa, wena somuhlekazi (He paid the  price,he bought me with his blood)
Kepha ngale Halelujah, lukhulu udumo Lwakhe (But his glory is greater beyond here)
(repeat)

Chorus:
Kepha ngale Halelujah, lukhulu udumo Lwakhe (But his glory is greater beyond here)
Zincane iZibongo zakho, wasithenga ngenani (my gratitude is not enough, for he bought me with his blood)
(repeat)

Zincane iZibongo zakho, wasithenga ngenani (my gratitude isn’t enough, He bought me with his blood)
Zincane iZibongo zakho, wasithenga ngenani (my gratitude isn’t enough, He bought me with his blood)
(repeat)

Say More Jesus Lyrics by Brenda Mtambo (Joyous Celebration 14)

5 Comments


let me be able to hear you Lord
Let my heart be not troubled O Lord
Free my mind from all distractions O Lord
Let me be able to hear you more (repeat)

Chorus:
I’m waiting to hear you more
I’m waiting to hear from you
I’m willing to do your will
I’m ready to do as you say (repeat)

God teach me your ways
Let me walk in obedience
Let my heart be like yours
Loving, forgiving and merciful

(Chorus)

Say more Jesus, say more
Say more Jesus, say more (Repeat)

Nimfahamu Yesu (More About Jesus) Lyrics by Alice Kamande

Leave a comment


(Sung in Swahili – A Hymn)

Chorus:
Zaidi, zaidi, nimfahamu Yesu (More about Jesus would I know)
Nijue pendo lake na (More of His love and)
Wokovu wake kamili (His saving fullness)

Nataka nimjue Yesu (I want to know about Jesus)
Na nizidi kumfahamu (And to understand Him)
Nijue pendo lake na (To know about His love and)
Wokovu wake kamili (His saving fullness)

(Chorus)

Nataka nimwone Yesu (I want to see Jesus)
Na nizidi kusikia (And to listen to Him)
Anenapo kitabuni (As He speaks in the Book)
Kujidhihirisha kwangu (To reveal Himself to me)

(Chorus)

Nataka nimfahamu (I want to understand Him)
Na nizidi kupambanua(And to continue to understand)
Mapenzi yake nione (To see his love)
Yale yanayo pendeza (And all that is Good)

(Chorus)

Nataka nikae nawe (I want to stay with Him)
Kwa mazungumzo zaidi (For more communion)
Nizidi kuwaonesha (To continue to show)
Wengine wokovu wake (Others his salvation)

(Chorus)

Older Entries Newer Entries