Wakati ule wa Nuhu (The Time of Noah) Lyrics by Ulyankulu Choir

Leave a comment


(Sung in Swahili)

Spoken:
Ulimwengu wetu huu kuna anasa nyingi
(In our world there is a lot of pleasures)
Nazo zimewavuta watu wengi
(And they have attracted many people)
Wanaume kwa wanawake, wasichana kwa wavulana
(Men and women, girls and boys)
Hata hawawezi kugundua kuwa mambo haya yatafika mwisho wake
(So much that they do not realize that they have an end)
Tuna mifano hai katika Biblia
(We have living examples from the Bible)
Kama wakati wa Sodoma na Gomora
(Like the time of Sodom and Gommorah)
Watu walitenda maovu, hata wakamchukiza muumba
(People did evil, that they disgusted the Creator)
Muumba naye akashindwa kuwavumilia, akawaadhibu kwa moto
(The Creator could no longer be patient with them, he punished them with fire)
Tunasoma pia wakati wa Nuhu
(We also read about the times of Noah)
Watu walitenda maovu, hadi Mungu akaghadhabika
(People did evil, that God was angered)
Akawaadhibu kwa gharika
(He punished them with the flood)
Kadhalika na ulimwengu wetu huu
(So is the same with our current world)
Watu wanaendelea kutenda maovu
(People continue to do evil)
Hawawezi kugundua kuwa, yatafika mwisho wake
(Without realizing that it has an end)
Lakini ndugu yangu mpendwa,
(But my beloved brother)
Jua kwamba ulimwengu huu utafikia mwisho
(Know that this world has its end)

Wakati ule wa, Nuhu (At the time of Noah)
Watu walimwasi Bwana (People rejected God)
Walitenda kila, dhambi (They committed every sin)
Wakamsahau mu-umba (They forgot their Creator)

Walimchukiza, muumba wao (They disgusted their Creator)
Kwa dhambi zao, nyingi (With their many sins)
Mungu alia-mua kuua (God decided that to wipe)
Kila kiumbe, chote (All creatures from the face of the earth)

Mungu kamwambia, Nuhu kwamba (God told Noah to)
Afanye safina, yenye dumba (Build a wooden ark)
Aifunike ramli, ndani na nje (To cover it with tar inside and out)
Urefu wake, mikono mia tatu (Its height: 300 hands)
Upana wake, mikono hamsini (Its width: 50 hands)
Kwenda juu kwake, mikono thelathini (Its height: 30 hands)

Naye Nu-hu ali-i-jenga safina (And Noah built the ark)
Alipo-maliza kaambiwa ingia (When he finished, he was told “Enter”)
Wewe na mkeo na wato-to wako (“You and your wife and children”)
Pia na, wake za-o nao, waingie (“Also their wives should enter too”)

Mvua nayo ilianza kunyesha bila kukatika (And the rain started without ceasing)
Maji yalieendelea kuongezeka (Water continued to rise)
Kutoka kisiginoni kwenda magotini (From the heel to the knee)
Kutoka magotini kwenda kifuani (From the knee to the chest)
Watu wakakumbuka maneno ya Nuhu, alisema (And people remembered Noah’s words)
Walipanda kwenye milima, hawakupona (They climbed mountains, but did not survive)
Wengine kupanda kwenye miti, hawakupona (Others climbed trees, but did not survive)
Wajuzi wa kuogelea hawakupona (The ones who could swim did not survive)
Wengine waliogelea mpaka kwa Nuhu (Others swam to Noah)
Wakasema Nuhu utufungulie, tunakufa (Asking for him to let them in)

Nuhu aliwaambia sikufunga mimi (Noa told them “I was not the one to close the door”)
Waliangamia wote wakafa kwa maji (They all perished in the water)
Wanyama nao waliangamia, wakafa kwa maji (The animals too, perished in the water)
Ndege waliangamia, wakafa kwa maji (The birds also perished in the water)

Kama ilivyo kwa siku za Nuhu (As was the days of Noah)
Nd’o ilivyo ha-ta sasa (That is how it is today)
Matendo yale yaliyotendeka (All the actions that was taken)
Nd’o yatendeka ha-ta leo (That are being done today) (Repeat)

