Nipe Amani (Grant Me Peace) By Jemmimah Thiong’o

Leave a comment


(Sung in Swahili)

Ee Baba yangu naja mbele zako, naomba amani
(Oh my Father I come before you, I’m praying for peace)
Maana nimeitafuta amani, lakini sipati
(Because I have searched for it, But I can’t get it)
Nizungukapo na majaribu mbalimbali, ninakuamini
(When I go through different temptations, I believe you)
Ya kwamba nikulilia wewe, tanipa amani
(That if I cry unto you, you’ll grant me peace)
Mali na nyumba na magari makubwa, hayana amani
(Wealth, houses and big cars, they don’t have peace)
Yananipa kusononeka kwa moyo, naomba amani
(They give me worries, so I pray for peace)
Nanyenyekea mbele zako Mungu wangu, naomba amani
(I humble myself before you my God, And pray for peace)
Na sina shaka wewe utanipa, nina shauku
(I have no doubt that you will grant me, I have faith)

Chorus:
Baba utizame moyo wangu, nipe amani
(Father search my heart, and grant me peace) x4

Wakati mume amekuwa kigeugegu, mama usilie
(When your husband has turned on you, Mother don’t cry)
Maana Yesu hatakugeuka, yeye akupenda
(Because Jesus will never turn on you, he loves you)
Licha na uchungu uliyo nayo moyoni, mtizame Baba
(Despite the pain you have in your heart, look unto God)
Mwambie yote utakayo atimize, yeye akujali
(Tell him everything you need, He cares for you)
Ulezi wa wana hata elimu, yeye atakupa
(Care of children even education, He’ll grant you)
Omba nguvu upige magoti baba, mwambie akupe amani
(Get on your knees and pray for strength, tell God to grant you peace)

(Chorus)

Ee mama mjane naelewa unavyo hisi, moyo unauma
(To you widow I understand how you feel, you’re heart broken)
Baada ya mumeo kufa mama, huna pa kwenda
(After your husband died, you have nowhere to go)
Wakweza wamekufukuza mbali, wewe huna nyumba
(Your in-laws have chased you away, you have no home)
Marupurupu ya mumeo kazini, wataka nyakua
(Your husbands work benefits, they want to steal from you)
Usilie mama Mungu anaona, naye akujali
(Don’t cry mother – God sees, and he cares for you)
We piga magoti inua mikono, Omba Baba amani
(Get on your knees, lift your hands, and pray to God for peace)

(Chorus)

Kimbia (Run) Lyrics by Kidum

Leave a comment



(Sung in Swahili)

Kila mmoja wetu amepewa neema kutoka kwa Mola
(Everyone of us has been given Grace from God)
Vipaji mbalimbali, katupea Muumba na pia baraka halafu pia kibali
(Different talents, the Creator has given us together with blessings and favour)
Kila kukikucha sote tunasema asante Mungu, asante Baba
(Every morning we all say: Thank you God, thank you Father)
Kukipambazuka, sote twaamka, shughuli mbalimbali, kuna kule ona pale
(When it dawns, we all rise, many activities: It’s here, see there.)
Majukumu zetu na shughuli zetu na juhudi zetu kwa mkate wa kila siku
(Our roles, our activities and our efforts for the daily bread)

Kijana, maisha ni safari inabidi kuongeza kasi kwa mbio zako
(Son, Life is a journey: You need to increase speed in your run)
Mwenzangu, maisha mapambano, ukiwa na kipaji wacha kuzembea
(My friend, life is a struggle: If you have a talent – don’t neglect)
Mwisho wa siku weka chakula mezani
(At the end of the day, put food on the table)
Kimbia, kimbilia taimu yako
(Run, run for yourself)
Kimbia, Kimbilia taifa lako
(Run, Run for your nation)
Kimbia, Kamilisha ndoto zako
(Run, Fulfill your dream)
Kimbia… ooh, Kimbia
(Run… ooh, Run)

Hebu cheki, foleni za magari asubuhi mjini
(Look at the line traffic in the city in the morning)
Dereva wa matatu anavunja sheria kwa kuoverlap
(Bus drives breaking the law and overlapping)
Wanariadha kuruka viuzi na maji kupata medali
(Athletes jumping steeplechase; to get a medal)
Wanasiasa wako mbio mashinani kuuza sera zao; kupata kura
(Politicians on the trail, selling their philosophies; to get the votes)
Na sisi wasanii, tunatunga mistari kupata riziki
(And we the musicians, composing lines, to get provision)

(Chorus)

Nikiwa mdogo baba yangu kanieleza
(When I was young my father told me)
Enda shule mtoto upate elimu
(Go to school young one, and get an education)
Ukiwa na elimu utapata kazi nzuri
(If you have an education, you will have a good job)
Akasahau kunieleza, ukuze kipaji
(He forgot to tell me to nurture my talent)

(..Sax playing..)

