Mungu Mwenye Nguvu (Mighty God) Lyrics by Solomon Mukubwa

4 Comments


(Sung in Swahili)

Pre-Song
Halleluya, Ndugu yangu Biblia inasema (Haleluja, My brother the Bible says )
waabudio wa halisi watamwabudu Bwana (Those who worship the Lord)
katika roho na kwa kweli ( will do so in spirit and in truth)
Na ni wakati huu – ukiwa ndani ya gari lako, (At this moment – if you are in your car)
ukiwa ndani ya basi unasafiri, (In a bus travelling)
ukiwa unafanya kazi ndani ya ofisi yako ( or in your office working )
Jiunge pamoja nami tumwinue Bwana (Join me to lift the Lord )
tumwambie unastahili uko mwenye nguvu ( and tell him He deserves it he is mighty)
Ukiwa uliamka asubuhi (If you woke up this morning)
na haukumwambia kitu Mungu, ( and you didn’t tell God anything )
ni wakati wa kumwambia Bwana: (This is the time to tell Him )
Utukuzwe, uinuliwe ( “You are praiseworthy, be lifted up”)
Tujiunge pamoja kwa wakati huu (Join me now in telling God)
tumwambie Bwana “Wastahili” ( “You deserve [all the honor]”)
Ikiwa uko katika maombi ya kufunga na kuomba, (If you are fasting and praying)
hebu tujiunge pamoja, Twende Haleluya ( join me Let’s go Halelujah)

Verse 1:
Mungu wetu mwenye nguvu, ni Baba wa milele (Our mighty God, is the everlasting Father)
(Mungu wetu mwenye nguvu, Baba wa milele) – (Refrain 1 )
Mwenye nguvu, Ebeneza wa milele (He has the mighty, everlasting Ebenezer)
Wanipa mema, wewe ni mwenye nguvu, Baba wa milele (You grant me good things, you are mighty everlasting Gather)
Nguvu zako zashangaza dunia,
uliumba mbigu pasi kugusa, hewani Baba (Your might astonishes the world, you created the world by the word of your mouth )

Refrain 2:
Neema, fadhili zako, kila asubuhi ( Your goodness and mercies, every morning)
Ulizotenda zanifariji moyo niamkapo (And your works comfort me when I awake)

Verse 2:
Nikikosewa na maisha, wanipa tumaini la kupata maisha Baba (When I am slighted in life, you give me hope in life)
Japo wanicheka majirani ( Though my neighbors laugh at me)
Wewe upo upande wangu, Uhimidiwe Yahweh ((You are in my side, Be praised Yahweh))

Verse 3:
Wanipa tumaini la maisha Baba yangu duniani ( You give me hope in life My Father)
Natembea nawe Baba yangu, ( I walk with you my Father)
Hujaniacha mimi ( You haven’t abandoned me)

(Refrain 2) + (Verse 3)

Verse 4:
Kulala, kuamka ni kwa neema yako (When I sleep, and wake, it is by your grace )
Ndugu yangu Ulimpa mungu nini wewe ( My brother, what did you give God)
kusudi uwe jinsi ulivyo? (For you to be the way you are?) 
Usijivune bure ni neema yake baba. ( Do not boast, it  is by grace of God)

(Refrain 2)

Refrain 3:
Baba utukuzwe, Baba uinuliwe (Father be praised, Father be lifed up ) x3

Rafiki yangu, I love you, I love you Father yo ( My friend I love you, Father) + Refrain 3
Maneno yafungua watu ( Your words releases prisoners) + Refrain 3
Sitasahau uliponitoa , Umenitoa mbali ( I will not forget the distance you’ve brought me) + Refrain 3

(Refrain 3)

Liseme (Name it) Lyrics by Sarah Kiarie

6 Comments


(Sung in Swahili)

Kwani ni jambo lipi hilo yeye asiloliweza (What is it,That He cannot handle?) x2

Chorus:
Liseme, liseme, (Name it)
litaje, litaje (Mention it)
Kwani ni jambo lipi hilo yeye asiloliweza (What is it,That He cannot handle?) x2

Yeye ni Baba wa yatima (He’s the father of the fatherless)
Yeye ni mume wa wajane (He’s the husband to the widows)
Kwani ni jambo lipi hilo yeye asiloliweza (What is it,That He cannot handle?) x2
(Repeat)

(Chorus)

Yeye ni mponyaji (He is the Healer)
Yeye ni mkarimu (He is generous)
Mlinzi, mfariji wa ajabu (Guardian and the great comforter)
Kwani ni jambo lipi hilo yeye asiloliweza (What is it,That He cannot handle?) x2
(Repat)

(Chorus)

Young Man Lyrics by Mr. Israel

7 Comments


(Languages: Kalenjin, Swahili, English)

Yeah, ladies and gentlemen, This is a special dedication
To all the young men in Kenya
This is our time, we’ve got to change things here

Onge kutit ko nito, ketuiyen (This is the subject we should agree on (?))
Ile kotinye ng’olyon o (I have a word to say)
Mi chi ne acheng’e (There is someone I’m looking for)
Kainenyi keguure, young man (He’s called Young Man)
Chi chi kotinye nguvu (This person is strong)
Ak kotinye akili neo (And is very intelligent)
Lakini katinye ngolyon o ne to kimwochin (But I have a word to tell him)
Asi mait ak kimas o (So that he may not slip and fall (?))

