Nyoosha Mkono Wako (Stretch Out Your Hand) Lyrics by Msanii Music Group

1 Comment


(Sung in Swahili)

Kila siku twazidi kuwa wapotovu (Everyday we are corrupted)
Kwamba maadili Mungu alivyoagiza (By the standards God imparted us)
Tunatamani kuwa wakamilifu (We desire to be as perfect)
Kama mitume wa zamani (Like the apostles of old) (Repeat)

Refrain:
Nyoosha mkono wako, tufani zavuma (Stretch out Your hands, thunderstorms are intense)
Tuma malaika wako, tupe nguvu zako (Send Your angels to grant us Your strength)
Sisi tu wenye dhambi, Bwana turehemu (We are sinners, have mercy upon us)
Nyoosha mkono wako, tuweze kushinda (Stretch out Your hand, that we may win)
Nyoosha mkono wako, tuweze kushinda (Stretch out Your hand, that we may win) (Repeat)

Ulinzi wako uwe pamoja nasi (May Your protection surround us)
Ili tuweze kushinda majaribu (That we may overcome temptations)
Hatua kwa hatua, utupe ushindi( Step by step, grant us victory)
Tuongoze katika haki (Lead us into righteousness) (Repeat)

(Refrain)

Pengine Milimani (Perhaps to the Mountains) Lyrics Sung by Msanii Music Group

Leave a comment


(Sung in Swahili)

Refrain:
Pengine milimani, utanituma niende (Perhaps You will send me to the mountains)
Pengine mabondeni, wataka nipeleke neno (Perhaps You intend for me to preach in the valleys)
Dhahiri sitakataa, wito wake Bwana Mungu (Certainly I will not refuse the call of the Lord God)
Niko hapa, nitume niende leo! (Here I am, send me today!)

Bwana ninaomba, hivi leo uniongezee nguvu (Lord I pray, that You increase my strength today)
Kwa maana sijui wataka niende wapi (For I do not know where You intend for me to go)
Ili jambo moja ni hakika, wala kamwe sina shaka (But one thing I know, and I will never doubt)
Unanitaka niende, nikahubiri neno lako (You want me to go and spread Your Gospel)
Unanitaka niende, nikahubiri neno lako (You intend for me to go and preach Your Word)

(Refrain)

Kwanza nitaanza hapa hapa kwa majirani zangu (I will begin right here with my neighbors)
Kwani nuru hii lazima, kwanza iangaze karibu (For this light must shine close)
Na ndipo hatua kwa hatua, shinde nitasonga mbele (And then step by step I will move forwards)
Kadri uniwezeshavyo, nilipeleke neno lako (According to how You enable me to spread Your Word)
Kadri uniwezeshavyo, nilipeleke neno lako (According to how You enable me to spread Your Word)

(Refrain)

Amukira Igongona (Receive My Sacrifice) Lyrics by Philip Kimani

Leave a comment


(Sung in Gikuyu)

Nĩngũkũinĩra rũĩmbo Baba, awa ukinjigue (I will sing a song to you Father, hear me)
Ruumĩte mũthithũ wa ngoro thĩinĩ (It comes from the depth of my heart)
Ndirĩ kĩndũ kĩngĩ kĩega, gĩa gũkũrehera (I have nothing better to offer)
Amũkĩra igongona rĩa ngoro yakwa (Receive the sacrifice of my heart)

Ndatũraga ndumainĩ ũkĩnyonekera (You saved me from darkness)
Ũkĩ rehe ũtheri ngoro yakwa thĩinĩ (And brought light into my heart)
Naniĩ rĩũ nĩ ngũkenera ũtheri ũcio waku(Now I rejoice for your Light)
Amũkĩra igongona rĩa ngoro yakwa (Receive the sacrifice of my heart)

Waringithanirie mwana waku wendete muno (You compared me to Your beloved Son)
Na ndurume ya igongona nii honoke (The Lamb was sacrificed for my salvation)
Ugiithurira mehia makwa, ruo na minyamaro (You carried my sins, pain, and troubles)
noguo nyoneke mucio ucio wa iguru (So that I may find place in heaven)

O na mũciari wakwa ndangĩetĩkĩrire (Even my parent would not consent)
Kũndutĩra muoyo wa mwana ũngĩ (To sacrifice life of another child)
Wendo waku nĩ mũnene, ndũmenyeka ũrĩa ũtariĩ ( Your love is immeasurable and beyond understanding)
Amũkĩra igongona rĩa ngoro yakwa (Receive the sacrifice of my heart) 

Nĩ ngũnyarara ũtonga na indo cia gũthira (I will despise short-lived earthly wealth)
Tondũ rĩrĩa mehia mahatĩrĩirie (Because when sins pressed me)
Nda caririe ũteithio indoinĩ na ndia teithĩkire (I sought refuge in riches)
Ndakaĩra Baba akĩnyamarũra (But when I called upon the Lord, He heard me)

Ngũria muoyo wa mũndũ, ũngĩkĩgũrũo nakĩ? (I ask how much  is the soul of man’s soul worth?)
Kuona atĩ indo ciothe ciathĩ itingĩigana (Seeing that all earthly wealth is not enough)
Mbeca igũraga o indo, iria nyandĩke thogora (Because money can only things with prices)
Ngũria muoyo ũngiuma mbeca cigana (I wonder how much is the soul of man worth?)