(Chorus)

Muturire Lyrics by Jane Muthoni

2 Comments



Original Lyrics Here
(Sung in Gikuyu (Kikuyu))

Muturire uyu ni muritu ma Ngai baba
tondu kuri maundu meri itahotanagiria
gukenia Ngai na gukenia andu ndihotaga
na niguo andu meendire gukenio gukira Ngai

Chorus
korwo gwika wendo waku kwirutagwo ta ikinya
ingiraraga ngiiruta ikinya ndikanahitie
no ni kugia ndugu nawe na guguthingata
kaba ndugu yaku ngai ni iri na uumithio

ndanageria gwika wega na guthinga muno
nigetha ngenie Ngai na tuiguithanie na andu
matikenagio noguo moigaga ndi mwitei
ti itheru gukenia Ngai tikuo Gukenia andu

na ti itheru gutire ukenagia Ngai na andu
Yusufu onire kioneki akiira ariu a nyina
mamumenire na makimutuara thuguriine
nake ngai tondu maari ndugu akihingia kioneki

na tondu wa kwaga gwika uria mundu endaga
nigutumite ngie ndugu nene na munyumbi
na tondu………………………………………..?
nguria korwo ndatwika mwihia uunginjika atia

Alakara (Celebrate) Lyrics By Emmy Kosgei

11 Comments


(Sung in Turkana)

Eruko alakara, alakara ee (Come let us celebrate, celebrate)
Alakara alakara, Alakara ka yesu (Celebrate celebrate, Celebrate Jesus)
Echuro echuro, alakara ee (With song, with song, celebrate)
alakara alakara, alakara ka yesu (Celebrate celebrate, Celebrate Jesus)
Emumori, emumori, alakara ee (With dance, with dance, celebrate)
Alakara alakara, Alakara ka yesu (Celebrate celebrate, Celebrate Jesus)

Achakara ayong’ana kisech kato Yesu (I was a sinner once, Jesus saved me)
Mama kigeno, tarau Yesu a kigeno kam (Jesus gave me hope and Joy)
Toko na eruko, alakara kotere Yesu
Ating’itayong’ alakara, alakara ka Yesu
Achakara ayong’ana kisech kateo Yesu
Ating’itayong’ Ating’itayong’ alakara i,
Ating’i, Ating’itayong aiundo

alakara ee, Alakara alakara, Alakara ka yesu
(Celebrate celebrate, Celebrate Jesus)
alakara ee, Alakara alakara, Alakara ka yesu
(Celebrate celebrate, Celebrate Jesus)
alakara ee, Alakara alakara, Alakara ka yesu
(Celebrate celebrate, Celebrate Jesus)

Ebele Yesu, Itame kang’ (Jesus has transformed my life)
Esya taba ataba tang’ (His is my rock, my rock of ages)
Epuro aiyong’ ekile Yesu (Lets praise Jesus for there is none like him)
Alakara, Alakara ka yesu (Celebrate, Celebrate Jesus)
Koting’itung’a, Eliba Yesu (There is no one like Jesus)
Emamu Yeche, nabo lekoni yongo
Aminayo, aminayo, Alakara ka Yesu
Ka Yesu, alakara ee, (For Jesus, Celebrate him)
Alakara alakara, Alakara ka yesu
(Celebrate celebrate, Celebrate Jesus)

Ololo (Never) Lyrics by Emmy Kosgei

10 Comments



(Sung in Kalenjin)

Chorus:
Wololo, ololo, olo me ya kusegong’ (No, never! I will not look back)
Me ya kusegong’, asubi Jesu (I will not look back, I follow Jesus)
I fix my eyes on Jesus, no more turning back
Til o, til e, akile wololo (decide, and say no) (Repeat)

Mwae ng’olyondet kole chubot, Ne name mogombet (The word says cursed is the man that goes to plough)
ne namei mogombo, ak kokus kong’ (Who holds the plough, and looks back)
Manyolu eng’ boisio, kimwawech Jesu (He is not of value, Jesus tells us)
Ako chi ne u no, ko matilei ki (A person like that, cannot be relied on)
Lewen o, lewen, lewen eng’ u inyegei ye i gil iyai ko chula (Choose, choose wisely, and don’t be like the man)
Til o, til e, Meyai iyai ko chula (decide, don’t be like the man)

(Chorus)

Ame kus kong’ ngo u Isirael,Kiutie Jehova (Don’t look back like the Israel, who forgot God)
Kiutie kayamisutik, koam indara (They forgot His promises, and missed the past)
Kobwat chebo lolosyek,che kimeto eng’ let (They thought of all the things they left behind)
Kiyem tulwet Sinai, kenyisiek artam (They remained around mt. Sinai, for 40 years)
Kigeer ak ama it, emetab kayamiset (They saw but never reached, the promised land)
Ame ngo berberin o, chebo ng’ony koresoi (So do not be deceived, by earthly desires)
Til o, til e, umetete kute murego amengong’al o (decide because like dust, they shall pass)

(Chorus)

Ye me I lalang’ ak eme ikaite, kutupten Jehova
(You are neither hot nor cold, God will spit you out)
Kelen iwendi tai ilite let, ibire mark time o
(You say you’re moving forward, yet you move backwards, you’re marktiming)

(Chorus)

Older Entries Newer Entries