Ebenezer by Angela Chibalonza

21 Comments


(Languages: Swahili, Lingala)

Umbali tumetoka, na mahali tumefika (Thus far we have come from, and where we are now)
Ndio maana ninatambua, kwamba wewe ni ebeneza (It is why I confess, that you are Ebenezer)
Sio kwa uwezo wangu,ila ni kwa uwezo wako (It is not because of my might, but by yours)
Mahali nimefika, acha nikushukuru (Thus far I have reached, let me thank you)
EE Bwana umenisaidia, nifike mahali nimefika (Oh Lord you have helped me, to reach where I am)
Bwana wewe ni ebeneza, maishani mwangu oo (Lord you are the Ebenezer in my life)

Refrain:
Ninataka Ebeneza, nijenge juu yako (I want to build on you Ebenezer)
Ninataka Ebeneza, uwe msingi yangu (I want you Ebenezer to be my foundation)
Jiwe langu la pembeni, nakutamani sana (My cornerstone, I desire you so much)
Jiwe langu la thamani, nakuhitaji sana (My precious rock, I need you so much)
Oo Ebeneza, jiwe langu (Oh Ebenezer, my rock)

Ninataka maisha yangu, yajengwe juu yako (I want my life, to be founded on you)
NInataka ndoa yangu, ijengwe juu yako baba (I want my marriage, to be founded on you)
Ndoa zilizojengwa juu yako yahwe, hazivunjiki kamwe (because marriages built on you, can never be broken)
Nyumba zilizojengwa juu yako yahweh hazivunjiki kamwe (Homes founded on you Yahweh, can never be broken)
Ninataka uimbaji wangu baba, ujengwe juu yako (I want my singing Father, to be founded on you)
Maana wewe ni sauti yangu, wewe ni uzima wangu (For you are my voice, you are my life)

(Refrain)

Ebeneza na nga (My Ebenezer)
Libanga na ngai ya talo (My Precious Stone)
oleki diamant mpe wolo papa eh kati na bomoyi na ngai (You are worth more than diamonds and gold, Father, in my life)
Nzambe nakumisi yo (Lord, I praise You)
Moko te akokani na yo oh oh (No one compares to You)
Bisika nakomi lelo Yawe ezali nse na makasi na yo (It is thanks to You that I am where I am today)
Aleluya Nzambe na ngai (Alleluia, My Lord)

(Refrain)

Ebenezer ni jiwe langu, jiwe langu la msingi (Ebenezer is my rock, my cornerstone)
Mahali nimefika leo, Ni kwa ajili yako ebeneza (Thus far I have come, is because of you Ebenezer)
Mawe mengi yako hapa chini ya jua (There are a lot of rocks under the sun)
kuna dhahabu, kuna almasi Kuna mawe hata sijui majina yake (There is gold, there is diamond, and others I can’t name)
Lakini hakutawahi kuwa jiwe kama ebeneza (But there will never be a rock like Ebenezer)

Sitanyamaza Lyrics by Rose Muhando

2 Comments


(Sung in Swahili)
Eeeehhhh…. Mimi Mungu (Me, God)
Matendo nitalia, Kwa sinani nitaomboleza
Sodoma nitanung’unika, Mipakani nitashambulia
Mijini wameniacha,Kila mara nitashambulia
Maisha ya wanadamu, Yamenichosha….

Oh oh mimi
Sitanyamaza, wala sitanyamaza
Lakini nitalipa ujira wa vifuani mwao
Maovu yenu ninyi, pamoja na baba zenu
nasema nitalipa ndio mjue mimi ni Bwana
Mmefukiza uvumba, na kunitukana
Kwa ajili ya haya mtajutia vitani mwenu?(repeat)

mmefanya uzinzi katikati ya milima
Usiku wa manane mmefanya ukahaba
Kwenye njia kuu na vichochoro mmefanya mapatano
Kwenye mialoni na mipera mmefanya machukizo (repeat)

Ulitumaini uzuri wako ukafanya ukahaba
Kila kijana aliyepita ulimwona anafaa
Awe mzuri na sura mbaya ulifunua marinda

Wako wapi wapenzi wako mbona sasa unakonda
Wako wapi mapenzi zako mbona sasa unakonda
Wako wapi wapenzi wako mbona sasa unakonda
Wako wapi waelizamu (?) wako mbona sasa unakonda

Miji mizuri imekuwa ukiwa
Majumba mazuri yamefungwa kabisa
Wana wa wana wamebaki yatima
Kiburi chamuwamu(?) imekoma kabisa (repeat)

Hebu sasa piga kelele uliye kahaba,
Shika kinubi omboleza upate kukumbukwa (repeat)

Nirudieni mimi niwasamehe, Nasema mgeukeni sasa niwaponye
Nirudieni mimi niwasamehe, Nasema mgeukeni sasa niwaponye (repeat)

Lakini Bwana asema hivi, nitawaponya
Yeye mwenyewe aahidi, nitawabariki
Mimi ni alfa na omega, mwanzo na mwisho
Jamani mimi ni mungu, mwingine hapana

Nirudieni mimi niwasamehe, Nasema mgeukeni sasa niwaponye (repeat)

