Sitanyamaza Lyrics by Rose Muhando

2 Comments


(Sung in Swahili)
Eeeehhhh…. Mimi Mungu (Me, God)
Matendo nitalia, Kwa sinani nitaomboleza
Sodoma nitanung’unika, Mipakani nitashambulia
Mijini wameniacha,Kila mara nitashambulia
Maisha ya wanadamu, Yamenichosha….

Oh oh mimi
Sitanyamaza, wala sitanyamaza
Lakini nitalipa ujira wa vifuani mwao
Maovu yenu ninyi, pamoja na baba zenu
nasema nitalipa ndio mjue mimi ni Bwana
Mmefukiza uvumba, na kunitukana
Kwa ajili ya haya mtajutia vitani mwenu?(repeat)

mmefanya uzinzi katikati ya milima
Usiku wa manane mmefanya ukahaba
Kwenye njia kuu na vichochoro mmefanya mapatano
Kwenye mialoni na mipera mmefanya machukizo (repeat)

Ulitumaini uzuri wako ukafanya ukahaba
Kila kijana aliyepita ulimwona anafaa
Awe mzuri na sura mbaya ulifunua marinda

Wako wapi wapenzi wako mbona sasa unakonda
Wako wapi mapenzi zako mbona sasa unakonda
Wako wapi wapenzi wako mbona sasa unakonda
Wako wapi waelizamu (?) wako mbona sasa unakonda

Miji mizuri imekuwa ukiwa
Majumba mazuri yamefungwa kabisa
Wana wa wana wamebaki yatima
Kiburi chamuwamu(?) imekoma kabisa (repeat)

Hebu sasa piga kelele uliye kahaba,
Shika kinubi omboleza upate kukumbukwa (repeat)

Nirudieni mimi niwasamehe, Nasema mgeukeni sasa niwaponye
Nirudieni mimi niwasamehe, Nasema mgeukeni sasa niwaponye (repeat)

Lakini Bwana asema hivi, nitawaponya
Yeye mwenyewe aahidi, nitawabariki
Mimi ni alfa na omega, mwanzo na mwisho
Jamani mimi ni mungu, mwingine hapana

Nirudieni mimi niwasamehe, Nasema mgeukeni sasa niwaponye (repeat)

Ongeureren Lyrics by Emmy Kosgei ft Lin

1 Comment


Intro (Lin):
onge … onge u ra la Ongeureren, onge o la la, onge … Oh

Emmy
O haye, O la la la la la, ongereureren, o la la la la la
Ongeureren o leiye

Chorus:
Emmy And Lin
O haye, O la la la la la, ongereureren, o la la la la la
Ongeureren o leiye
Emmy: E le le li le le le le
All: Ongeureren, ongeulala (X 4)

Verse 1(Emmy):
Ongilosu Jehovah yetin, Kigogochi tulwenyo ko kimi
Maigochi bunik cho bo kaskei,Kagoisto kemoi o
Kagoekchi boiboyet leiye, O haye, O la la la la la
Ongeureren o leiye,

(Chorus)

Verse 2 (Emmy):
Ongeureren ongeulala, Ongeureren Jesu nenyo ra
Ongebutik bukandit leiye, Ne tinyei inoin taman
Ongetienjin Jehova leiye, Ongetienjin tienito ne leel
Aya ya ya ya, I rimel(?) o nenyo jehovah
lOngetabyet tulenyo jehovah, Ongeureren O leiye

O haye, O la la la la la, ongereureren, o la la la la la
Ongeureren o leiye, O haye

Emmy:
O haye, O la la la la la, ongereureren, o la la la la la
Ongeureren o leiye
Emmy And Lin
O haye, O la la la la la, ongereureren, o la la la la la
Ongeureren o leiye

Verse 3:
Kingomoror nyanjet leiye, Konya che menyei oloto
Kingorap ra baitosiek leiye, Kingotyen tulondok agichek
Kigogonech Jehovah che miach, Kigowekwek mining’naptenyo
Ne yae Che echen kikwong’ei, Long’et agui ne taab yetunet
Ongeureren O leiye

All: Ongeureren, ongeulala (X 8)

Apewe Sifa lyrics by Wangeci Mbogo

1 Comment


mba, mba, mba, mba, mba, mba, mba, mba
mba, mba, mba, mba, mba, mba, mba, mba

Bwana wa mabwana apewe sifa, Bwana wa mabwana apewe sifa
Bwana wa mbinguni apewe sifa,Bwana wa mbinguni apewe sifa
Yeye ni mfalme apewe sifa, Yeye ni mfalme apewe sifa
Yesu mwokozi apewe sifa, Yesu mwokozi apewe sifa,

Atupenda, atujali, abariki,yeye ni mwema
Mwamba wetu, kimbilio, mfariji yeye ni mungu

Aliteseka kwa ajili yetu, Aliteseka kwa ajili yetu
Akatufia msalabani, Akatufia msalabani
Ili tupate wokovu kwake, Ili tupate wokovu kwake
Tuwe na ushindi kwa jina lake, Tuwe na ushindi kwa jina lake

Tumsifu, tumwabudu, tumwiuen, yeye ni Bwana
Jehovah Jireh, Jehovah shammah, Jehovah rafa, yeye ni Mungu

Bwana wa mabwana apewe sifa, Bwana wa mabwana apewe sifa
Bwana wa mbinguni apewe sifa,Bwana wa mbinguni apewe sifa
Yeye ni mfalme apewe sifa, Yeye ni mfalme apewe sifa
Yesu mwokozi apewe sifa, Yesu mwokozi apewe sifa,