Refrain:
Fungua macho yako, young man (Open your eyes, young man)
Tumia akili yako, young man (Use your head, young man)
Me ko ngalin chi o, young man (Let no one deceive you, young man)
Me kan kongenin chi o, young man (Let no one use you, young man)

Kingolechech chi o, nam kogoonon (Someone tries to bribe you)
Ing’enyolan tugul o, nataguyan (?)
Anin negit koet kora o, young man (?)
Ngwanyin koneran, young man (?)
Matiyan keng’alin o, young man (Don’t let yourself be deceived, young man)
Ameyan keboisienin, young man (And don’t let yourself be used, young man)
Your life is so precious, young man
And money cannot buy it o, young man

(Refrain)

Kas o weri we, young man (Listen young man)

Le bendi tach toek, young man (When you listen to [politician] talk)
Fungua akili yako, ufikirie (Use your head, and think)
Fungua macho yako, na utazame (Open your eyes and look)
Makiyundos kirugiit, Aki rib komebarkei (?)
Mengo ulie chi, young man (?)
In this world, young man
You cannot survive alone, young man

(Refrain)

No man is an island, young man
Ongibureen kalyet, young man (Let’s maintain peace, young man)
You need me, I need you
They need us, we need them
To coexist, we’ve got to be together
And to survive, we’ve got to stick together
Young man x4

(Refrain)

Chuki sio maendeleo, young man (Hatred is not progress, young man)
Wivu sio maendeleo, young man (Hate is not progress, young man)
Ili Kenya iendelee, young man (For Kenya to progress, young man)
Lazima tushirikiane, young man (We must collaborate, young man)
This is our time, young man
It is never tomorrow, young man
Tuko na uwezo, young man (We have the ability, young man)
Wa kuleta mabadiliko, young man (To bring change, young man)

Niinue (Lift Me Up/ I’m Pressing On) Hymn Lyrics by Sarah Kiarie/ Enid Moraa (Tenzi 144)

5 Comments


(Sung in Swahili)

Version 2: by Enid Moraa (YouTube)

Mbeleni naendelea, (I’m pressing on the upward way)
Ninazidi kutembea (New heights I’m gaining every day)
Mombi uyasikie (Still praying as I’m onward bound)
Ee Bwana unipandishe (Lord, plant my feet on higher ground)

Ee Bwana uniinue (Lord, lift me up and let me stand)
Kwa imani nisimame (By faith, on Heaven’s table land)
Nipande milima yote (A higher plane than I have found)
Ee Bwana unipandishe (Lord, plant my feet on higher ground)

Sina tamaa ni nikae (My heart has no desire to stay)
Mahali pa shaka kamwe (Where doubts arise and fears dismay)
Hapo wengi wanakaa (Though some may dwell where those abound)
Kuendelea naomba (My prayer, my aim, is higher ground)

Nisikae duniani (I want to live above the world)
Ni mahali pa shetani (Though Satan’s darts at me are hurled)
Natazamia mbiguni (For faith has caught the joyful sound)
Nitafika kwa imani (The song of saints on higher ground)

(Chorus)

Nataka nipandishwe juu (I want to scale the utmost height)
Zaidi ya ee mawingu (And catch a gleam of glory bright)
Nitaomba nisikize (But still I’ll pray till Heav’n I’ve found)
Ee Bwana unipandishe (Lord, plant my feet on higher ground)
(Repeat)

(Chorus)

Notes:
The English translation in this song is not exact. The Swahili version was adopted from the original hymn, that is why the translation is the hymn itself. Otherwise, the translation differs for example as follows: (Verse 1 + Chorus)

I’m moving forward/I am pressing on/Listen to my prayers /Oh Father lift me up
Oh Father Lift me up/to stand in faith/To climb all hills/ Oh Father lift me up.

Bado Nasimama (I’m Still Standing) lyrics by Kambua

2 Comments


(Sung in Swahili)

Chorus:
Bado nasimama, (I’m still standing)
Bado naendelea (I’m still continuing)
Bado najikaza, (I’m still pressing on)
Nifike kule (That I may reach there) (Repeat)

Bila neema na rehema zako (Without your grace and mercy)
Ningekuwa wapi mimi? (Where would I be?)
Bila upendo na fadhili zako (Without your love and favor)
Maisha yangu, yangekuwa bure (My life would be meaningless)
Kwa wema wako, kanisimamisha (You established me with your love)
Na imani yangu, ukaiweka salama (And kept my faith safe)
Kama si wewe, (If not for you,)
mwamba wa wokovu wangu (The Rock of my salvation)
Nisingeweza, ningeangamia (I would have perished)

(Chorus)

Nainua macho yangu, (I lift up my eyes)
Kwako wewe Baba yangu (To you my Father)
Msaada wangu, utatoka wapi? (Where does my help come from?)
Msaada wangu, katika Bwana (My help, is from the Lord)
Hasinzii, anilindaye (He who watches over me does not slumber)
Haniachi mimi niteleze (He will not let me slip)
Anipa nguvu na uwezo wake (He gives me strength and his might)
Ili mimi nifike kule (That I might reach there)

(Chorus)

Older Entries Newer Entries