Ongeureren Lyrics by Emmy Kosgei ft Lin

1 Comment


Intro (Lin):
onge … onge u ra la Ongeureren, onge o la la, onge … Oh

Emmy
O haye, O la la la la la, ongereureren, o la la la la la
Ongeureren o leiye

Chorus:
Emmy And Lin
O haye, O la la la la la, ongereureren, o la la la la la
Ongeureren o leiye
Emmy: E le le li le le le le
All: Ongeureren, ongeulala (X 4)

Verse 1(Emmy):
Ongilosu Jehovah yetin, Kigogochi tulwenyo ko kimi
Maigochi bunik cho bo kaskei,Kagoisto kemoi o
Kagoekchi boiboyet leiye, O haye, O la la la la la
Ongeureren o leiye,

(Chorus)

Verse 2 (Emmy):
Ongeureren ongeulala, Ongeureren Jesu nenyo ra
Ongebutik bukandit leiye, Ne tinyei inoin taman
Ongetienjin Jehova leiye, Ongetienjin tienito ne leel
Aya ya ya ya, I rimel(?) o nenyo jehovah
lOngetabyet tulenyo jehovah, Ongeureren O leiye

O haye, O la la la la la, ongereureren, o la la la la la
Ongeureren o leiye, O haye

Emmy:
O haye, O la la la la la, ongereureren, o la la la la la
Ongeureren o leiye
Emmy And Lin
O haye, O la la la la la, ongereureren, o la la la la la
Ongeureren o leiye

Verse 3:
Kingomoror nyanjet leiye, Konya che menyei oloto
Kingorap ra baitosiek leiye, Kingotyen tulondok agichek
Kigogonech Jehovah che miach, Kigowekwek mining’naptenyo
Ne yae Che echen kikwong’ei, Long’et agui ne taab yetunet
Ongeureren O leiye

All: Ongeureren, ongeulala (X 8)

Yesu Jemedari lyrics by Wangeci Mbogo

Leave a comment


(Sung in Swahili)

Yesu ndiye Jemedari wangu
Ni jemedari wangu, hakuna mwingine
Yesu ndiye Jemedari wangu
Ni jemedari wangu, hakuna mwingine

Chorus:
Huyu yesu, Asifiwe yesu
Asifiwe yesu, hakuna mwingine
Huyu yesu, Asifiwe yesu
Asifiwe yesu, hakuna mwingine

Yesu ndiye kiongozi wangu
Anionyesha njia, popote niendapo
Yesu ndiye kiongozi wangu
Anionyesha njia, popote niendapo

(Chorus)

Yesu ndiye mwokozi wangu
Kamwaga damu yake, nipate wokovu
Yesu ndiye mwokozi wangu
Kamwaga damu yake, nipate wokovu

(Chorus)

Ahh Yesu, Yesu, huyu yesu, huyu yesu, yesu
Yesu, huyu yesu, huyu yesu, yesu
Yesu, huyu yesu, huyu yesu, yesu
Yesu, huyu yesu, huyu yesu, yesu
Asifiwe yesu, asifiwe yesu, hakuna mwingine

(Chorus)

Apewe Sifa lyrics by Wangeci Mbogo

1 Comment


mba, mba, mba, mba, mba, mba, mba, mba
mba, mba, mba, mba, mba, mba, mba, mba

Bwana wa mabwana apewe sifa, Bwana wa mabwana apewe sifa
Bwana wa mbinguni apewe sifa,Bwana wa mbinguni apewe sifa
Yeye ni mfalme apewe sifa, Yeye ni mfalme apewe sifa
Yesu mwokozi apewe sifa, Yesu mwokozi apewe sifa,

Atupenda, atujali, abariki,yeye ni mwema
Mwamba wetu, kimbilio, mfariji yeye ni mungu

Aliteseka kwa ajili yetu, Aliteseka kwa ajili yetu
Akatufia msalabani, Akatufia msalabani
Ili tupate wokovu kwake, Ili tupate wokovu kwake
Tuwe na ushindi kwa jina lake, Tuwe na ushindi kwa jina lake

Tumsifu, tumwabudu, tumwiuen, yeye ni Bwana
Jehovah Jireh, Jehovah shammah, Jehovah rafa, yeye ni Mungu

Bwana wa mabwana apewe sifa, Bwana wa mabwana apewe sifa
Bwana wa mbinguni apewe sifa,Bwana wa mbinguni apewe sifa
Yeye ni mfalme apewe sifa, Yeye ni mfalme apewe sifa
Yesu mwokozi apewe sifa, Yesu mwokozi apewe sifa,

Atupenda, atujali, abariki,yeye ni mwema
Mwamba wetu, kimbilio, mfariji yeye ni mungu
Tumsifu, tumwabudu, tumwinue, yeye ni Bwana
Jehovah Jireh, Jehovah shammah, Jehovah rafa, yeye ni Mungu

Atupenda, atujali, abariki,yeye ni mwema
Mwamba wetu, kimbilio, mfariji yeye ni mungu
Tumsifu, tumwabudu, tumwinue, yeye ni Bwana
Jehovah Jireh, Jehovah shammah, Jehovah rafa, yeye ni Mungu

Atupenda, atujali, abariki,yeye ni mwema
Mwamba wetu, kimbilio, mfariji yeye ni mungu

Older Entries Newer Entries