Atupenda, atujali, abariki,yeye ni mwema
Mwamba wetu, kimbilio, mfariji yeye ni mungu
Tumsifu, tumwabudu, tumwinue, yeye ni Bwana
Jehovah Jireh, Jehovah shammah, Jehovah rafa, yeye ni Mungu

Atupenda, atujali, abariki,yeye ni mwema
Mwamba wetu, kimbilio, mfariji yeye ni mungu
Tumsifu, tumwabudu, tumwinue, yeye ni Bwana
Jehovah Jireh, Jehovah shammah, Jehovah rafa, yeye ni Mungu

Atupenda, atujali, abariki,yeye ni mwema
Mwamba wetu, kimbilio, mfariji yeye ni mungu

Moyo Wangu lyrics by Rose Muhando

Leave a comment


Verse 1(Rose Solo):
Moyo wangu, moyo wangu, sifa mpe Yesu (My soul, my soul, give praise to Jesus)
moyo wangu, moyo wangu, sifa mpe Yesu (My soul, my soul, give praise to Jesus)

Chorus:
Moyo wangu, moyo wangu, sifa mpe Yesu (My soul, my soul, give praise to Jesus)
moyo wangu, moyo wangu, sifa mpe Yesu (My soul, my soul, give praise to Jesus)

(Rose Solo)

(Chorus)

Rose Solo:
Moyo wangu, moyo wangu, sifa mpe Bwana (My soul, my soul, praise the Lord)
moyo wangu, moyo wangu, sifa mpe Yesu (My soul, my soul, give praise to Jesus)

(Chorus [X4])

Verse 2:

Yeye akupenda, yeye akujali (He loves you, He cares for you)
Usifadhaike moyo, tulia kwa Bwana (Do not despair my soul, rest in the Lord)
Dunia ni shida, dhiki nyingi kwako (The world is troublesome)
Usilalamike moyo, tulia kwa Bwana (Do not fret my soul, rest in the Lord)

(Chorus [X4])

Verse 3:
Anaweza sasa, kuponya maisha yako (He can heal your life right now)
Kukufariji moyo, Yesu yupo tena (To comfort you my soul, Jesus is there)
Yeye ndiye jana, sasa na milele (He is the same yesterday, today and forever)
Alfa na Omega Yesu, wewe moyo (Alpha and Omega Jesus, you are my soul)

(Chorus)

Angen ale lyrics by Pastor Joel Kimetto and The Great Commission Singers

Leave a comment


Angen ale ingen ile, Angen ale ingen ile

Ingen ile kiyain jehova tupchonni
Ago ingen ile asi isobe ko ine
Ingen ngorok ile betusiekab sabeng’ung’
Komi eunekab Jehova yaindennyo
Ingen ile kiyain jehova tupchonni
Ago ingen ile asi isobe ko ine
Ingen ngorok ile betusiekab sabeng’ung’
Komi eunekab Jehova yaindennyo

Ingen ile kiyai tengek adam ak hawa
Ako tengek noto ko kiipchi akine
Ingen korok ile mamiten kainet age
Ne kesorun nenyu kobak tendetap jesu
Ingen ile kiyai tengek adam ak hawa
Ako tengek noto ko kiipchin akinye
Ingen korok ile mamiten kainet age
Ne kesorun nenyu kobak tendetap jesu

Ingen aginye, Ingen aginye
Ingen aginye, Ingen aginye
Kiyain jehova Ingen aginye, ago nei ng’onyunni Ingen aginye
Kiyain jehova Ingen aginye, ago ne ng’onyunni Ingen aginye
asi mi ngondunni Ingen aginye, kosi iyoot inendet Ingen aginye
asi mi ngondunni, Ingen aginye, kosi iyoot inendet Ingen aginye
agot inye mama Ingen aginye, agot inye baba Ingen aginye
agot inye mama ingen aginye, agot inye baba Ingen aginye
Agot inye botit Ingen aginye, Agot inye batye Ingen aginye
Agot inye botit Ingen aginye Agot inye batye Ingen aginye
Agot inye gugo Ingen aginye, agot inye kogo Ingen aginye
agot inye agui Ingen aginye, agot inye kogo Ingen aginye
Kiyain jehova Ingen aginye, ago nei ng’onyunni Ingen aginye
asi mi ngondunni Ingen aginye, kosi iyoot inendet Ingen aginye
agot inye weron Ingen aginye, agot inye chebon Ingen aginye
agot murenonon Ingen aginye, agot inye kwonyon Ingen aginye
agot bikap kenya ongen agichek, lagokab kalenjin ongen agichek
ye miten bitonin oongen agichek, che mi emet tugut koongen agichek
ye miten bitonin oongen agichek, che mi emet tugut koongen agichek
ingen aginye, ingen aginye, ingen aginye, ingen aginye

Neyani Jesu ko tinyei kalyet, tebei eng’ kamong’unet
makitumdumi eng’ kayanenyin, yamdayat eng’ sabenyi
Neyani Jesu ko tinyei kalyet, tebei eng kamongunet
makitumdumi eng’ kayanenyin, yamdayat eng’ sabenyi

Igochin Jesu muguleldang’ung’ tupchenyu si kosorun
Asi kotyachin eng’ chalwogiguk si inyoru sabet ne lel
Igochin Jesu muguleldang’ung’ tupchenyu si kosorun
Asi kotyachin eng’ chalwogiguk si inyoru sabet ne lel

Older Entries Newer Entries