Hihi ndakinya gwaku, na wanyamũkĩra (When I come home to my heavenly home and you welcome me)
Nĩ ũkahe ngarama ya ũhonokio wakwa? (Will you give me the cost of my salvation?)
Aca ndũkandarĩra marĩa ndũmĩte wĩke (No, you will  not count that against me)
Tondũ ndũranyenderia ũhonokio (Because Your salvation is not for sale)

Angĩ maheete thirĩ, nĩ mandokagĩra (Many of my creditors always demand)
No nĩngũkena atĩ ndũnandũraga (But I rejoice in that you don’t demand repayment)
Nanguona no wega tondũ, ingĩgĩkũrĩha nakĩ (And that is fine, because how can I possibly repay you?)
Amũkĩra igongona rĩa ngoro yakwa (Receive the sacrifice of my heart) 

Kuona atĩ ndũngĩ hakwo,na indo cia gũthira (Seeing that you cannot be bribed with worthless things)
Na ndũngĩ henio nĩ mũndũ ũrĩ ũmbĩte (And cannot be lied to by the created beings)
Kĩhe ũthingu wa ngoro, ndi karegwo nĩwe (Grant me a pure heart, that You will not refuse me)
Ngwĩrirĩria gũgatũrania nawe (For I desire to forever live with you)

We Mwega na Mũthingu, Ndakũina mĩrĩra (I  bow before the Gracious and Holy One)
Nĩ tondũ wa wĩrutanĩria waku (Because of your mighty work)
O na wĩrutĩri waku, nĩguo ngahonoka (And your dedication to offer me salvation)
Amukira igongona igona ria ngoro yakwa (Receive the sacrifice of my heart)

O na wĩrutĩri waku, nĩguo ngahonoka (For Your dedication to offer me salvation)
Amũkĩra igongona rĩa ngoro yakwa (Receive the sacrifice of my heart) 
Amũkĩra igongona rĩa ngoro yakwa (Receive the sacrifice of my heart)
Amũkĩra igongona rĩa ngoro yakwa (Receive the sacrifice of my heart)
Amũkĩra igongona rĩa ngoro yakwa (Receive the sacrifice of my heart)

Divai (Wine) Lyrics by Mercy Masika and Christina Shusho

1 Comment


(Sung in Swahili)

Siku ya tatu, ya harusi ya kana (On the third day in the Wedding at Cana)
Mji wa Galilaya, na mamake Yesu alikuwepo (In the town of Galilee, where Jesus mother was in attendance)
Yesu na yeye alialikwa harusini (Jesus was also a guest at the wedding)
Pamoja na wanafunzi wake (Together with His disciples)
Yesu akamwambia, “mama tuna nini nawe? (Jesus told her “woman, what do I have with You?”)
Kwani saa yangu haijawahi kuwadia” (My time has not yet come”)

Refrain:
Divai ikawaishia, mamake Yesu kamwambia (The wine ran out and Jesus’ mother told Him)
“Hakuna divai, hakuna divai, hakuna divai” (There is no more wine)
Maria akawaambia watumishi (Mary told the attendants)
“Lolote akisema, nyinyi fanyeni” (Whatever He says, you must do)

Repeat: Sintoaibika (I will not be ashamed)
Nikiwa wewe (As long as I am with You)
Mimi na wewe (Me and You)
Nikiwa pamoja na wewe (If I am with You)
Rafiki Yesu (My friend Jesus)
Jehovah Jireh (Lord my Provider)

Katika kila hali, iwe ngumu iwe shwari (In all situation, be it easy or hard)
Mungu husema (God says)
Na akisema, wala habadilishi (And what He says He does not change)
In place of shame, He’ll give you double double
In place of dishonor, He’ll give you everlasting joy
Badala ya aibu, atanipa maradufu dufu (In place of shame, He’ll give you double double)
Kwa utukufu wake, mimi naenjoy (In enjoy His Glory)

(Refrain)

Sintoaibika, sintoaibika (I will not be ashamed)
Sintoaibika, sinto sinto kamwe (I will not be ashamed) (Repeat)

Bwana ni Mchungaji Wangu (The Lord is My Shepherd) Lyrics by Reuben Kigame and Sifa Voices ft. Jayne Yobera

Leave a comment


(Sung in Swahili – A Psalm)

Bwana ni mchungaji wangu (The Lord is my Shepherd)
Sitapungukiwa kitu (I shall not want)
Hun’laza penye majani mabichi (He makes me lie down in green pastures)
Hun’ongoza kwa maji matulivu (He leads me beside still waters)

Hunihuisha nafsi yangu (He restores my soul)
Hun’ongoza kwa njia za haki (He leads me in paths of righteousness)
Nipitapo bondeni mwa mauti (Even though I walk through the valley of the shadow of death)
Sitaogopa yeye u nami (I will fear no evil, for you are with me)

Refrain:
Hakika wema nazo fadhili (Surely your goodness and mercy)
Zitanifuata mimi (Shall follow me)
Nitakaa nyumbani mwa bwana (I will dwell in the house of the Lord)
Siku zote za maisha yangu (All the days of my life) (Repeat)

Gongo lako na fimbo yako (Your rod and your staff)
Vinanifariji mimi (They comfort me)
Waandaa meza mbele yangu (You prepare a table before me)
Machoni pa watesi wangu (In the presence of my enemies)

(Refrain)

Older Entries Newer Entries