Ulevi na uchawi zimewafunga wengi (Drunkenness and witchcraft has bound many)
Kutafuta mali kumewafunga wengi (The search for riches has bound many)
Uzinzi na uwongo zimewafunga wengi (Adultery and lies have bound many)
Wengi wamesahau mkombozi wao, wamemwacha (Many have forgotten their savior, and left Him)
Siku ya mwisho hakuna kujitetea (In the final days, there is no advocate)

Wenye haki wote wataingia mbinguni (The faithful ones will enter heaven)
Wenye dhambi wote watatupiwa motoni (The sinful ones will be thrown in the fire)

Wacha Waone (Let Them See) Lyrics by Goodluck Gozbert ft Martha Mwaipaja

1 Comment


(Sung in Swahili)

Refrain:
Wacha waone, wacha waone (Let them see, let them see)
Wacha waone, vile wewe ni ngome, Yesu (Let them see the way you are a Fortress)

Niko hapa kukuwakilisha, Yesu wangu (I am here to represent You, my Jesus)
Nataka waone vile ulivyo ngome kwangu (I want them to see the way You are my safe haven)
Tumetoka mbali, umenitoa mbali (We have come from far, You have brought me from far)
Ninaomba waone ulivyo mkubwa (I pray that they may see Your might)
Ulikonitoa  mimi najua (I know where You brought me from)
Ndio maana nasema, wewe ni mwamba (That is why I say, You are the Rock)
Sitarudi kule nilikotoka, niko na wewe (I will not return from whence I came, I am with you)
Kwangu ni mwamba (You are my Rock)
Uliko nivusha mimi najua (Where You brought me across, I know)
Ndio maana nasema, wewe ni mwamba (That is why I say, You are the Rock)
Kwa macho waone ulivyo Ili nao waelewe (Let them see with their eyes, that they may know)
Wewe ni ngome (That you are the fortress)
Kwa macho wakujue, nilie naye (With their eyes to know whom I am with)
Wao waseme kweli ni ngome (For them to confess that You are the fortress)

(Refrain)

Sibishani, sibishani na wabishi sugu (I do not argue with the stubborn)
Nisije nikasema; kakasirika Mungu (That I may speak out and anger God)
Sitetei sitetei, hali yangu ngumu (I do not defend my tough life)
Siunajua ukitenda, watatafutana huku (Because You know if You do it, they will look for You)
Eh Yahweh, sina wa kulinganisha na wewe (Oh Lord, I do not have anyone to compare to You)
Nashukuru shukuru shukuru Kyala (I am thankful to You)
Hata yale ulinitendea pasipo kuomba eh (Even to what you did for me without my prayer)
Ngome yangu ya siri: ni wewe Mungu (My secret fortress, is You, God)
Kuna vile unipigania nisiaibike eh (You fought for me, that I may be safe)

Utawale, utawale tu, utawale (Rule, rule over us)
Utawale, utawale tu, utawale (Rule over us)

(Refrain)

Katika vitu, katika watu (In all things, amongst all people)
Ukaniinua, nashukuru Yesu (You lifted me, thank You Jesus)
Katika vitu, katika watu (In all things, amongst all people)
Nikaheshimiwa, nashukuru Yesu (I have been respected, Thank You Jesus)

Repeat: Daida
Sasa najidaidai (Now I take pride)
Nafurahi rahi (I am joyful)
Asante (Thank you) (Repeat)
Nafurahi Leo (I am joyful today)
Najidai kwa Yesu (I take pride in Jesus)
Ninaendelea, ah (I continue)
Ninashangili ah (With my praise)
Kwa Baba, eh (To the Father)
Najidai, ah (I take pride)
Ninaringa kwa Baba (I take pride in the Father)
Nafurahi kwa Yahweh (I am joyful in Yahweh)

Repeat:
Jidhihirishe Mungu (Show yourself God)
Utukufu wako (In all Your Glory)
Ukitamalaki hapa, utatamalaki Bwana (Take authority Lord)

Najulikana Mbinguni (I am Known in Heaven) Lyrics by Martha Mwaipaja

1 Comment


(Sung in Swahili)

Ninajulikana mbinguni (I am known in heaven)
Ninaheshimiwa mbinguni (I am respected in heaven)
Nimehesabiwa na Yesu mwenyewe (I have been counted by Jesus Himself)
Ananitosha milele (He satisfies me forever)
Ninajulikana kwa Baba juu (I am known by Father above)
Ninaendelea tu na Yesu (I continue with Jesus)
Nimehesabiwa mbinguni juu (I have been counted by heaven on high)
Amenipenda mimi, mwokozi (The Savior loves me)

Sijajiweka mwenyewe mimi mwenzio (I have not elevated myself)
Nimewekwa na Mungu (God has placed me there)
Sijawahi jitambulisha mwenyewe (I do not brag for myself)
Nimetambulishwa na Baba (The Father brags about me)
Walisemezena tusimtambulishe huyu (While they have agreed not to recognize me)
Nimetambulishwa mbinguni (I am recognized in heaven)
Wakasema tusimchague (They said I should not be chosen)
Nimechaguliwa mbinguni (I have been chosen in heaven)
Wakasema tusimkubali (They rejected me)
Nimekubaliwa na Baba (The father welcomed me)
Nimewekwa na Mungu Mwenyewe (I have been elevated by God himself)
Najulikana Mbinguni, najulikana mbinguni (I am known in heaven, I am known in heaven)

Refrain:
Ninajulikana mbinguni, ninaendelea na Yesu (I am known in heaven, I walk with Jesus)
Ninajulikana mbinguni, ninaendelea na Yesu (I am known in heaven, I walk with Jesus)
Ninajulikana mbinguni, ninaendelea na Yesu (I am known in heaven, I walk with Jesus)
Ninajulikana mbinguni, ninaendelea na Yesu (I am known in heaven, I walk with Jesus)

Unajulikana mbinguni rafiki ndugu yangu, mbingu inakujua
(My friend and brother, you are known in heaven)
Wametangaziana wasikusaidie, umesaidiwa na Mungu
(They have told themselves not to help you, but God helps you)
Wameabikizana wasikutendee, umetendewa na Baba
(They have planned to work with you, God works with you)
Wamesama wakufute kwenye ukoo wao, umeandikishwa mbinguni
(They have agreed to remove you from the clan roster, but you are registered in heaven)
Wamekataa kukutambulisha, unatambulishwa na Mungu
(They have refused to recognize you, God recognizes you)
Walisema hawatakutibu kabisa, umeponywa na Mungu
(They said they will not treat you, but you have been healed by God)
Wamekataa kukubeba, umebebwa na Yahweh (They refused to carry You, but Yahweh carries You)
Wametamani ulie kila siku, Baba kakukumbuka (They have desired to see you cry, but the Father remembers you)
Hujui vile nilivyo pendwa na Mungu! (You have no idea how much I am loved by God!)

(Refrain)

Wanyamazishe (Silence Them) Lyrics by Rose Muhando

2 Comments


(Sung in Swahili)

Refrain:
Wazamazishe Bwana, wafunge midomo Yesu (Silence them Lord, Jesus close their mouths)
Wazamazishe Bwana, wafunge midomo Yesu (Silence them Lord, Jesus close their mouths)
Wapofushe macho yao wasinione (Blind their eyes to my presence)
Wakae mbali nami, ah! wasinione (That they stay far from me, oh! that they may not see me)

Kwa kuwa walitangaza msiba juu yangu (For they prophesied tragedy over me)
Wala hawakutaka ipone nafsi yangu (Nor they did not want me to heal)
Wakafanya sherehe kupitia jina langu (They celebrated over my name)
Waliona fahari kutangaza mauti yangu (They saw pride in announcing my death)
Wakachuma na pesa kupitia jina langu (They made money through my name)
Hawakuona vibaya kuumiza familia yangu (They did not see it wrong to hurt my family)
Walifanya dhihaka kudhihaki watoto wangu, ah! (They ridiculed my children, ah!)

Namtuma malaika nyumbani kwao ( I’m sending an angel to their homes)
Atangaze msiba kwenye familia zao (To announce grief in their families)
Namtuma Gabrieli malangoni kwao (I’m sending Gabriel to their gates)
Atangaze msiba malangoni kwao (To announce grief in their gates)
Nawafanye matanga maishani mwao (And they have mourning in their lives)
Natangaza msiba kwenye malango yao (I announce grief in their gates)
Natangaza matanga nyumbani kwao (I call upon mourning in their homes)
Yasikome matanga kwenye familia zao (May their families mourn unceasingly)
Laana, kifo, iwe juu yao (Curses, death, to be over them)
Wala wasiwe salama watoto wao (Nor should their children be safe)
Mauti iwe fungu lao (May death be their portion)
Kushindwa kuwe mbele yao (Defeat be before them)
Kwa kuwa mimi nimekutumaini (For I have depended upon You)

Wanyamazishwe (May they be silenced)
Watayaharishwe (May they be scattered)
Wafedheheshwe (May they be embarrassed)
Wahangaike (May they worry)
Waaibishe (May they be ashamed)
Kwa kuwa mimi nimekutumaini, eh! (For I have trusted in You, eh!)

(Refrain)

Makaeili wa vita, nakutuma kwao (Michael of War, I sent you to them)
Upeleke mafarakano kwao (Take discord to them)
Wasilielewane wao kwa wao (That they may not understand each other)
Nasema wagombane wao kwa wao (I say that they may argue against each other)
Walane watafunane wao kwa wao (They eat and chew each other)
Wavurugane wao kwa wao (That they disrupt each other)
Maadui wapigane wao kwa wao (The enemies to fight each other)
Mungu mwenyezi awe adui yao (God Almighty be their enemy)
Wakitazama kulia wamwone Gabrieli (When they look to the right, they see Garbriel)
Wakitazama kushoto, wamwone Mikaeli (When they look to the left, they see Michael)
Mbele yangu wamwone Rafaeli (Before me, they see the Archangel Rafael)
Wafadhaike (That they may be dismayed)
Watayarie (That they may be scattered)
Wahangaishe (Worry them)
Waburekishe ( ..?..)
Watayahariki, Usiwape nafasi (That they may be scattered, do not give them space)

(Refrain)

Mgambo (Soldier) Lyrics by Goodluck Gozbert ft. Bony Mwaitege

Leave a comment


(Sung in Swahili)

Refrain:
Mungu amenipa kutembea, hatua mbele
(God has given me a step ahead)
Eh kama mugambo, hatua mbele
(Like a ranger, a step forward) (Repeat)

Sadaka gani mimi nitoe? (What offering should I give)
Ona favour amenipa favour (Oh, look at the favor, He has granted me favor)
Cheko gani mimi nicheke? (What laughter should I laugh?)
Ona happy moyo uko happy (Look at my happiness, my heart is joyful)
Ameweka ujasiri wa ki afande (He has put courage like an officer’s in my heart)
Oh siogopi, vita twende (Oh, I am not afraid, I am ready for battle)
Ameweka ujasiri acha nitambe (He has placed courage in my heart, let me dance)
Oh siogopi, weka twende (I am not afraid, let us go)

Yaani hapana dori, dori di — Mambo waka (There are no worries, things are great)
Nimevikwa na koti, koti ti, mambo super (I have been dressed with a coat, things are great)
Machozi yalinitoka, yalinitoka, yalinitoka (Tears rand down my face)
Mtesi alinitesa, alinitesa, alinitesa (The tormentor tormented me)

Nikifuta kushoto, hata kulia ya moto (If I clear the left, even the right is on fire)
Yaani kama mtoto, amefunika matoto (Like to a child, he has covered His child)
Oluwafemi (For God loves me)in Yoruba

Hatua mbele (A step forwards) x?

(Refrain)

Oga, oga, Baba (Father) I thank You
Umefanya ma  (You have done) marvelous thing Lord I thank You
Oga oga, Jesus I thank You
Unenipa mihuri ya heshima, oh Baba (Father, You have given me stamps of respect)

Tena sio sifuri, nina majina majina (I have many names)
Siku hizi boss, ah mheshimiwa (These days I am a boss – the honorable)
Ametoa kibali, huku ni mambo sawa (He has brought me from far, all is fine here)
Siandamwi madeni, ameniponya Bwana (I do not owe anyone, the Lord has healed me)
Ni Yesu amefanya, sasa wasiwasi wa nini? (It is Jesus who has made me, what is there to fear?)
Na Mungu akitenda unabakia kileleni (When the Lord does it for you, you remain at the top)

Oga, oga, Baba I thank You
Umefanya ma (You have done) marvelous thing Lord I thank You
Oga oga, Jesus I thank You
Unenipa mihuri ya heshima, oh Baba(Father, You have given me stamps of respect)

(Refrain)

Neno linasogea, kama mgambo (The Word is moving, like a ranger)
Mgambo hawajali, hali ya hewa (A ranger cares not for the weather)
Hata kama mvua hatua mbele (Even through the rain, a step forward)
Mgambo hawajali, huendelea (Rangers do not care, they keep moving)

Kama (like a ) commando, commando comma– x4

(Refrain)

Older Entries Newer Entries